Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Kinywaji Cha Kwanza Cha Siku Kinapaswa Kuwa Nini?

2 min read
Kinywaji Cha Kwanza Cha Siku Kinapaswa Kuwa Nini?Kinywaji Cha Kwanza Cha Siku Kinapaswa Kuwa Nini?

Unahitaji kuwa na nishati tosha ya kuhimiza utendaji kazi wa mwili wako wa kila siku. Chai, kahawa, maji na sharubati ni mojawapo ya vinywaji maarufu vya kuanza siku.

Unapo amka, unapaswa kunywa nini kama kinywaji chako cha kwanza cha siku? Kumbuka kuwa, unacho kunywa ama kula asubuhi kabla ya kuanza siku yako kina dhibiti jinsi siku yako itakavyo kuwa.

Unahitaji kuwa na nishati tosha ya kuhimiza utendaji kazi wa mwili wako wa kila siku. Chai, kahawa, maji na sharubati ni mojawapo ya vinywaji maarufu sana ambazo watu huchukua wanapo anza siku zao. Wengi huenda wakasema kuwa kuna kinywaji kilicho bora kuliko kingine, lakini, tungependa ufanye uamuzi huo.

Kinywaji cha kwanza siku yako

  • Chai

Kinywaji Cha Kwanza Cha Siku Kinapaswa Kuwa Nini?

Kunywa chai asubuhi unapo amka na kabla ya kuanza siku yako ni maarufu sana duniani kote. Hata kama kuna aina tofauti za chai duniani kote. Kuna chai ya kijani, nyeusi, nyeupe na ya oolong. Chai ina manufaa mengi ya kiafya. Kama vile kuwa na antioxidants zinazo kusaidia kustahimili mazoezi marefu, na kupigana dhidi ya saratani. Hata kama ina kafeini, inausaidia mwili wako kuwa na maji tosha. Ikiwa una lenga kupunguza uzito wa mwili, kunywa chai ya kijani.

  • Sharubati freshi
kinywaji cha kwanza

fruit smoothie,fruit juice

Kunywa sharubati asubuhi kuna faida nyingi za kiafya kulingana na matunda na mboga zilizo tumika. Kuna sharubati ya kila kitu na kukusaidia kutimiza malengo yoyote yale ya kiafya uliyo nayo. Kunywa sharubati asubuhi kunakusaidia kutoa sumu kwenye damu, kupunguza hamu ya kula, kuwa na nishati tosha, ngozi inayo ng’aa na kupunguza uzito kwa kasi.

  • Kahawa

athari za kafeini kwa mimba

Tofauti na imani ya watu wengi, kahawa ina manufaa ya kiafya. Kulingana na utafiti, kahawa ina antioxidants zaidi kuliko baadhi ya matunda na mboga. Ina kusaidia kuchoma ufuta mwilini, kupigana dhidi ya aina chache za saratani na pia kupunguza uchungu mwilini. Kahawa inatumika kuboresha uwezo wako wa kukumbuka.

  • Maji

maji tosha mwilini ukiwa na mimba

Kunywa maji asuuhi kabla ya kula chochote kuna manufaa mengi ya kiafya. Maji hayana virutubisho vyovyote lakini yana majukumu mengi. Yana saidia kusafisha coloni na kusaidia tumbo kutumia virutubisho kwa urahisi na pia kuhimiza uchakataji wa chakula tumboni. Pia, inasaidia kutoa sumu kwa damu yako na kuacha ngozi yako iking’aa.

Soma Pia: Ratiba ya lishe bora ya kuzingatia nchini Kenya ya mama mja mzito

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Meal Planner
  • /
  • Kinywaji Cha Kwanza Cha Siku Kinapaswa Kuwa Nini?
Share:
  • Dumisha Afya Ya Mwili Wako Kwa Kula Vyakula Hivi Kama Kiamsha Kinywa Chako

    Dumisha Afya Ya Mwili Wako Kwa Kula Vyakula Hivi Kama Kiamsha Kinywa Chako

  • Ratiba Ya Chakula Ya Kutayarisha Kwa Muda Wa Wiki Moja

    Ratiba Ya Chakula Ya Kutayarisha Kwa Muda Wa Wiki Moja

  • Sababu Kwa Nini Unahitaji Utaratibu Wa Kulala Yako Na Watoto Wako

    Sababu Kwa Nini Unahitaji Utaratibu Wa Kulala Yako Na Watoto Wako

  • Sababu 6 Za Kula Uyoga Zaidi

    Sababu 6 Za Kula Uyoga Zaidi

  • Dumisha Afya Ya Mwili Wako Kwa Kula Vyakula Hivi Kama Kiamsha Kinywa Chako

    Dumisha Afya Ya Mwili Wako Kwa Kula Vyakula Hivi Kama Kiamsha Kinywa Chako

  • Ratiba Ya Chakula Ya Kutayarisha Kwa Muda Wa Wiki Moja

    Ratiba Ya Chakula Ya Kutayarisha Kwa Muda Wa Wiki Moja

  • Sababu Kwa Nini Unahitaji Utaratibu Wa Kulala Yako Na Watoto Wako

    Sababu Kwa Nini Unahitaji Utaratibu Wa Kulala Yako Na Watoto Wako

  • Sababu 6 Za Kula Uyoga Zaidi

    Sababu 6 Za Kula Uyoga Zaidi

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it