Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Vidokezo Vya Kubaki Na Afya Unapo Safiri Barabarani

3 min read
Vidokezo Vya Kubaki Na Afya Unapo Safiri BarabaraniVidokezo Vya Kubaki Na Afya Unapo Safiri Barabarani

Usiwe na pupa ya kwenda choo chochote kilicho karibu nawe. Watu wameugua maambukizi hatari baada ya kutumia choo katika hali sawa.

Mwezi wa Disemba umewadia ambapo wengine wetu wanapenda kusafiri sana mahali tofauti. Lakini wakati unapo usafiri wa barabarani una fahamika kwa ajali na kukwazwa kimawazo, hakuna njia kwa nini haupaswi kuifurahia safari yako ijayo. Hapa kuna baadhi ya vidokezo vya kukusaidia kubaki na afya unapo safiri barabarani.

Lakini, mtu atawezaje kutimiza hili hasa wakati ambapo kuna uwezekano wa ajali za barabarani, maafisa wanao itisha pesa nyingi na uwezekano wa gari lililo kando yenu na kelele nyingi ama wageni msio juana.

Kumbuka kuwa 'afya ni mali' na wakati wa safari ya barabarani, kuwa makini na afya yako ni muhimu kama kuwatembelea jamii wako wakati wa likizo hizi.

Katika hatua tano, hapa kuna baadhi ya mapendekezo ya kukusaidia kubaki na afya unapo safiri barabarani.

  • Tayarisha chakula na vitamu tamu vyako

kula wanga katika mimba

Huku kuna maanisha kuwa hakuna mama pima ama kununua kwa wauza barabarani. Unataka kuhakikisha kuwa wakati wote wa safari hii, unakula chakula chenye afya na kilicho salama kwa sababu itakuwa ajali mbaya kuanza kuumwa na tumbo wakati wa safari hii; ama safari yoyote ile.

Kuhakikisha kuwa unacho kula wakati wa safari ni salama, weka baadhi ya vitamu tamu, na uweke chakula kwenye kifaa cha kuhifadhi chakula baridi.

Sio vibaya kununua matunda ama njugu kutoka kwa wauza barabarani, ili kumbuka kuyaosha vyema kabla ya kula.

Pia, unaweza beba vitamu tamu ambavyo vina dumu kwa muda na vinaweza baki freshi hadi kwa masaa sita.

  • Beba maji

maji tosha mwilini ukiwa na mimba

Utakuwa mahali palipo fungwa kwa masaa mengi. Ni kawaida kupata joto jingi, kuumwa na kichwa ama kukwazwa kimawazo.

Maji peke yake hayata kata kiu chako lakini pia yatasaidia kupunguza maumivu ya kichwa.

Kumbuka kuwa makini na kiwango cha maji unacho kunywa ikiwa una kibofu kidogo. Hautaki kuwa msafiri mbaya anaye msihi dereva asimamishe gari mara kwa mara aende haja ndogo.

  • Nyoosha mwili wako mnapo simama

Kuwa mahali pamoja kuna chokesha bila shaka na huenda mifupa yako ikaganda.

Hakikisha kunyoosha mikono yako, miguu, mabega, mgongo na miguu mnapo simama. Kwa njia hii, una uanzia tena mfumo wako wa kuzungusha damu mwilini. Ni kidokezo muhimu cha kubaki na afya unapo safiri barabarani.

  • Epuka vyoo vya uma visivyo takaswa

Usiwe na pupa ya kwenda choo chochote kilicho karibu nawe. Watu wameugua maambukizi hatari baada ya kutumia choo katika hali sawa.

Badala yake, angalia njia mbadala kama vile kutumia kiwanja wazi (ambacho huwenda kikawa salama zaidi kuliko choo cha uma).

  • Husisha ubongo wako

Vidokezo Vya Kubaki Na Afya Unapo Safiri Barabarani

Kuenda safarini sio jisababu ya kufanya seli za ubongo wako zife. Soma kitabu, ama makala kwenye simu ama hata gazetti, anzisha mjadala wa ushupavu, pumzika ama hata uangalie video kwenye mtandao.

Chochote unacho fanya, epuka kufanya ubongo wako ubaki bila kufanya chochote.

Soma Pia: Sababu 7 Za Kuwa Hamasisha Wanawake Kwenye Jamii

 

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Lifestyle
  • /
  • Vidokezo Vya Kubaki Na Afya Unapo Safiri Barabarani
Share:
  • Vyakula 7 Hatari Kwa Afya Yako Vinavyo Sifiwa Kuwa Na Afya

    Vyakula 7 Hatari Kwa Afya Yako Vinavyo Sifiwa Kuwa Na Afya

  • Kusafiri Na Mtoto Mchanga: Kanuni Muhimu Za Kuzingatia

    Kusafiri Na Mtoto Mchanga: Kanuni Muhimu Za Kuzingatia

  • Maambukizi Yanayo Sababisha Mwanake Mwenye Mimba Kuharibika Kwa Mimba

    Maambukizi Yanayo Sababisha Mwanake Mwenye Mimba Kuharibika Kwa Mimba

  • Utafiti: Wanawake Wenye Wanaume Wa Kuvutia Huwa Na Nafasi Zaidi Za Mitindo Ya Lishe Isiyo Ya Afya

    Utafiti: Wanawake Wenye Wanaume Wa Kuvutia Huwa Na Nafasi Zaidi Za Mitindo Ya Lishe Isiyo Ya Afya

  • Vyakula 7 Hatari Kwa Afya Yako Vinavyo Sifiwa Kuwa Na Afya

    Vyakula 7 Hatari Kwa Afya Yako Vinavyo Sifiwa Kuwa Na Afya

  • Kusafiri Na Mtoto Mchanga: Kanuni Muhimu Za Kuzingatia

    Kusafiri Na Mtoto Mchanga: Kanuni Muhimu Za Kuzingatia

  • Maambukizi Yanayo Sababisha Mwanake Mwenye Mimba Kuharibika Kwa Mimba

    Maambukizi Yanayo Sababisha Mwanake Mwenye Mimba Kuharibika Kwa Mimba

  • Utafiti: Wanawake Wenye Wanaume Wa Kuvutia Huwa Na Nafasi Zaidi Za Mitindo Ya Lishe Isiyo Ya Afya

    Utafiti: Wanawake Wenye Wanaume Wa Kuvutia Huwa Na Nafasi Zaidi Za Mitindo Ya Lishe Isiyo Ya Afya

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it