Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Kupata Mtoto Katika Umri Wa Miaka 50: Mambo Muhimu Ya Kufahamu

2 min read
Kupata Mtoto Katika Umri Wa Miaka 50: Mambo Muhimu Ya KufahamuKupata Mtoto Katika Umri Wa Miaka 50: Mambo Muhimu Ya Kufahamu

Mwanamke huzaliwa na mayai na anapo fikisha miaka ya kuanza kupata kipindi cha hedhi, yai lililo komaa huachiliwa kwa kila kipindi.

Kupata mtoto katika umri wa miaka 35 siku hizi kumekuwa tukio la kawaida kuliko hapo mbeleni. Ila wanawake hawakomi kupata mimba katika umri huo. Wanawake wengi wanazidi kufuzu kupata mtoto wakiwa katika umri wa miaka 40's na hata 50's.

Mengi yamesemwa kuhusu saa ya kibiolojia ya wanawake na ni kweli kuwa umri una athiri kutunga mimba kwa asili. Shukrani kwa teknolojia zinazo zidi kuboreshwa kila siku, nyanja ya uzalishaji imezidi kuimarika kila uchao. Na kufanya mambo yaliyo kuwa magumu hapo awali kuwa rahisi. Kwa hivyo hata kama uko na miaka 40 ama 50, kupata mtoto kunawezekana. Ikiwa una fikira za kupata mtoto ukiwa na miaka 50, huenda ukawa na maswali mengi sana, soma makala haya upate kuelimika.

Faida za kupata mtoto baadaye maishani

kupata mtoto katika 50s

Kupata mtoto ukiwa na umri zaidi kuna kupatia wakati tosha wa kusafiri, kumaliza masomo, kupata kazi na kujijua vyema kabla ya kufanya uamuzi wa kupata familia. Hizi ni baadhi ya sababu kwa nini watu hufanya uamuzi wa kutokuwa wazazi mapema maishani mwao.

Ama kupata mchumba baadaye maishani. Faida nyingine ya kupata watoto baadaye maishani ni kuwa utakuwa na fedha za kutosha kuwalea watoto wako.

Hatari za kupata watoto katika umri huu

  • Kisukari cha gestational
  • Preeclampsia
  • Mimba ya ectopic
  • Kuharibika kwa mimba
  • Kifo cha mtoto tumboni

Kujifungua baadaye maishani hakuathiri mama peke yake, mbali mtoto pia. Kivipi? Tazama:

  • Matatizo ya kusoma
  • Matatizo ya kuzaliwa
  • Uzito mdogo wa mwili

Mama ana shauriwa kushauriwa kwanza na madaktari kabla ya kujifungua ili aelezewe mambo nyeti anayo faa kufahamu.

Jinsi ya kupata mtoto katika miaka ya 50'skupata mtoto katika 50s

 

Mwanamke huzaliwa na mayai na anapo fikisha miaka ya kuanza kupata kipindi cha hedhi, yai lililo komaa huachiliwa kwa kila kipindi. Na wanapo zidi kuzeeka, idadi ya mayai huzidi kupunguka. Na kufanya iwe vigumu kwa mwanamke kutunga mimba akiwa na idadi ndogo ya mayai. Hakikisha kuwa una wasiliana na daktari unapo jaribu kutunga mimba katika umri huu. Huenda uka shauriwa kuchukua dawa za rutuba kuhakikisha kuwa una tunga. Kwa sababu zitaongeza idadi ya mayai yaliyo komaa yanayo achiliwa kwa kila mzunguko.

Mbinu almaarufu ya IVF(in vitro fertilization) huenda ikawa chaguo kwako, ambapo yai linatolewa mwilini na kurutubishwa kutumia manii kwenye maabara kabla ya kurudishwa kwenye uterasi.

Soma Pia:Kuna Uwezekano Wa Kupata Mimba Unapo Nyonyesha?

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Trying To Conceive
  • /
  • Kupata Mtoto Katika Umri Wa Miaka 50: Mambo Muhimu Ya Kufahamu
Share:
  • Kuna Uwezekano Wa Mama Kupata Mimba Katika Umri Wa Ugumba?

    Kuna Uwezekano Wa Mama Kupata Mimba Katika Umri Wa Ugumba?

  • Mwanamke Ako Katika Hatari Gani Anapo Jifungua Na Miaka Zaidi Ya 35

    Mwanamke Ako Katika Hatari Gani Anapo Jifungua Na Miaka Zaidi Ya 35

  • Orodha Ya Vyakula Bora Vya Kukusaidia Kupata Mtoto Kirahisi

    Orodha Ya Vyakula Bora Vya Kukusaidia Kupata Mtoto Kirahisi

  • Jinsi Ya Kupata Mimba Baada Ya Kipindi Chako Cha Hedhi

    Jinsi Ya Kupata Mimba Baada Ya Kipindi Chako Cha Hedhi

  • Kuna Uwezekano Wa Mama Kupata Mimba Katika Umri Wa Ugumba?

    Kuna Uwezekano Wa Mama Kupata Mimba Katika Umri Wa Ugumba?

  • Mwanamke Ako Katika Hatari Gani Anapo Jifungua Na Miaka Zaidi Ya 35

    Mwanamke Ako Katika Hatari Gani Anapo Jifungua Na Miaka Zaidi Ya 35

  • Orodha Ya Vyakula Bora Vya Kukusaidia Kupata Mtoto Kirahisi

    Orodha Ya Vyakula Bora Vya Kukusaidia Kupata Mtoto Kirahisi

  • Jinsi Ya Kupata Mimba Baada Ya Kipindi Chako Cha Hedhi

    Jinsi Ya Kupata Mimba Baada Ya Kipindi Chako Cha Hedhi

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it