Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Njia 4 Za Kumfanya Mume Wako Kuwa Mwaminifu Kwa Ndoa Yenu

3 min read
Njia 4 Za Kumfanya Mume Wako Kuwa Mwaminifu Kwa Ndoa YenuNjia 4 Za Kumfanya Mume Wako Kuwa Mwaminifu Kwa Ndoa Yenu

Kubaki mwaminifu kwa mchumba wako kuna maanisha kuwa una heshimu kiapo ulicho chukua mlipo funga ndoa.

Kutoka nje ni uamuzi - sawa na kuwa mwaminifu katika uhusiano na ndoa. Ni uamuzi ambao wanandoa hufanya, wengine mara zaidi ikilinganishwa na wengine. Wakati ambapo kila wanandoa wana hadithi tofauti, ni sawa kwa wengine wote. Kubaki mwaminifu kwa mchumba wako kuna maanisha kuwa una heshimu kiapo ulicho chukua mlipo funga ndoa. Lakini hata kama uko kwa ndoa yenye furaha, ama ikiwa kutoka nje ni jambo asili kwako, katika hatua fulani, huenda ukawa umeshangaa jinsi ya kumfanya mume wako kuwa mwaminifu.

Njia 4 za kumfanya mume wako kuwa mwaminifu kulingana na wataalum wa uhusiano na ndoa

kumfanya mume wako kuwa mwaminifu

Wakati ambapo kuna njia nyingi za kum-epusha mume wako kutokana na kutoka nje ya ndoa yenu, hapa kuna baadhi ya njia ambazo unaweza anza nazo. Tazama hizi tano.

  1. Kubali kuwa kuna uwezekano wa kutoka nje

Kubali uwezekano wake kuingia kufeli. Ujiamini zaidi, na kudhania kuwa kutoka nje, hakuwezi kutendekea. Unapo kubali kuwa ana doa, kisha mnaweza anza kutia juhudi kuboresha uhusiano wenu.

Kwa njia hii, mwandishi Gretchen Rubin alieleza kuwa hautakuwa na kasi ya kumweka katika visa ambavyo anaweza kuingia kwa majaribio. Ili kuepuka kuwa na mchumba mwingine, wanandoa wanapaswa kukubali, uwezo wa mwenzi wao kuingia katika majaribio.

2. Jitenge na visa vya kukujaribu

"Usicheze na moto," kama usemi ulivyo. Kwa wachumba wote wawili, ni vyema kujitenga na visa ambapo unaweza kuingia katika majaribio. Ni vyema kuwajulisha watu walio karibu nawe kuwa una mchumba nyumbani. Ili katika mipango wanayo fanya ya kutembea mahali tofauti, wafahamu kuwa kuna sehemu ambazo sio za kuheshimika kwako.

3. Mazungumzo

Mazungumzo makuu katika uhusiano

Kufanya mazoea ya kueleza hisia na mawazo yako kuna boresha umoja wenu na kukusukuma kuwa mume bora. Kulingana na mwana saikolojia Leslie Becker-Phelps, pia inakusaidia kutatua matatizo kwa njia bora zaidi.

Mara nyingi, wanaume wanapo toka nje ya ndoa, ni kwa sababu wanahisi kuwa hawa dhaminiwi vya kutosha, ama kusikilizwa. Lakini kitendo hiki cha kutoka sio lawama kwa aliye danganywa. Kutoka nje ya ndoa ni uamuzi.

4. Usiwalazimishe

Kulingana na utafiti katika makala ya Utu na Saikolojia ya Kijamii, kumlazimisha mchumba wako kuwa mwaminifu huenda kukakosa kuwa na matunda. Kujaribu kudhibiti matendo ya mtu sio njia ya kuwafanya wawe waaminifu.

Watafiti waligundua kuwa kudhibiti matamani ya watu kulipunguza kutosheleka kwao katika uhusiano. Na kuongeza hamu yao ya kuwa na uhusiano mwingine nje. Kwa hivyo, kubali kuwa mchumba wako atapata watu wanao pendeza zaidi kukuliko katika hatua moja ama nyingine. Lakini kumbuka kuwa kuvutiwa ni tofauti na kuenda hatua nyingine ya kuwafuata na kuwa na uhusiano nao. Kuwa mwaminifu kunapaswa kuwa kitendo asili.

Kumpenda mtu ni rahisi. Na kubaki kuwa mwaminifu ni jambo linalo paswa kuwa asili kwako. Ikiwa una tatizika na jinsi ya kumfanya mume wako kuwa mwaminifu, jaribu baadhi ya mambo tuliyo dokeza.

Vyanzo: Psychology Today, WebMD, The Atlantic

Soma Pia: Ushauri Bora Kuhusu Ndoa Kwa Wanao Lenga Kuoana

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Njia 4 Za Kumfanya Mume Wako Kuwa Mwaminifu Kwa Ndoa Yenu
Share:
  • Uraibu Wa Kutoka Nje ya Ndoa Nchini Kenya

    Uraibu Wa Kutoka Nje ya Ndoa Nchini Kenya

  • Sababu Kwa Nini Mchumba Wako Atatoka Nje Ya Ndoa Yenu

    Sababu Kwa Nini Mchumba Wako Atatoka Nje Ya Ndoa Yenu

  • Watu 7 Mashuhuri Walio Zifufua Ndoa Zao Baada Ya Visa Vya Kutoka Nje Ya Ndoa

    Watu 7 Mashuhuri Walio Zifufua Ndoa Zao Baada Ya Visa Vya Kutoka Nje Ya Ndoa

  • Vidokezo 5 Muhimu Vya Kulinda Ndoa Yako Na Kurejesha Uhusiano Wenu!

    Vidokezo 5 Muhimu Vya Kulinda Ndoa Yako Na Kurejesha Uhusiano Wenu!

  • Uraibu Wa Kutoka Nje ya Ndoa Nchini Kenya

    Uraibu Wa Kutoka Nje ya Ndoa Nchini Kenya

  • Sababu Kwa Nini Mchumba Wako Atatoka Nje Ya Ndoa Yenu

    Sababu Kwa Nini Mchumba Wako Atatoka Nje Ya Ndoa Yenu

  • Watu 7 Mashuhuri Walio Zifufua Ndoa Zao Baada Ya Visa Vya Kutoka Nje Ya Ndoa

    Watu 7 Mashuhuri Walio Zifufua Ndoa Zao Baada Ya Visa Vya Kutoka Nje Ya Ndoa

  • Vidokezo 5 Muhimu Vya Kulinda Ndoa Yako Na Kurejesha Uhusiano Wenu!

    Vidokezo 5 Muhimu Vya Kulinda Ndoa Yako Na Kurejesha Uhusiano Wenu!

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it