Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Athari 4 Za Kutoa Mimba Kwa Njia Ya Vidonge

2 min read
Athari 4 Za Kutoa Mimba Kwa Njia Ya VidongeAthari 4 Za Kutoa Mimba Kwa Njia Ya Vidonge

Athari za kutoa mimba kwa njia ya vidonge ni nyingi hasa kama mwanamke anatumia vidonge hivi akiwa nyumbani bila usimamizi wa mtaalum

Inapofika kwa kutoa mimba, huenda ukawa umesikia mbinu tofauti ikiwemo njia ya vidonge. Unafahamu athari za kutoa mimba kwa njia ya vidonge? Hata kama njia hii inatumika kwa sana, ina athari hasi kwa afya ya mwanadada. Tuna angazia athari hizi.

Iwapo mwanamke amepata mimba ambayo hakuwa amepangia, anapaswa kuwasiliana na mtaalum wa afya atakayemfanyia vipimo kisha kumshauri anachostahili kufanya.

Athari za kutoa mimba kutumia tembe

athari za kutoa mimba kwa njia ya vidonge

1.Maambukizi

Vidonge vya kutoa mimba visipofanya kazi kamilifu, mwanamke huwa katika hatari ya kupata maambukizi. Tishu za fetusi hubaki kwenye uterasi na zisipojulikana mapema vya kutosha, mwanamke huwa katika hatari ya kuugua maambukizi yanayo hatarisha maisha yake.

2. Kukosa matibabu

Matumizi ya vidonge hivi huwa rahisi, ambapo mwanamke anaweza kutumia akiwa nyumbani na kukamilisha bila ukaguzi wa mtaalum wa afya. Hata kama linaonekana kuwa jambo rahisi, ni utaratibu hatari wa kiafya. Mwanamke anaweza kuvuja damu zaidi na kukosa namna ya kupata matibabu ya kiafya ya dharura. Kuna nambari ya wanawake waliopoteza maisha kufuatia utaratibu huu.

3. Kutokwa na damu

Vidonge vya kutoa mimba husababisha kuvuja damu na maumivu makali ya upande wa chini wa tumbo. Mbali na kutokwa na damu kwa kawaida, kuvuja damu zaidi kunaweza fanyika. Kuvuja damu zaidi kunaweza sababisha kifo cha anayejaribu kutoa mimba.

4. Kusombwa na mawazo

athari za kutoa mimba kwa njia ya vidonge

Wanawake wengi husombwa na mawazo baada ya kupitia utaratibu wa kutoa mimba. Mhemko wa hisia, kuwa na wasiwasi, kuhuzunika na mawazo yasiyoisha. Mwanamke anaposhuhudia ishara hii, anapaswa kuwasiliana na mtaalum apate usaidizi.

Athari za kutoa mimba kwa njia ya vidonge ni nyingi hasa kama mwanamke anatumia vidonge hivi akiwa nyumbani bila usimamizi wa mtaalum. Anajiweka katika hatari ya kuvuja damu zaidi kunakoweza kumfanya apoteze maisha yake. Utaratibu huu unapaswa kufanyika kwenye kituo cha afya chini ya usimamizi wa daktari mwenye vyeti.

Chanzo: WebMD

Soma Pia: Kuinama Katika Ujauzito Kuna Athari Kwa Fetusi: Madhara Ya Kuinama Kwa Mjamzito

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Health
  • /
  • Athari 4 Za Kutoa Mimba Kwa Njia Ya Vidonge
Share:
  • Orodha Ya Faida Ya Asali Mbichi Kwa Mjamzito

    Orodha Ya Faida Ya Asali Mbichi Kwa Mjamzito

  • Jinsi Ya Kupunguza Kuvimbiwa Kwa Tumbo Kwa Njia Rahisi

    Jinsi Ya Kupunguza Kuvimbiwa Kwa Tumbo Kwa Njia Rahisi

  • Kufanya Ngono Baada Ya Kukoma Hedhi: Vidokezo Muhimu Vya Kuzingatia

    Kufanya Ngono Baada Ya Kukoma Hedhi: Vidokezo Muhimu Vya Kuzingatia

  • Orodha Ya Faida Ya Asali Mbichi Kwa Mjamzito

    Orodha Ya Faida Ya Asali Mbichi Kwa Mjamzito

  • Jinsi Ya Kupunguza Kuvimbiwa Kwa Tumbo Kwa Njia Rahisi

    Jinsi Ya Kupunguza Kuvimbiwa Kwa Tumbo Kwa Njia Rahisi

  • Kufanya Ngono Baada Ya Kukoma Hedhi: Vidokezo Muhimu Vya Kuzingatia

    Kufanya Ngono Baada Ya Kukoma Hedhi: Vidokezo Muhimu Vya Kuzingatia

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2022 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it