Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Hatari Na Faida Za Kushika Mimba Baada Ya Miaka 35

2 min read
Hatari Na Faida Za Kushika Mimba Baada Ya Miaka 35Hatari Na Faida Za Kushika Mimba Baada Ya Miaka 35

Ni muhimu kwa kila mzazi kuchukua hatua kuhakikisha kuwa ana afya katika safari yake ya mimba. Kufanya hivi kuna ongeza nafasi zake za kujifungua mtoto mwenye afya bora.

Kupata mimba baada ya kutimiza umri wa miaka 35 kunawezekana. Wanawake wanaopata mimba na kujifungua baada ya umri wa miaka 35 bila shaka wanajifungua watoto wenye afya. Kushika mimba ukiwa na miaka 35 na zaidi kunafahamika kama mimba ya geriatric kwa kimombo. Ni jukumu la mama kutunza afya yake na kuchukua hatua zote awezavyo kuboresha afya yake na ya mtoto. Kushika mimba baada ya miaka 35 kuna hatari zake kwa wote, mama na mtoto, tazama.

Hatari za kushika mimba baada ya miaka 35

kushika mimba baada ya miaka 35

  • Shinikizo la juu la damu
  • Kujifungua kabla ya wakati
  • Kujifungua mtoto mwenye uzani wa chini
  • Kujifungua mtoto aliye fariki
  • Kupoteza mimba

Manufaa ya kutunga mimba baada ya miaka 35

Mwanamke huwa amepata fursa tosha ya kujipanga maishani mwake, kifedha na kimasomo. Mama ana uwezo wa kukimu mahitaji ya mtoto bila kutatizika.

Watoto wanao zaliwa kwa wanawake wenye umri zaidi wamedhibitishwa kuwa na furaha zaidi, na kupata elimu bora.

Mwanamke anaye jifungua katika umri huu, huwa amefanya uamuzi kuwa hili ndilo jambo ambalo angependa kufanya. Pia huwa amepita hatua za kujivinjari maishani na ako tayari kuwa mzazi.

Jinsi ya kuboresha nafasi za kujifungua mtoto mwenye afya

Ni muhimu kwa kila mzazi kuchukua hatua kuhakikisha kuwa ana afya katika safari yake ya mimba. Kufanya hivi kuna ongeza nafasi zake za kujifungua mtoto mwenye afya bora. Tazama baadhi ya mambo ambayo wanandoa wanaweza fanya ili kupata mtoto mwenye afya.

Kumwona daktari

kushika mimba baada ya miaka 35

Mwanamke anastahili kufanyiwa vipimo muda kabla ya kutunga mimba. Kuhakikisha kuwa ana afya bora kutunga mimba na kudhibitisha iwapo ako tayari kihisia kupata mtoto. Baada ya vipimo hivi, daktari atamshauri mwanamke anacho paswa kufanya na tembe za vitamini za kuchukua kabla ya kupata mimba.

Kula lishe bora

Lishe ya mama inapaswa kuwa vyakula vyenye afya. Inasaidia mtoto kukua ipasavyo, kuepuka magonjwa na kuwa na afya njema hata baada ya kuzaliwa. Hakikisha unachukua vitamini za kabla ya kujifungua kama ulivyo shauriwa na daktari wako.

Kwa wanawake walio na matatizo ya kiafya kama kisukari, hakikisha kuwa unawasiliana na daktari wako na kuchukua dawa zako ipasavyo.

Soma Pia:Je, Mwanamke Anaweza Kupata Ujauzito Bila Kujiingiza Katika Tendo La Ndoa?

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Uncategorized
  • /
  • Hatari Na Faida Za Kushika Mimba Baada Ya Miaka 35
Share:
  • Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

    Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

  • Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

    Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

  • Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

    Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

  • Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

    Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

  • Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

    Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

  • Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

    Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it