Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Jinsi Ambavyo Antibiotics Zinavyo Athiri Uwezo Wa Kushika Mimba

2 min read
Jinsi Ambavyo Antibiotics Zinavyo Athiri Uwezo Wa Kushika MimbaJinsi Ambavyo Antibiotics Zinavyo Athiri Uwezo Wa Kushika Mimba

Umri, lishe, uvutaji sigara na vileo ni baadhi ya vitu vinavyo athiri uwezo wa kushika mimba. Je, unafahamu jinsi ambavyo antibiotics zinavyo zuia mimba?

Mama anapo jaribu kutunga mimba, anakuwa makini na kila kitu anacho fanya. Anataka kuongeza nafasi zake za kushika mimba kwa kasi. Kuna baadhi ya vitu ambavyo huenda vika athiri uwezo wake wa kushika mimba. Vitu kama vile, uzani wa mwili, wa juu ama wa chini zaidi. Umri wa mama, mama hutatizika kushika mimba anapo fikisha miaka 35 na zaidi. Vyakula anavyo kula ikiwemo uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe. Kuna baadhi ya dawa ambazo zinaweza punguza uwezo wa mama kushika mimba kwa kasi, kama vile antibiotics. Unafahamu jinsi antibiotics zinavyo zuia kushika mimba?

Wakati wote, mwanamke anaye kuwa katika harakati za kushika mimba hushauriwa kuzungumza na daktari kabla ya kuchukua dawa zozote. Unapo enda kufanyiwa vipimo, ni muhimu kumjuza daktari kuwa unajaribu kutunga mimba. Kwa njia hii, atakuwa makini na aina ya dawa anazo kupatia.

Jinsi antibiotics zinavyo zuia kushika mimba

antibiotics zinavyo zuia mimba

Kuna baadhi ya antibiotiki zinazo sababisha matatizo ya uzalishaji katika wanaume. Kwa kuathiri kiwango na ubora wa manii ambayo mwanamme anawachilia. Manii yanapo punguka kwa idadi na kupunguza uwezo wa kuogelea kwa kasi, inakuwa vigumu kumfanya mwanamke ashike mimba. Antibiotics hizi ni kama vile:

  • erythromycin
  • Neomycin
  • Tetracyclines
  • Gentamicin

Jinsi antibiotics zinavyo boresha uzazi

antibiotics zinavyo zuia mimba

Maambukizi ya bakteria ni mojawapo ya vyanzo vikuu vya matatizo ya kizazi katika wanawake na waume. Maambukizi ya kingoni kama gonorrhea huenda yaka athiri uterasi katika wanawake na njia inayo tumika na manii katika wanaume.

Huenda mwanamke akakosa kufahamu kuwa ana maambukizi ya kingono. Kwani kuna baadhi ya maambukizi yasiyo kuwa na ishara zozote. Yasipo tibiwa, maambukizi haya huenda yaka sababisha vidonda kwenye uterasi ama mirija ya ovari. Kuna kufanya ovari itatizike kuachilia yai lisafiri kwenye mirija ya ovari na kurutubishwa na manii. Antibiotiki zinasaidia kutibu maambukizi na kuepusha maambukizi kuharibu sehemu za kizazi.

Baadhi ya antibiotics huenda zika athiri mbinu ya uzazi wa mpango ambayo mama anatumia. Na kuifanya isiwe na nguvu tosha za kudhibiti kushika mimba. Antibiotics kama Rifadin huwa na athari hii. Ni vyema kumwuliza daktari iwapo mnaweza tumia mbinu nyingine ya kinga kama vile mpira.

Hitimisho

Kwa wanawake wanao jaribu kushika mimba, ni vyema kuwasiliana na daktari wao kabla ya kutumia antibiotics zozote zile. Pia kwa walio na mimba, hakikisha wakati wote unachukua dawa baada ya kuagizwa na daktari anaye fahamu hali yako.

Chanzo: healthline

Soma Pia: Dalili Za Mimba Ya Mwezi Mmoja Baada Ya Kufanya Tendo La Ndoa!

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Pregnancy
  • /
  • Jinsi Ambavyo Antibiotics Zinavyo Athiri Uwezo Wa Kushika Mimba
Share:
  • Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

    Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

  • Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

    Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

  • Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

    Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

  • Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

    Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

  • Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

    Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

  • Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

    Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it