Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Jinsi Ya Kuzuia Kutunga Mimba Kiasili Baada Ya Ngono

3 min read
Jinsi Ya Kuzuia Kutunga Mimba Kiasili Baada Ya NgonoJinsi Ya Kuzuia Kutunga Mimba Kiasili Baada Ya Ngono

Unapotumia njia yoyote ile kuepuka kutunga mimba kiasili baada ya ngono, ni vizuri kufahamu kuwa ni vyema kuzungumza na daktari wako.

Kila wakati mwanamke anapofanya mapenzi kuna uwezekano wa kubeba mimba. Iwapo  mtu hayuko tayari kushika mimba huweza kutumia kinga. Kunazo njia za kuepuka kutunga mimba kiasili baada ya ngono.

Kuepuka Kutunga Mimba Kiasili Baada Ya Ngono

 

hamu ya chini ya ngono

Wanandoa wengi hukadiria kuwa na watoto ila kwa mpango. Kwa hii sababu, wengi huzuia mimba zisizotarajiwa  kwa kutumia dawa za kupanga uzazi ambazo mara nyingi huwa na madhara kwa mwili. Hili husababisha wengi kutafuta  njia za kiasili ambazo zinaweza kuzuia ujauzito. Lakini  hakuna njia yoyote ambayo ina ufanisi wa asilimia 100. Hivyo ni busara kujikinga ipasavyo.

Kuna njia ambazo huwiana moja kwa moja na mwili na utafiti wa kisayansi. Kujiepusha na mapenzi katika hivi vipindi huzuia ujauzito.  Kama vile:

  • Kufanya mapenzi kwenye kipindi kisicho cha rutuba. Unaweza kuepuka siku zako za rutuba ambazo hutokea wiki mbili kabla ya kipindi cha hedhi
  • Kutumia njia ya kuchomoa uume wakati wa kufanya mapenzi
  • Kuzingatia joto lako la mwilini. Ongezeko la joto mwilini huweza kuashiria kipindi cha rutuba. Unaweza kufuatilia joto lako la mwili baada ya siku zako za hedhi kufika kikomo. Wakati wa kupevuka kwa yai joto la mwilini huweza kuongezeka  na kufikia kilele siku yai litakapopevuka
  • Tazama ute unaotoka ukeni . Kwa kawaida mwanamke hutoa ute kutoka ukeni . Lakini hubadilika kwa rangi na mtiririko wakati yai linapevuka

Njia Asili Za Kuzuia Kutunga Mimba

 

Hizi njia hujulikana kufanya kazi lakini hakuna utafiti wa kisayansi kudhibitisha ufanisi wake:

  • Papai: Wengi huamini ikiwa utafanya mapenzi bila kinga, kula papai mara mbili kwa siku kwa siku tatu au nne zinazofuatia kunaweza punguza uwezekano wako wa kubeba mimba
  • Tangawizi: Hii huaminika kuchochea kipindi cha hedhi  na kuzuia ujauzito. Kuweka tangawizi kwenye maji yaliyochemka kwa dakika tano  kisha kuyakunywa mara mbili kwa siku

kuepuka kutunga mimba kiasili baada ya ngono

  • Parachichi: Hii hujulikana kuzuia mimba kwa njia ya kiasili. Gramu 100 za parachichi zilizokaushwa huchemshwa kwenye maji na kuongeza kijiko kimoja cha asili
  • Mtini uliokaushwa: Hizi husaidia katika mzungumko wa damu. Hakuna utafiti unaoonyesha kuwa kula mtini husaidia kuzuia ujauzito
  • Mdalasini : Hiki ni kiungo kinachotumika kwenye vyakula. Lakini hujulikana kuchochea uterasi na kusababisha kutoka kwa mimba
  • Kitimiri : Pia hujulikana kama njia mwafaka ya kuzuia ujauzito
  • Mwarobaini : Kudunga tumbo la uzazi kwa kutumia mafuata ya mwarobaini huweza kuua mbegu za kiume. Na kula tembe za mwarobaini hupunguza uwezo wa mwanamume wakufanya mapenzi

kuepuka kutunga mimba kiasili baada ya ngono

  • Nanasi : Hukisiwa kuwa nanasi ina uwezo wa kuzuia mimba.  Kula nanasi mbichi kila siku kwa siku mbili hadi tatu baada ya kufanya mapenzi huzuia ujauzito
  • Buckwheat : Hii hujulikana kuzuia kujipandikiza kwa yai kwenye tumbo la uzazi.
  • Kiazi kikuu mwitu: Kula mara mbili kwa siku kwa mwezi mmoja huaminika kufanya kazi kuzuia kubeba mimba

Unapotumia njia yoyote ile kuepuka kutunga mimba kiasili baada ya ngono, ni vizuri kufahamu kuwa ni vyema kuzungumza na daktari wako. Hii ni iwapo unatafuta njia mwafaka ya kuzuia mimba kwa muda mrefu. Njia ama vyakula vilivyotajwa hapa juu havina ufanisi wa asilimia 100 ama kutokuwa na madhara. Vingine vina madhara yanayochukua muda kugunduliwa.

Soma Pia: Sifa Za Hedhi Baada Ya Mimba Kutoka Ikilinganishwa Na Hedhi Ya Kawaida

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Pregnancy
  • /
  • Jinsi Ya Kuzuia Kutunga Mimba Kiasili Baada Ya Ngono
Share:
  • Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

    Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

  • Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

    Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

  • Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

    Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

  • Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

    Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

  • Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

    Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

  • Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

    Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it