Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Kufanya Tendo La Ndoa Kila Siku Kuna Manufaa Gani Kwa Afya Yako?

3 min read
Kufanya Tendo La Ndoa Kila Siku Kuna Manufaa Gani Kwa Afya Yako?Kufanya Tendo La Ndoa Kila Siku Kuna Manufaa Gani Kwa Afya Yako?

Kufanya mapenzi kila siku katika ndoa kuna boresha uhusiano wenu na kufanya utangamano wenu uwe bora zaidi.

Kufanya mapenzi kila siku sio jambo nadra kwa walio funga pingu za maisha hivi karibuni ama wanandoa katika siku za mapema za uhusiano wao. Hawatosheleki kuwa pamoja wakati wote. Kwa hivyo tendo la ndoa ni jambo asili linalo tosheleza.

Lakini muda unapo pita, hisia za kufanya ngono wakati wote zinapungua. Kazi huingilia ufanyaji ngono wenu. Kisha mnapata watoto, na majukumu yenu yana badilika. Ama wakati mwingine mmechoka sana kufanya ngono baada ya siku mrefu ya kufanya kazi.

Baadhi ya wakati, hii ni sawa na mnaweza pata wakati wenu wikendi ama likizo. Lakini wakati mwingine, huenda ikawa vigumu kwa ndoa yako mnapokosa wakati wenu wa kipekee na kufanya mapenzi na mchumba wako.

Kwa hivyo, mwandishi wa Umarekani na mama wa watoto watatu Brittany Gibbons aliamua kufanya majaribio kwa kufanya ngono na bwana yake kila usiku kwa mwaka mzima.

Na haya ndiyo alisoma kutokana na hilo.

kufanya mapenzi kila siku

Mambo 3 yanayo fanyika mwilini mwako na akilini baada ya kufanya mapenzi kila siku

  1. Kuboresha ujasiri wako

Unapo fanya kitu kwa muda mrefu, kinakuwa na uzoefu. Lakini hutaki kufanya mapenzi kuanze kukosa ladha. Kwa hivyo lazima utie juhudi ili kufanya ngono kuwe na ladha. Baada ya wakati, ujasiri wako utaongezeka.

Brittany anaeleza kuwa baada ya mtoto wake wa tatu, hakuhisi starehe kuwa uchi. "Nilizima sitima wakati wa tendo la ndoa, nikaficha tumbo na chuchu kwa mavazi mepesi, na kungoja mume wangu atoke chumbani kabla ya kutoka kwenye bafu hadi kwenye chumba cha kuvalia," alisema.

Baada ya kuzungumza na rafiki yake, aliamua kufanya tendo la ndoa kila siku kwa mwaka ili kujilazimisha kupenda mwili wake mpya. Na akazoea hisia za kuwa uchi na kuguswa na bwana yake baada ya miezi michache katika jaribio lake. Hakujipata akijificha tena.

2. Unaanza kutazamia tendo hilo

kufanya mapenzi kila siku

Mama, huenda ukaweza kuelewa Brittany anacho sema kuhusu kuto kuwa na starehe na mwili wake. Wanawake wengi huhisi wana hofu kuhusu wanavyo kaa. Na kuathiri maisha yao ya kingono. Lakini unapofanya mapenzi kila siku, utaanza kutazamia kufanya tendo hilo.

3. Kubadilisha uhusiano wenu

Kufanya tendo la ndoa kila siku kutabadilisha jinsi uhusiano wenu ulivyo. Baada ya miezi michache ya kufanya mapenzi na mume wake kila siku, Brittany alisema kuwa uhusiano huo wa kila mara ulianza kuonekana nje ya chumba cha kulala.

"Tuna mapenzi zaidi kama wanandoa, kugusana mikono tunapo pitana, kumbusiana zaidi baada ya kazi na sio peck tu. Uhusiano wetu una nguvu zaidi na ndoa yetu inafuzu."

Wanandoa wanapaswa kufanya mapenzi kila siku wanapo hisi kuwa wameanza kutengana.

Chanzo: News.com.au

Soma Pia: Jinsi Ya Kuanzisha Tendo La Ndoa Na Mumeo Ili Kuibua Cheche Katika Ndoa Yenu

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Kufanya Tendo La Ndoa Kila Siku Kuna Manufaa Gani Kwa Afya Yako?
Share:
  • Tendo La Ndoa Ni Bora Kwa Afya Na Uhusiano Wako: Kwa Njia Hizi

    Tendo La Ndoa Ni Bora Kwa Afya Na Uhusiano Wako: Kwa Njia Hizi

  • Umuhimu Wa Tendo La Ndoa Katika Ndoa

    Umuhimu Wa Tendo La Ndoa Katika Ndoa

  • Jinsi Ya Kuanzisha Tendo La Ndoa Na Mumeo Ili Kuibua Cheche Katika Ndoa Yenu

    Jinsi Ya Kuanzisha Tendo La Ndoa Na Mumeo Ili Kuibua Cheche Katika Ndoa Yenu

  • Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa Na Matibabu Yake

    Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa Na Matibabu Yake

  • Tendo La Ndoa Ni Bora Kwa Afya Na Uhusiano Wako: Kwa Njia Hizi

    Tendo La Ndoa Ni Bora Kwa Afya Na Uhusiano Wako: Kwa Njia Hizi

  • Umuhimu Wa Tendo La Ndoa Katika Ndoa

    Umuhimu Wa Tendo La Ndoa Katika Ndoa

  • Jinsi Ya Kuanzisha Tendo La Ndoa Na Mumeo Ili Kuibua Cheche Katika Ndoa Yenu

    Jinsi Ya Kuanzisha Tendo La Ndoa Na Mumeo Ili Kuibua Cheche Katika Ndoa Yenu

  • Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa Na Matibabu Yake

    Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa Na Matibabu Yake

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it