Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Faida Ya Kufanya Tendo La Ndoa Wakati Wa Ujauzito

2 min read
Faida Ya Kufanya Tendo La Ndoa Wakati Wa UjauzitoFaida Ya Kufanya Tendo La Ndoa Wakati Wa Ujauzito

Faida ya kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito ni kuwa mama anafanya mazoez, kutulia kiakili na kuboresha utangamano na mchumba wake

Kwa mimba yoyote isiyo na matatizo, ama mimba yenye afya, tendo la ndo huwa lenye starehe na kufurahisha. Je, unafahamu faida ya kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito?

Tendo la ndoa huwa na manufaa ya kiafya, kiakili, kupunguza mawazo, wasiwasi na kuboresha utangamano kati ya wanandoa. Wanandoa huenda wakawa na shaka kuwa kufanya mapenzi katika mimba kunahatarisha maisha ya mtoto. La, mtoto amezingirwa na amniotic sac inayomlinda.

Hamu ya kufanya mapenzi katika ujauzito

faida ya kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito

Ili kuwa na wakati wa kusisimua, ni muhimu kuwa na mazungumzo wazi. Hamu ya mama ya kufanya tendo la ndoa katika mimba hubadilika mara kwa mara kufuatia ongezeko la homoni mwilini. Huku wanawake wengine wakipata hamu iliyoongezeka ya kufanya mapenzi, wengine huenda wakakosa hamu ya kufanya mapenzi, kila mwanamke ni tofauti.

Faida ya kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito

1.Kufika kilele kwa kirahisi

Wanawake wengi huripoti kufika kilele kwa kirahisi na nguvu zaidi katika ujauzito na kuwafanya kutosheleka zaidi. Tendo la ndoa limedhihirishwa kupunguza mawazo, linawasaidia wanawake wajawazito kutulia kimawazo. Katika muhula wa pili, ongezeko la homoni na mzunguko wa damu mwilini huchangia pakubwa katika ongezeko la hamu ya kufanya ngono.

2. Zoezi Bora

Mjamzito anapofanya mapenzi, anafanya mazoezi na kupunguza kalori zaidi mwilini. Sawa na mazoezi mengine, tendo la mapenzi linapunguza shinikizo la damu. Shinikizo la damu katika mimba huwa na hatari kubwa. Kufanya mapenzi mama anapokuwa na mimba kunashauriwa. Kunamsaidia kulala vyema usiku baada ya kipindi chao.

kulala katika mimba

3. Kuboresha kinga ya mwili

Mtu anapofanya mapenzi, kemikali zinazotolewa katika kitendo hicho husaidia kuongeza kinga ya mwili. Kemikali ya lgA ni kingamwili inayosaidia kulinda dhidi ya mafua na maambukizi mengine.

4. Furaha iliyoongezeka

Mwanamke anapofika kilele, endorphins hutolewa mwilini zinazomsaidia mama kuhisi furaha na kutulia zaidi.

5. Kujiamini zaidi

Mabadiliko mwilini katika mimba huenda yakamfanya mwanamke kuwa na hisia tofauti kuhusu mwili wake. Huenda akahisi kuwa havutii ama kupendeza kama hapo awali. Hata hivyo, kufanya mapenzi kunamsaidia kujiamini zaidi na kumfanya ahisi kuwa ako mzima.

Chanzo: WebMD

Soma Pia: Kufanya Mapenzi Katika Mimba Ni Salama Kwa Mtoto? Maswali Kuhusu Ngono Katika Mimba

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Pregnancy
  • /
  • Faida Ya Kufanya Tendo La Ndoa Wakati Wa Ujauzito
Share:
  • Majina 50 ya Wasichana ya Kipekee na Yanayopendeza Zaidi

    Majina 50 ya Wasichana ya Kipekee na Yanayopendeza Zaidi

  • Sababu 3 Kuu Za Maumivu Ya Tumbo Katika Mimba

    Sababu 3 Kuu Za Maumivu Ya Tumbo Katika Mimba

  • Ukweli Kuhusu Kufanya Mapenzi Ukiwa Na Mimba

    Ukweli Kuhusu Kufanya Mapenzi Ukiwa Na Mimba

  • Majina 50 ya Wasichana ya Kipekee na Yanayopendeza Zaidi

    Majina 50 ya Wasichana ya Kipekee na Yanayopendeza Zaidi

  • Sababu 3 Kuu Za Maumivu Ya Tumbo Katika Mimba

    Sababu 3 Kuu Za Maumivu Ya Tumbo Katika Mimba

  • Ukweli Kuhusu Kufanya Mapenzi Ukiwa Na Mimba

    Ukweli Kuhusu Kufanya Mapenzi Ukiwa Na Mimba

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2022 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it