Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Je, Ni Sawa Kunywa Pombe Ukiwa Na Mimba?

2 min read
Je, Ni Sawa Kunywa Pombe Ukiwa Na Mimba?Je, Ni Sawa Kunywa Pombe Ukiwa Na Mimba?

Kunywa pombe ukiwa mjamzito kuna athari hasi kwa afya ya mtoto wako na kumuweka katika hatari ya matatizo ya kimaumbile baada ya kuzaliwa.

Ushauri mkuu utakao pata kutoka kwa marafiki na jamaa zako wanapo gundua kuwa una mimba, kitu cha kwanza huenda kikawa, "koma kutumia vileo". Na huenda ukawa na maswali mengi akilini. Mbona huu ndiyo ushauri wa kwanza unao pokea? Kunywa pombe ukiwa na mimba kuna athari zipi? Kwako na kwa mtoto?

Mama anapo pata mimba, ana shauriwa kula chakula cha afya kwani, chakula hakisaidii utendaji kazi mwilini mwake tu, mbali mtoto anaye kua tumboni mwake ana tarajia chakula hiki pia. Huku kuna maana kuwa, chochote ambacho mama anatumia, kinamfikia mtoto kupitia kwa kitovu kisha kuingia kwa placenta na kumfikia mtoto.

Pombe itam zuia mtoto kukua ipasavyo, huenda ika athiri ubongo wake na viungo vingine vinavyo anza kukua katika wakati huu. Matatizo sugu ambayo huenda yaka ibuka kufuatia utumiaji vileo ungali na mimba ni kama vile:

Athari hasi za pombe kwa fetusi

Je, Ni Sawa Kunywa Pombe Ukiwa Na Mimba?

Kupoteza mimba: Kunywa pombe ukiwa na mimba kunaweza sababisha kuharibika kwa tumbo ama mimba ingali miezi michache.

Kifo cha mtoto angali tumboni: Katika trimesta yako ya pili ya mimba, unaweza mpoteza mtoto wako angali tumboni.

Uchungu wa uzazi usio komaa: Kwa wanawake wanao zidi kutumia vileo na mvinyo wakiwa katika safari yao ya mimba, huenda waka tatizika na uchungu wa mapema wa uzazi. Kujifungua mtoto kabla ya wakati, huenda akaugua matatizo mengi ya kiafya kama vile matatizo ya kupumua na mafua ambayo hayaja komaa.

Changamoto za kimwili kwa mtoto: Baadhi ya watoto wanao zaliwa kwa mama aliye kuwa akitumia vileo akiwa na mimba, huenda wakawa na matatizo ya moyo ama figo.

FASDs (Fetal alcohol spectrum disorders): Watoto wanao ugua maradhi haya huenda waka athiriwa kimaumbile, wanavyo fikiria na uwezo wao wa kusoma. Kuwa na matatizo ya kiakili na ukuaji ambayo huenda yaka dumu.

Watoto walio na FASDs huenda:

kunywa pombe ukiwa na mimba

  • Wakawa wafupi, wadogo na wenye uzani wa chini wa kimwili
  • Kuwa na ngozi laini kati ya pua na ulimi wa juu badala ya umbo la kawaida
  • Kuwa na uwezo duni wa kukumbuka na matatizo ya kusoma
  • Kutatizika kuwa makini darasani
  • Matatizo ya kuzungumza ama kuandamana na watu wengine
  • Kufanya uamuzi duni

Mama, una shauriwa kujitenga na mvinyo katika kipindi hiki muhimu sana maishani mwako. Kisha baada ya kumaliza kumnyonyesha mtoto wako, utakuwa huru kuanza kutumia vileo tena.

Soma Pia: Vyakula Vya Mimba: Umuhimu Wa Kalisi Katika Ujauzito

 

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Pregnancy
  • /
  • Je, Ni Sawa Kunywa Pombe Ukiwa Na Mimba?
Share:
  • Athari Hasi Za Pombe Kwa Fetusi: Yote Unayo Hitajika Kujua

    Athari Hasi Za Pombe Kwa Fetusi: Yote Unayo Hitajika Kujua

  • Ni Kawaida Kuwa Na Hedhi Ukiwa Na Mimba?

    Ni Kawaida Kuwa Na Hedhi Ukiwa Na Mimba?

  • Je, Ni Salama Kunywa Maji Moto Ukiwa Na Mimba?

    Je, Ni Salama Kunywa Maji Moto Ukiwa Na Mimba?

  • Maambukizi Yanayo Sababisha Mwanake Mwenye Mimba Kuharibika Kwa Mimba

    Maambukizi Yanayo Sababisha Mwanake Mwenye Mimba Kuharibika Kwa Mimba

  • Athari Hasi Za Pombe Kwa Fetusi: Yote Unayo Hitajika Kujua

    Athari Hasi Za Pombe Kwa Fetusi: Yote Unayo Hitajika Kujua

  • Ni Kawaida Kuwa Na Hedhi Ukiwa Na Mimba?

    Ni Kawaida Kuwa Na Hedhi Ukiwa Na Mimba?

  • Je, Ni Salama Kunywa Maji Moto Ukiwa Na Mimba?

    Je, Ni Salama Kunywa Maji Moto Ukiwa Na Mimba?

  • Maambukizi Yanayo Sababisha Mwanake Mwenye Mimba Kuharibika Kwa Mimba

    Maambukizi Yanayo Sababisha Mwanake Mwenye Mimba Kuharibika Kwa Mimba

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it