Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Sababu 5 Kwa Nini Kutoka Nje Katika Ndoa Kumekuwa Kawaida Sana

2 min read
Sababu 5 Kwa Nini Kutoka Nje Katika Ndoa Kumekuwa Kawaida SanaSababu 5 Kwa Nini Kutoka Nje Katika Ndoa Kumekuwa Kawaida Sana

Huenda ukaona wanandoa wakiwa katika ncha ya kutengana kufuatia visa vilivyo ongezeka vya kuwa na wachumba nje ya ndoa.

Kutoka nje ya katika ndoa kuna ongezeka mahitaji ya kihisia na kifizikia yasipo timizwa katika ndoa.

Sababu Kwa Nini Visa Vya Kutoka Nje Katika Ndoa Vimeongezeka

kutoka nje katika ndoa

Huenda ukaona wanandoa wakiwa katika ncha ya kutengana kufuatia visa vilivyo ongezeka vya kuwa na wachumba nje ya ndoa.

Mojawapo ya sababu kuu zinazo changia kutoka nje ya ndoa ni kuongezeka katika kuto jali kati ya wanandoa na kupuuza mahitaji ya kihisia na kifizikia.

Katika ndoa zilizo fuzu, wanandoa wanaelewa kuwa kuna uraibu wa kutoka nje kwa hivyo wanafanya wawezavyo kuepuka hayo.

1.Wanandoa wanapo fikiria kuwa hawatawahi shikwa wakitoka nje

Nafasi za kupatikana ukidanganya katika ndoa zimeongezeka ikilinganishwa na hapo awali ambapo huenda ikawa ilikuwa vigumu kidogo. Wanandoa wanapo kosa kujali, wazo la kupatikana huwa haliwakujii na kwa hivyo inakuwa rahisi kufikiria kuwa kuna mtu anaye washuku.

2. Athari za kutoka nje ya ndoa hazijawahi kukutendekea

Kusalitiwa na mwenzi wako sio wazo rahisi. Mtu uliye mwamini zaidi alidanganya na hauoni ndoa yenu itakavyo endelea kuwa. Hakuna anaye penda kupitia hilo.

Sababu 5 Kwa Nini Kutoka Nje Katika Ndoa Kumekuwa Kawaida Sana

3. Kudhania kuwa mchumba wako hajali

Maisha huenda yaka ingilia kati maisha yenu, watoto na kazi zinaweza washika, huenda mkakosa wakati tosha wa kuwa pamoja. Wanandoa wanapaswa kutenga wakati tosha wa kuwa pamoja na wanandoa wao.

4. Tabia ya kutoka nje iko kwenye familia

Ikiwa kuna historia ya kuwa na wachumba nje ya ndoa, huenda ukajipata ukifuata mkondo huo na kuwa na mchumba zaidi ya mmoja. Ni vyema kumjuza mchumba wako na kujua mawazo yake kuhusu kutoka nje.

5. Nafasi za kudanganya

Ni vigumu kuepuka majaribio, lakini kuna njia ambazo unaweza jitenga na majaribio haya. Hakikisha kuwa mna wasiliana wakati ambapo mmoja wenu ako mbali.

Kumbuka kuwa ndoa ni uamuzi wa watu wawili kuanzia familia pamoja. Uaminifu ni muhimu katika ndoa ili maisha yenu yawe ya kupendeza. Hakikisha kuwa mna zungumza mnapo kuwa na suala lolote linalo wasumbua ili kuepuka majaribio ya kutoka nje ya ndoa.

Soma Pia: Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Sababu 5 Kwa Nini Kutoka Nje Katika Ndoa Kumekuwa Kawaida Sana
Share:
  • Watu 7 Mashuhuri Walio Zifufua Ndoa Zao Baada Ya Visa Vya Kutoka Nje Ya Ndoa

    Watu 7 Mashuhuri Walio Zifufua Ndoa Zao Baada Ya Visa Vya Kutoka Nje Ya Ndoa

  • Sababu 3 Kwa Nini Wanawake Hutoka Nje Ya Ndoa Kulingana Na Wataalum

    Sababu 3 Kwa Nini Wanawake Hutoka Nje Ya Ndoa Kulingana Na Wataalum

  • Sababu Kwa Nini Mchumba Wako Atatoka Nje Ya Ndoa Yenu

    Sababu Kwa Nini Mchumba Wako Atatoka Nje Ya Ndoa Yenu

  • Uraibu Wa Kutoka Nje ya Ndoa Nchini Kenya

    Uraibu Wa Kutoka Nje ya Ndoa Nchini Kenya

  • Watu 7 Mashuhuri Walio Zifufua Ndoa Zao Baada Ya Visa Vya Kutoka Nje Ya Ndoa

    Watu 7 Mashuhuri Walio Zifufua Ndoa Zao Baada Ya Visa Vya Kutoka Nje Ya Ndoa

  • Sababu 3 Kwa Nini Wanawake Hutoka Nje Ya Ndoa Kulingana Na Wataalum

    Sababu 3 Kwa Nini Wanawake Hutoka Nje Ya Ndoa Kulingana Na Wataalum

  • Sababu Kwa Nini Mchumba Wako Atatoka Nje Ya Ndoa Yenu

    Sababu Kwa Nini Mchumba Wako Atatoka Nje Ya Ndoa Yenu

  • Uraibu Wa Kutoka Nje ya Ndoa Nchini Kenya

    Uraibu Wa Kutoka Nje ya Ndoa Nchini Kenya

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it