Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Hatari 7 Za Utoaji Wa Mimba Wa Kinyumbani

2 min read
Hatari 7 Za Utoaji Wa Mimba Wa KinyumbaniHatari 7 Za Utoaji Wa Mimba Wa Kinyumbani

Hatari za utoaji wa mimba wa kinyumbani ni kama vile kutatizika kiakili, mchakato kutokamilika na mama kupata ugonjwa wa pelvic disease.

Kulingana na Shirika la Afya Duniani, milioni 73 ya kutoa mimba hufanyika duniani kila mwaka. Sita kati ya mimba 10 huwa haijapangwa na tatu kati ya mimba 10 hutolewa mwishowe. Kutoa mimba bila usaidizi wa kimatibabu humweka mama katika hatari ya kupata matatizo ya kiafya na kumweka katika hatari za utoaji wa mimba wa kinyumbani.

Ikiwa mwanamke amepata mimba isiyokusudiwa, anashauriwa kutembelea kituo cha afya. Kujaribu kutoa mimba kutumia mbinu za kinyumbani za kutoa mimba punde tu anapoanza kupata dalili za mimba kunamweka katika hatari.

Kutoa mimba kunapofanyika kwenye kituo cha afya na mtaalum, mama huwa salama, ila kufanyia nyumbani bila usaidizi wa daktari kuna athari hasi. Hata hivyo, kutoa mimba nchini Kenya kumepigwa marufuku. Katika visa ambapo maisha ya mama yapo hatarini, utoaji wa mimba unaruhusiwa. Ukosefu wa mbinu za utoaji wa mimba zisizo salama huleta kutengwa kunakohusishwa na utoaji wa mimba na kuwaweka wanawake katika hatari za kifizikia, kihisia na kiakili.

Hatari za utoaji wa mimba wa kinyumbani

hatari za utoaji wa mimba wa kinyumbani

  1. Utoaji wa mimba usiokamilika

Utoaji wa mimba usiokamilika hufanyika pale ambapo tembe za kutoa mimba hazina ufanisi wa kutamatisha utoaji wa mimba. Hili linapofanyika, upasuaji wa dharura unahitajika. Kukosa matibabu ya dharura kuna muweka mwanamke katika hatari ya kupata maambukizi hatari.

2. Matatizo ya afya ya kiakili

Utoaji wa mimba unaofanyika nyumbani bila uangalifu wa mtaalum humuacha   mwanamke bila egemezo la kihisia ama kimatibabu. Mara nyingi wanawake wanaopitia hili huripoti kupata matatizo ya afya ya kiakili.

3. Kutatizika kutunga mimba siku za usoni

Utoaji wa mimba ya kinyumbani hasa usio kamilika unaweka mwanamke katika hatari ya kutatizika kushika mimba siku za usoni.

hatari za utoaji wa mimba wa kinyumbani

4. Ugonjwa wa pelvic inflammatory disease

Maambukizi ya chlamydia baada ya utoaji wa mimba unaongeza nafasi za mwanamke kupata ugonjwa wa pelvic inflammatory disease kwa asilimia 23. Ugonjwa huu una athari hasi zaidi kama kuongeza uwezekano wa mimba ya ectopic ama kukosa kupata mimba.

5. Kukosa uhusiano na watoto wako siku za usoni

Utoaji wa mimba huwa na athari hasi kihisia kwa mwanamke hasa utaratibu huu usipofanyika upasavyo. Mwanamke aliyepitia haya huenda akatatizika kuwa na uhusiano mzuri wa kihisia na watoto wake katika siku za usoni.

Kabla kufanya uamuzi wowote kuhusu mimba yako, wasiliana na daktari. Ataweza kukupatia ushauri wa kitaalum kuhusu uamuzi unaotaka kufanya.

Chanzo: Healthline

Soma Pia: Maswali 7 Maarufu Kuhusu Ngono Katika Mimba

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Pregnancy
  • /
  • Hatari 7 Za Utoaji Wa Mimba Wa Kinyumbani
Share:
  • Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

    Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

  • Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

    Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

  • Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

    Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

  • Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

    Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

  • Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

    Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

  • Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

    Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it