Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Jinsi Ya Kung'amua Iwapo Mwanamke Ana Fibroids {Dalili Za Fibroids}

2 min read
Jinsi Ya Kung'amua Iwapo Mwanamke Ana Fibroids {Dalili Za Fibroids}Jinsi Ya Kung'amua Iwapo Mwanamke Ana Fibroids {Dalili Za Fibroids}

Ni kawaida kwa mwanamke kukosa kufahamu anapo kuwa na fibroids. Kwani ni vidonda vidogo ambavyo havi athiri kitu chochote mwilini mwake.

Fibroids ni aina ya vidonda visivyo vya saratani vinavyo kua kwenye mji wa mtoto kwenye mwanamke. Wanawake wengi hupata vidonda hivi ila wengi wao hukosa kujua hata. Kwa visa vikali, huenda vidonda hivi vika athiri uwezo wa uzalishaji wa mwanamke ama kusababisha matatizo katika ujauzito wake. Je, dalili za fibroids katika mimba ni zipi?

Ni kawaida kwa mwanamke kukosa kufahamu anapo kuwa na fibroids. Kwani ni vidonda vidogo ambavyo havi athiri kitu chochote mwilini mwake. Ila, ikiwa vidonda hivi ni vikubwa, huenda vikamletea mwanamke matatizo mwilini. Kama vile ya kutunga mimba, ukuaji wa mtoto kwenye mji wa mtoto, safari ya ujauzito, kujifungua kabla ya mtoto kukua ama matatizo mwanamke anapo jifungua.

Dalili za kuwa na fibroids katika ujauzito

dalili za fibroids

  • Maumivu makali ya tumbo, sawa na uchungu wa tumbo wakati wa hedhi
  • Kutatizika kuchakata chakula tumboni
  • Kuhisi haja ya kwenda haja ndogo kila wakati
  • Kuhisi uchungu unapo enda haja ndogo
  • Kuumwa na mgongo

Fibroids zina athari gani kwa ujauzito?

Hata kama mara nyingi, vidonda hivi havi athiri ujauzito, vikiwa vikubwa huenda vikawa na athari zifuatazo kwa mimba:

  • Kupoteza mimba
  • Mtoto kukua tumboni kwa hali isiyo ya kawaida, miguu kuwa juu
  • Uchungu wa mama usio komaa
  • Obstructed labor
  • Necrosis inayo sababisha kifo cha seli
  • Kujifungua kabla ya wakati

Matibabu ya fibroids

dalili za fibroids

Katika visa ambavyo mwanamke ana fibroids kubwa katika ujauzito, daktari anaweza fanya utaratibu wa kuzitoa. Hata hivyo, utaratibu huu huenda uka sababisha matatizo zaidi. Huku utaratibu wa fibroids kutolewa mama anapo jifungua kupitia upasuaji wa c-section una shika kasi. Hata hivyo, mama ako katika hatari ya kupata matatizo zaidi.

Wakati ulio salama kutoa fibroids ni mama anapo jifungua, kwani haku hatarishi maisha ya mtoto anaye kua tumboni.

Mwanamke anaweza fanya vitu hivi ili kupunguza hatari ya kupata fibroids:

  • Upasuaji ili kutoa fibroids
  • Kufanyiwa matibabu ya ultrasound kutumia joto jingi
  • Matibabu ya vichocheo

Ni vyema kwa mwanamke kuwasiliana na daktari anapo panga kupata mimba. Kwa njia hii, daktari ataweza kumfanyia vipimo kudhihirisha ikiwa ana fibroids. Pia, kwa mwanamke aliye na fibroids, ni muhimu kuwasiliana na daktari katika safari yake ya ujauzito kuhakikisha kuwa hakuna matatizo yanayo ibuka katika ujauzito wake. Kufahamu dalili za fibroids ndiyo hatua ya kwanza katika kuzi dhibiti.

Soma Pia: Matibabu Asili Ya Fibroids Na Umuhimu Wa Lishe Bora

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Uncategorized
  • /
  • Jinsi Ya Kung'amua Iwapo Mwanamke Ana Fibroids {Dalili Za Fibroids}
Share:
  • Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

    Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

  • Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

    Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

  • Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

    Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

  • Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

    Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

  • Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

    Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

  • Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

    Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it