Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Kuwatenganisha Watoto: Faida Na Hasara Za Kujifungua Mtoto Wa Pili Baada Ya Miaka Fulani

2 min read
Kuwatenganisha Watoto: Faida Na Hasara Za Kujifungua Mtoto Wa Pili Baada Ya Miaka FulaniKuwatenganisha Watoto: Faida Na Hasara Za Kujifungua Mtoto Wa Pili Baada Ya Miaka Fulani

Hakuna wakati sawa wa kuwatenganisha watoto wako kiumri, lakini kuna vitu ambavyo wazazi wanapaswa kuangazia wanapojitayarisha kupata mimba ingine.

Hakuna wakati sawa wa kuwatenganisha watoto wako kiumri, lakini kuna vitu ambavyo wazazi wanapaswa kuangazia wanapojitayarisha kupata mimba ingine. Unapoamua kuwa ungependa kuwa na watoto zaidi ya mmoja, kufanya uamuzi wa umri wa kuwatenganisha watoto wako ni jambo kubwa. Kuna hasara na faida za kuwatenganisha watoto kwa muda mrefu ama mfupi.

Watoto walioachana na mwaka mmoja

kuwatenganisha watoto

Faida

  • Watoto wana utangamano wa karibu na kuwa marafiki wa dhati
  • Hakuna mtoto atakaye tarajia kuwa na wakati zaidi na mzazi
  • Mzazi anapata wakati zaidi wa kuwa na watoto wake

Hasara

  • Ni vigumu kwa mwili kustahimili kubeba mimba punde tu baada ya kujifungua. Mwili haujapata wakati tosha wa kupona. Hasa kama mama alipata mtoto wa kwanza kupitia upasuaji wa c-section
  • Ni kazi nyingi. Usiku bila kulala, kubadilisha nepi, uchovu, na pia kunyonyesha
  • Mama ana kazi nyingi ya kuwatunza watoto wawili chini ya miaka miwili
  • Mama ana gharama zaidi ya kununua mavazi ya kila mtoto

Umri wa miaka miwili kati ya watoto

kuwatenganisha watoto

Faida

  • Mwili wa mama umepona na ako tayari kubeba mimba ingine
  • Kupata mtoto baada ya miaka miwili kunapunguza hatari ya kupata matatizo yanayo husiana na ujauzito. Kuna punguza hatari ya mtoto wa pili kuzaliwa na uzani wa chini
  • Mama ana maarifa tosha ya kumlea na kumtunza mtoto

Hasara

  • Vita kati ya watoto vitakuwa zaidi ikilinganishwa na watoto walio na umri wa miaka michache kati yao
  • Watoto huenda wakachukiana, kwani wanaona wazazi wao wanapenda mwingine zaidi

Umri wa miaka mitatu kati ya watoto

kuwatenganisha watoto

Faida

  • Uzazi wa kujifungua utakuwa salama
  • Ujauzito utakuwa na hatari ya chini zaidi kwa mama na mtoto
  • Ni rahisi zaidi kwa mama kubeba mimba tena. Katika wakati huu, mwili wake umepona itoshavyo na ana nishati tosha ya kubeba mimba tena

Hasara

  • Una mambo mengi ya kufanya. Kifungua mimba bado anahitaji kusaidiwa kufanya vitu, na mara nyingi mzazi atakuwa akimchunga mtoto mdogo
  • Huenda mtoto mkubwa akamuonea mdogo wivu na kuona kana kwamba wazazi wake hawampendi tena. Mbali wanapenda mtoto mdogo

Umri zaidi ya miaka mitatu, mama huenda akawa katika hatari ya kupata matatizo ya kujifungua, ikilinganishwa na wanawake wanaojifungua tena kwa muda chini ya miaka minne. Watoto watakuwa na tofauti kubwa na huenda wasiwe na uhusiano wa karibu kwani wana miaka tofauti.

Chanzo: Healthline

Soma Pia: Madhara Ya Kutoa Mimba Kwa Kutumia Vidonge Kwa Afya Ya Mama!

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Becoming a Mama
  • /
  • Kuwatenganisha Watoto: Faida Na Hasara Za Kujifungua Mtoto Wa Pili Baada Ya Miaka Fulani
Share:
  • Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

    Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

  • Njia 5 za Kujitayarisha kwa Uchungu wa Mama

    Njia 5 za Kujitayarisha kwa Uchungu wa Mama

  • Vitu Vya Kufanya Kabla ya Kuenda Hospitali Kujifungua

    Vitu Vya Kufanya Kabla ya Kuenda Hospitali Kujifungua

  • Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

    Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

  • Njia 5 za Kujitayarisha kwa Uchungu wa Mama

    Njia 5 za Kujitayarisha kwa Uchungu wa Mama

  • Vitu Vya Kufanya Kabla ya Kuenda Hospitali Kujifungua

    Vitu Vya Kufanya Kabla ya Kuenda Hospitali Kujifungua

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it