Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Athari Za Muda Mrefu Za Kutumia Mbinu Za Uzazi Wa Mpango

2 min read
Athari Za Muda Mrefu Za Kutumia Mbinu Za Uzazi Wa MpangoAthari Za Muda Mrefu Za Kutumia Mbinu Za Uzazi Wa Mpango

Watu wengi wanaweza kutumia uzazi wa mpango kwa miaka mingi kwa usalama. Lakini ni vyema kuhakikisha kuwa daktari wako amekushauri.

Mbinu za uzazi wa mpango hasa zenye homoni zinafahamika kuwa salama kwa watu wengi. Hata ingawa kuna baadhi zilizo na athari hasi kwa afya ya mwanamke. Je, kuna muda ambao mwanamke anaweza kutumia uzazi wa mpango bila matatizo ya kiafya? Je, athari za uzazi wa mpango ni zipi?

Kuna watu ambao wanachukua tembe za kudhibiti uzalishaji kwa muda mrefu bila kuchukua muda wa mapumziko. Tembe zilizo na vichocheo vya progesterone ama estrogen na huwa na athari mwilini. Usalama wa mbinu yoyote ile ya uzazi wa mpango inalingana na vitu kama vile umri, historia ya kiafya na kadhalika. Kuna athari za muda mfupi na mrefu za kutumia uzazi wa mpango.

Athari za muda mfupi za uzazi wa mpango

athari za uzazi wa mpango

  • kuvuja damu
  • maumivu ya kichwa
  • kuhisi kichefu chefu
  • Kuvuja damu baada ya kipindi cha hedhi
  • Ongezeko la uzito kwa kasi
  • Mhemko wa hisia

Athari za muda mrefu za uzazi wa mpango

athari za uzazi wa mpango

Kwa watu wengi, utumiaji wa uzazi wa mpango kwa muda mrefu hauna athari zozote hasi. Ila kuna baadhi ya wanawake wanao teseka kutokana na utumiaji wa mbinu za kupanga uzazi kwa muda mrefu. Hasa kwa wanao tumia mbinu zenye vichocheo. Kuna wanawake wanao shauriwa kutumia mbinu hizi za kupanga uzazi ili kudhibiti hali za kimatibabu za muda mrefu. Kama vile endometriosis.

  • Saratani

Kulingana na utafiti uliofanyika na Shirika Kuu la Saratani, kuna utafiti unao dokeza kuwa mbinu za kupanga uzazi zenye vichocheo huenda vikaongeza hatari ya kuugua saratani ya kizazi na ya matiti.

Hata hivyo, utafiti huo huo una kisia kuwa huenda mbinu hizo zikapunguza hatari ya mwanamke kupata saratani ya ovari, na endometrial. Vichocheo vya progesterone na estrogen vilivyoko kwenye tembe hizi, huenda vika punguza ukuaji wa baadhi ya seli zinazo sababisha saratani, huku ziki ongeza ukuaji wa seli zingine.

Utafiti zaidi una sema kuwa watu walio tumia tembe wako katika hatari ya hadi zaidi mara mbili kuugua ugonjwa wa saratani ya matiti ikilinganishwa na wale ambao hawaja tumia.

Watu wengi wanaweza kutumia uzazi wa mpango kwa miaka mingi kwa usalama. Lakini ni vyema kuhakikisha kuwa daktari wako amekushauri. Huenda daktari wako akakushauri kutumia ama kuepuka mbinu zingine. Kwa mbinu za kupanga uzazi zilizo na homoni, huenda zikasababisha matatizo kulingana na historia ya kiafya na umri.

Soma pia : Vyakula Bora Kwa Afya Ya Mwanamme Ili Kuboresha Afya Ya Kiume

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Uncategorized
  • /
  • Athari Za Muda Mrefu Za Kutumia Mbinu Za Uzazi Wa Mpango
Share:
  • Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

    Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

  • Njia 5 za Kujitayarisha kwa Uchungu wa Mama

    Njia 5 za Kujitayarisha kwa Uchungu wa Mama

  • Vitu Vya Kufanya Kabla ya Kuenda Hospitali Kujifungua

    Vitu Vya Kufanya Kabla ya Kuenda Hospitali Kujifungua

  • Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

    Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

  • Njia 5 za Kujitayarisha kwa Uchungu wa Mama

    Njia 5 za Kujitayarisha kwa Uchungu wa Mama

  • Vitu Vya Kufanya Kabla ya Kuenda Hospitali Kujifungua

    Vitu Vya Kufanya Kabla ya Kuenda Hospitali Kujifungua

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it