Wakati ambapo talaka zilikuwa nadra zama za kale, shirika la ndoa linaonekana kuwa lina onekana kuwa linamomonyoka duniani kote na ni jambo linalotia wosia. Kati ya mabilioni ya watu walio kwenye arthi, sio rahisi kwa watu wawili kuja pamoja na kujaribu kuishi maisha yao yote pamoja. Inahitaji mshikamano wa karibu zaidi kupata mchumba wako, lakini kwa bahati mbaya, kuna sababu nyingi ambazo zinaweza kutishia ndoa. Kuna sababu nyingi kwa nini wanandoa huachana.
Tazama sababu 5 kuu kwa nini wanandoa huachana

- Kutoka nje ya ndoa
Kutoka nje ya ndoa ni sababu kuu kwa nini ndoa husambaratika. Wakati ambapo kumtamani mtu asiye mchumba wako ni chanzo cha kutoka nje, sababu zingine kama hamu tofauti za ngono, chuki na hasira kwa mchumba wako na uhusiano unaofifia kati ya wanandoa.
2. Matatizo ya kindoa
Wakati ambapo pesa sio mzizi wa furaha, zinaweza kuwa chanzo cha taabu. Ripoti iliyofanyika katika Makala ya Sociology Umarekani ilipata kuwa iwapo bwana hana kazi, kukosa kazi kwake kunaweza kuwa sababu ya wanandoa kutengana. Wanandoa wanao taabika kutokana na matatizo mabaya ya kifedha hukumbana na mawazo na shinikizo kubwa ambazo huanzisha vurugu na vita. Pia, tofauti za kutumia pesa na kuzihifadhi huathiri ndoa.
3. Kutozungumza
Mawasiliano ni muhimu katika uhusiano wowote ule na hata wanandoa wanapofunga ndoa. Kutowasiliana kunaweza sababisha matatizo katika uhusiano wa wanandoa na kusababisha vurugu. Wanandoa wanaweza anza kutengana hadi wanapo patiana talaka.
4. Tofauti zisizo tatizika

Tofauti zisizo tatizika huwa chanzo kikuu cha wanandoa kuchukua talaka. Kutopatana kunaweza kuwa sababu kuu, hasa iwapo wanandoa wanafunga ndoa mbio na kwa wakati wanapogundua kuwa wachumba wao ni tofauti na watu wanaofikiria, wamechelewa sana. Tofauti katika njia za ulezi kunaweza tatiza ndoa na hasa mtoto anapozaliwa.
5. Ongezeko la uzito
Katika makala ya kushangaza kuhusu afya ya wanaume, ili dhihirika kuwa watafiti walipata kuwa ongezeko la uzito lilikuwa chanzo kikubwa cha wanandoa kukasirika hasa waliokuwa pamoja kwa miaka mitatu. Kwa hivyo ikiwa umekuwa ukipuuza kutunza mwili wako, ni vyema kuanza mazoezi. Ingekuwa bora kufanya mazoezi na mchumba wako kwani itawapatia nafasi ya kuwa na utangamano zaidi.
Soma Pia: Mambo Ambayo Wanandoa Wanapaswa Kufanya Ila Hawafanyi