Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Jinsi Ya Kupata Mimba Kirahisi (Vitu 3 Muhimu Kuzingatia)

2 min read
Jinsi Ya Kupata Mimba Kirahisi (Vitu 3 Muhimu Kuzingatia)Jinsi Ya Kupata Mimba Kirahisi (Vitu 3 Muhimu Kuzingatia)

Kulingana na utafiti, watu wanao kuwa na matatizo haya ya kiafya hutatizika kushika mimba. Juhudi zao za kufanikisha hili huchukua muda zaidi.

Wanandoa wanapo lenga kupata mimba, kufanya mapenzi sio jambo la furaha ama la kuwapumzisha baada ya kuwa na siku ndefu tu. Wana jaribu kufanya vyote wawezavyo ili kuongeza nafasi zao za kutunga mimba. Hata hivyo ni muhimu kwa wanandoa kuto jifilisisha kimawazo bidii zao za kutunga mimba zisipo faulu. Zidi kujaribu na bila shaka lengo lenu la kuwa wazazi litatimia siku moja. Tazama jinsi ya kupata mimba kirahisi.

Licha ya hayo, ni muhimu kwa wanandoa kufanya kazi na daktari wa masuala ya uzazi. Hivyo, atawashauri kuhusu mnavyo stahili kufanya na kuzingatia maendeleo yenu.

Tazama mbinu 3 kuu za jinsi ya kupata mimba kirahisi

Jinsi ya kupata mimba kirahisi

  • Kuzingatia siku za rutuba za mwanamke

Mwanamke huwa na siku ambapo ana rutuba zaidi katika kila mzunguko wake wa hedhi. Katika kipindi hiki ana nafasi za juu za kutunga mimba. Siku yenye rutuba zaidi inayo fahamika kama siku ya kupevuka kwa yai ama ovulation huwa siku bora zaidi ya kufanya mapenzi. Kwa wanandoa wanao lenga kuwa wazazi. Hii huwa siku ya 14 baada ya kuanza kipindi cha hedhi. Siku tano kabla ya siku hii na siku mbili baada yake.

Mwanamke anaweza fahamu siku hii kwa kuangalia mabadiliko yanayo fanyika mwilini mwake. Kama joto mwilini kuzidi, idadi ya ute unao toka kwenye kizazi kuongezeka, kuhisi hamu ya kufanya mapenzi na zinginezo.

muda wa kupima mimba

  • Mazoea ya kufanya tendo la ndoa

Ili mwanamke ashike mimba, lazima mwanamme amwage mbegu zake kwenye kizazi chake. Na tendo la ndoa ni lazima. Ili kuongeza nafasi za kushika mimba, wanandoa wana hitajika kufanya tendo hili mara nyingi. Hata hivyo ni muhimu kuto jichosha kwani kitendo hiki kina hitaji nishati, fanya mara ambapo nyote mtahisi mnaweza.

Kuna utafiti unao dokeza kuwa staili hasa za kufanya ngono zina ongeza nafasi za wanandoa kushika mimba.

  • Afya bora

Kulingana na utafiti, watu wanao kuwa na matatizo haya ya kiafya hutatizika kushika mimba. Juhudi zao za kufanikisha hili huchukua muda zaidi. Uzito zaidi ama uzani mdogo zaidi wa mwili. Mwanamke anaye taka kupata mimba ana shauriwa kuangazia lishe yake na kuhakikisha kuwa ana kula vyakula bora. Punguza unywaji wa kaffeini na bidhaa zilizo na kaffeini. Punguza unywaji wa vileo na uvutaji wa sigara.

Soma Pia: Njia Tofauti Ambazo Wanandoa Wanaweza Kufurahia Ngono Katika Mimba!

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Uncategorized
  • /
  • Jinsi Ya Kupata Mimba Kirahisi (Vitu 3 Muhimu Kuzingatia)
Share:
  • Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

    Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

  • Kufanya Mapenzi Kupata Mimba: Mambo 9 Wanandoa Wanapaswa Kujua

    Kufanya Mapenzi Kupata Mimba: Mambo 9 Wanandoa Wanapaswa Kujua

  • Mabadiliko 10 ya Kufanya Kabla ya Kupata Mimba

    Mabadiliko 10 ya Kufanya Kabla ya Kupata Mimba

  • Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

    Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

  • Kufanya Mapenzi Kupata Mimba: Mambo 9 Wanandoa Wanapaswa Kujua

    Kufanya Mapenzi Kupata Mimba: Mambo 9 Wanandoa Wanapaswa Kujua

  • Mabadiliko 10 ya Kufanya Kabla ya Kupata Mimba

    Mabadiliko 10 ya Kufanya Kabla ya Kupata Mimba

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it