Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Jinsi Ambavyo Mwanamke Anaweza Kuongeza Nafasi Zake Za Kutunga Mimba

2 min read
Jinsi Ambavyo Mwanamke Anaweza Kuongeza Nafasi Zake Za Kutunga MimbaJinsi Ambavyo Mwanamke Anaweza Kuongeza Nafasi Zake Za Kutunga Mimba

Kutumia uzazi wa mpango haku athiri uwezo wako wa kutunga mimba siku za usoni. Ila kuna baadhi ya wanawake watakao chukua muda zaidi kutunga mimba baada ya kukoma kutumia.

Kwa mwanamke anaye tatizika kupata mimba ama ambaye angependa kuongeza nafasi zake za kupata mimba, kuna baadhi ya vitu ambavyo anaweza kufanya.

Njia hasa ya kuongeza nafasi zake za kutunga mimba ni kufahamu siku ya kupevuka kwa yai. Mara nyingi, hii huwa siku ya 14 baada ya kuanza hedhi yake. Baada ya yai kuachiliwa kutoka kwa ovari, lina uwezo wa kudumu mwilini kwa siku moja. Huku manii yakiwa na uwezo wa kudumu mwilini hadi wiki moja. Siku mbili kabla na siku tatu baada ya siku ya kupevuka kwa yai, huwa siku ambazo mwanamke ana rutuba zaidi. Na ana nafasi zaidi za kutunga mimba.

Kalenda ya hedhi

kuongeza nafasi za kupata mimba

close up of calendar and clock on green background, planning for business meeting or travel planning concept (close up of calendar and clock on green background, planning for business meeting or travel planning concept, ASCII, 109 components, 109 byte

Miili ya wanawake huwa tofauti, sawa na mizunguko ya hedhi kwa kila mmoja. Huku wanawake wengine wakiwa na mizunguko ya hedhi iliyo ya kawaida, kwa wengine hubadilika. Kuwa na kalenda ya mzunguko wa hedhi, kuna msaidia mwanamke kufahamu siku anazo kuwa na rutuba zaidi. Ili kufanya tendo la ndoa na kuongeza nafasi yake ya kutunga mimba. Kalenda hii pia inaweza kumsaidia kuepuka kutunga mimba kwa kumsaidia kufahamu siku anazo stahili kujiepusha na tendo la ndoa. Kalenda hii inamsaidia mwanamke kufahamu siku atakapo pata hedhi.

Chati ya rutuba

Chati hii ya rutuba ina mwezesha mwanamke kufahamu mzunguko wake wa hedhi. Kwa kudhibitisha mabadiliko mwilini kama vile, ongezeko la temprecha, mabadiliko kwenye kamasi ya uke na siku zenye rutuba.

Uzazi wa mpango

kuongeza nafasi za kupata mimba

Kwa mwanamke anaye tumia mojawapo ya mbinu za uzazi wa mpango na angependa kupata mimba. Ni vyema wakati wote kuwasiliana na daktari wake ama kuenda kwenye kituo cha afya. Kwa wanao tumia tembe, koma kuzitumia, kwa walio na kifaa cha IUD, lazima kitolewe mwilini.

Kutumia uzazi wa mpango haku athiri uwezo wako wa kutunga mimba siku za usoni. Ila kuna baadhi ya wanawake watakao chukua muda zaidi kutunga mimba baada ya kukoma kutumia mojawapo ya mbinu za kupanga uzazi. Mwanamke anaweza tumia njia hizi kuongeza nafasi za kupata mimba, lakini akumbuke kuwasiliana na daktari wake kwanza.

Chanzo: Healthline

Soma Pia:Njia Za Uzazi Wa Mpango Kwa Wanaume Na Athari Zake!

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Becoming a Mama
  • /
  • Jinsi Ambavyo Mwanamke Anaweza Kuongeza Nafasi Zake Za Kutunga Mimba
Share:
  • Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

    Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

  • Njia 5 za Kujitayarisha kwa Uchungu wa Mama

    Njia 5 za Kujitayarisha kwa Uchungu wa Mama

  • Vitu Vya Kufanya Kabla ya Kuenda Hospitali Kujifungua

    Vitu Vya Kufanya Kabla ya Kuenda Hospitali Kujifungua

  • Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

    Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

  • Njia 5 za Kujitayarisha kwa Uchungu wa Mama

    Njia 5 za Kujitayarisha kwa Uchungu wa Mama

  • Vitu Vya Kufanya Kabla ya Kuenda Hospitali Kujifungua

    Vitu Vya Kufanya Kabla ya Kuenda Hospitali Kujifungua

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it