Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Mbinu 5 Salama Za Kuanzisha Uchungu Wa Uzazi

2 min read
Mbinu 5 Salama Za Kuanzisha Uchungu Wa UzaziMbinu 5 Salama Za Kuanzisha Uchungu Wa Uzazi

Ikiwa una hisi kuwa mtoto amekawia kwa kipindi kirefu bila kufika, na siku mlio mtarajia ishafika na kupita. Ni kawaida kwa mama kuwa na shaka kuhusu mtoto kufika. Hakikisha kuwa kabla ya kujaribu mbinu yoyote ya kuanzisha uchungu wa uzazi, una wasiliana na daktari wako na uko katika wiki 39-40 za ujauzito.Tazama mbinu hizi rahisi za kuanzisha uchungu wa uzazi.

Vidokezo muhimu kwa wamama wenye mimba

kuanzisha uchungu wa uzazi

  • Tembea

Kutembea ndiyo njia maarufu zaidi inayo fahamika ya kuanzisha uchungu wa uzazi kwa wanawake. Ni maarufu kusikia mwanamke mjamzito akishauriwa kutembea ili kuanzisha kipindi chake cha uchungu wa uzazi. Kutembea kunaweza saidia kumsukuma mtoto chini kwa pelviki yako ya nne.Lakini hata kutembea kusipo anzisha uchungu wa uzazi ulivyo kusudia, juhudi zako hazikuambulia patupu. Mazoezi haya yana kutayarisha utakapo anza kujifungua.

  • Chechemua chuchu zako

Homoni ya oxytocin hutolewa mwilini chuchu zinapo chechemuliwa. Homoni hii ina weza anzisha uchungu wa uzazi inapo chechemuliwa kwa masaa 1-3 kila siku. Homoni hii ni njia kuu ya kuanza uchungu wa uzazi. Kulingana na somo moja, asilimia 40 ya walio chechemua chuchu zao kwa saa 1-3  walipata watoto wao katika kipindi cha siku tatu. Lakini, kwa mbinu zote zinazo husisha kuchechemuliwa kwa chuchu, wataalum wengi hawako makini kudhibitisha mbinu hii kuwa kamili. Hii ni kwa sababu kuna hatari ya kuchechemua chuchu zaidi. Na jambo hili linapo tendeka, huenda kubanwa kwa uchungu wa uzazi kukazidi, na kupunguza mpigo wa moyo wa fetusi.

  • Kula vyakula vyenye pilipili

Hakuna utafiti ama masomo yaliyo fanyika kuegemeza hili, lakini baadhi ya watu wana amini kuwa chakula kilicho na pilipili kina uwezo wa kumfanya mama aanze uchungu wa uzazi. Imani ni kuwa, chakula hiki kinafanya uterasi yako ianze kubana.

kuanzisha uchungu wa uzazi

  • Kufanya mapenzi

Uliza wanawake wachache na watakuambia kuwa kufanya mapenzi ndiyo mahimizo yote ambayo mtoto anahitaji ili kukuja duniani na kupatana na mamake. Mwanamke anapo fika kilele, huenda uterasi yake ikaanza kubanwa na manii ya mwanamme pia huwa na ufuta unao legeza mlango wa uke. Kwa hivyo kama hii ndiyo mbinu utakayo chagua, hakikisha kuwa umelala kwa mgongo wako ili kusaidia manii kubaki kwenye mlango wa uke.

  • Pumzika

Ikiwa una hisi kiwewe, kujaribu sana kuanzisha uchungu wa uzazi huenda kukakosa kufanikiwa. Kwa hivyo, hakikisha kuwa umepumzika na kutulia. Fanya kitu ambacho kitakufanya uhisi umetulia. Kama vile kukula kitu unacho penda ama kwenda kutazama sinema.

Soma Pia:Je, Ulifahamu? Kusukuma Katika Uchungu Wa Uzazi Kunaongeza Nafasi Za Uke Kuraruka Kwa Asilimia 700!

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Delivery
  • /
  • Mbinu 5 Salama Za Kuanzisha Uchungu Wa Uzazi
Share:
  • Vyakula Vyenye Afya Vya Kuanzisha Uchungu Wa Uzazi Kiasili

    Vyakula Vyenye Afya Vya Kuanzisha Uchungu Wa Uzazi Kiasili

  • Ishara Za Uchungu Wa Uzazi: Jinsi Ya Kujua Kuwa Mtoto Ako Njiani

    Ishara Za Uchungu Wa Uzazi: Jinsi Ya Kujua Kuwa Mtoto Ako Njiani

  • Ishara Za Uchungu Wa Uzazi

    Ishara Za Uchungu Wa Uzazi

  • Jinsi Mama Huyu Alivyo Himili Uchungu Wa Uzazi Wa Siku 20!

    Jinsi Mama Huyu Alivyo Himili Uchungu Wa Uzazi Wa Siku 20!

  • Vyakula Vyenye Afya Vya Kuanzisha Uchungu Wa Uzazi Kiasili

    Vyakula Vyenye Afya Vya Kuanzisha Uchungu Wa Uzazi Kiasili

  • Ishara Za Uchungu Wa Uzazi: Jinsi Ya Kujua Kuwa Mtoto Ako Njiani

    Ishara Za Uchungu Wa Uzazi: Jinsi Ya Kujua Kuwa Mtoto Ako Njiani

  • Ishara Za Uchungu Wa Uzazi

    Ishara Za Uchungu Wa Uzazi

  • Jinsi Mama Huyu Alivyo Himili Uchungu Wa Uzazi Wa Siku 20!

    Jinsi Mama Huyu Alivyo Himili Uchungu Wa Uzazi Wa Siku 20!

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2022 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it