Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Sababu Za Mwanamke Kutopata Hedhi Na Dawa Ya Kufungua Hedhi

2 min read
Sababu Za Mwanamke Kutopata Hedhi Na Dawa Ya Kufungua HedhiSababu Za Mwanamke Kutopata Hedhi Na Dawa Ya Kufungua Hedhi

Dawa ya kufungua hedhi katika wanawake inasaidia mabinti wanaotatizika na kuchelewa kwa hedhi ama kuwa na vipindi vya hedhi visivyo vya kawaida.

Hali ya Amenorrhoea ni pale ambapo mwanamke aliyefikisha umri wa kuanza kupata vipindi vya hedhi hushindwa kupata hedhi. Huenda pia akakosa kupata kipindi chake kwa muda ama kikapitiliza siku. Jambo linalomjaza wasiwasi mwingi. Hali hii inaweza kutokea katika umri wowote maishani mwa mwanamke. Kuna sababu tofauti zinazo mfanya mwanamke kutatizika na hali hii. Je, kuna dawa ya kufungua hedhi? Tuna angazia zaidi.

Vyanzo vya hedhi kuchelewa

dawa ya kufungua hedhi

  • Uzani mdogo wa mwili

Wanawake wengi walio na uzani wa chini kuliko wanavyopaswa, mara nyingi hutatizika na hedhi kuchelewa. Na pia kuwa na vipindi vya hedhi visivyo vya kawaida.

  • Kusongwa kimawazo

Kuwa na mawazo mengi huathiri utoaji wa homoni muhimu zinazo husika na vipindi vya hedhi.

  • Kufanya mazoezi makali

Mazoezi huwa na faida nyingi kwa mwili, ila unapo pitiliza kiasi cha mazoezi unachofaa kufanya, huwa na athari hasi kwa mwili. Mazoezi makali huathiri homoni mwili na kupunguza kiwango kinachotolewa mwilini. Homoni zisipokuwa sawa mwilini, ni vigumu kwa kazi mwilini kutendeka kama ilivyo kawaida.

  • Magonjwa

Kuna baadhi ya magonjwa yanayo waathiri wanawake kama vile polycystic ovarian syndrome yanayo mfanya mwanamke kutatizika kupata vipindi vyake vya hedhi kama ilivyo kawaida.

Dalili za hali hii

  • Kuongeza uzani mwingi kwa kasi
  • Kutatizika kupata usingizi
  • Kutokuwa na vipindi vya kawaida vya hedhi
  • Kuwa na uke mkavu
  • Mhemko wa hisia usio wa kawaida

Suluhu la hali hii

dawa ya kufungua hedhi

  • Kuna dawa ya kufungua hedhi iliyo spesheli na inayopatikana kwenye mahospitali. Wakati wote mwanamke anapogundua kuwa ana matatizo ya kuchelewa kwa hedhi, anastahili kuwasiliana na daktari. Mbali na njia hii, kuna mambo ambayo mwanamke anaweza kufanya ili kuboresha afya yake na kupunguza nafasi za hedhi yake kuchelewa.
  • Zingatia lishe bora. Chakula ni muhimu katika kusawasisha homoni mwilini. Hakikisha kuwa unakula chakula kutoka kwa kila kundi kisha kuambatanisha na mboga, matunda na maji ya kutosha. Punguza ulaji wa vitamu tamu visivyo kuwa na faida zozote mwilini.
  • Ongeza tikiti maji na maziwa ya soy kwenye lishe yako.

Ni vyema kusuluhisha hali hii punde tu mwanamke anapogundua kuwa ana tatizo. Kuchelewa kulitatua huenda kukamfanya augue saratani ya matiti, kukosa hamu ya kufanya mapenzi, kuhisi uchungu mwingi na kuvuja damu baada ya kitendo cha ndoa. Kwani mwanamke ana uke mkavu.

Chanzo: WebMD

Soma Pia: Vidokezo 5 Vya Kuwa Na Ujauzito Salama Na Wenye Afya

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Health
  • /
  • Sababu Za Mwanamke Kutopata Hedhi Na Dawa Ya Kufungua Hedhi
Share:
  • Sababu 6 Kwa Nini Tumbo Haipunguki Hata Baada ya Kufanya Mazoezi

    Sababu 6 Kwa Nini Tumbo Haipunguki Hata Baada ya Kufanya Mazoezi

  • Tiba za Kinyumbani za Maumivu ya Kichwa Unazopaswa Kujua

    Tiba za Kinyumbani za Maumivu ya Kichwa Unazopaswa Kujua

  • Vyakula 7 Bora Kupigana Dhidi Ya Vidonda Vya Tumbo

    Vyakula 7 Bora Kupigana Dhidi Ya Vidonda Vya Tumbo

  • Sababu 6 Kwa Nini Tumbo Haipunguki Hata Baada ya Kufanya Mazoezi

    Sababu 6 Kwa Nini Tumbo Haipunguki Hata Baada ya Kufanya Mazoezi

  • Tiba za Kinyumbani za Maumivu ya Kichwa Unazopaswa Kujua

    Tiba za Kinyumbani za Maumivu ya Kichwa Unazopaswa Kujua

  • Vyakula 7 Bora Kupigana Dhidi Ya Vidonda Vya Tumbo

    Vyakula 7 Bora Kupigana Dhidi Ya Vidonda Vya Tumbo

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2022 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it