Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Upasuaji Wa C-section: Sababu Na Hatari Za Upasuaji Huu!

2 min read
Upasuaji Wa C-section: Sababu Na Hatari Za Upasuaji Huu!Upasuaji Wa C-section: Sababu Na Hatari Za Upasuaji Huu!

Mama anaweza kujifungua kwa njia ya kawaida kupitia kwa uke ama kwa upasuaji wa C-section. Ila, unafahamu kwanini upasuaji wa c-section hufanyika?

C-section ni aina ya upasuaji inayotumika kujifungua mtoto. Mama anakatwa upande wa chini wa uterasi ili kuwawezesha madaktari kumtoa mtoto. Ni aina ya upasuaji ulio maarufu. Upasuaji huu unaweza kuepukwa kabla ya wiki ya 39 ya ujauzito. Katika wakati huu, mtoto huwa na wakati tosha wa kukua kwenye uterasi. Baadhi ya wakati, matatizo huenda yakaibuka katika ukuaji wa mtoto kabla ya kufikisha wiki 39 na kumlazimisha mama kufanyiwa upasuaji wa c-section. Je, kwanini upasuaji wa c-section hufanyika?

Sababu kwanini upasuaji wa C-section hufanyika

kwanini upasuaji wa c-section hufanyika

Mara nyingi, upasuaji wa aina hii hufanyika mama anapopata matatizo katika safari yake ya ujauzito. Matatizo ya kiafya yanayo hatarisha maisha ya mama ama ya mtoto huenda yakamfanya mama kufanyiwa upasuaji wa C-section ili kuyanusuru maisha ya mama na mtoto ama mmoja wao.

Huenda upasuaji huu ukapangwa katika safari ya ujauzito ama kufanywa dakika ya mwisho mama anapokaribia kujifungua kama suluhu la dharura. Kuna baadhi ya sababu za upasuaji huu, kama vile:

  • Mtoto anayekua kwenye uterasi anapokuwa na matatizo ya ukuaji
  • Matatizo katika safari ya ujauzito
  • Mtoto kutoka asivyopaswa, miguu kwanza badala ya kichwa kwanza

kwanini upasuaji wa c-section hufanyika

  • Kichwa cha mtoto kuwa kikubwa sana
  • Matatizo ya kiafya kwa mama kama shinikizo la juu la damu
  • Kujifungua hapo awali kwa njia ya upasuaji wa c-section
  • Matatizo na placenta
  • Matatizo ya kitovu
  • Mtoto kutopata hewa tosha

Mama kukawia muda mrefu kabla ya kujifungua ama kuwa kwa uchungu wa uzazi kwa muda mrefu

Hatari za upasuaji wa c-section

kwanini upasuaji wa c-section hufanyika

  • Kutokwa damu nyingi
  • Mtoto kutatizika kupumua hasa anapofanyiwa upasuaji kabla ya kufikisha wiki 39
  • Mama ako katika hatari ya kupata maambukizi
  • Mama huchukua muda mrefu kupona
  • Damu kuganda na kuwa vigumu kusafiri mwilini
  • Hatari zilizo ongezeka kwa mimba ya usoni

Mama anapoenda kliniki za ujauzito, anafanyiwa vipimo vinavyoonyesha hali ya ujauzito wake. Iwapo una afya ama la, na njia bora ya kujifungua kwa mama.  Daktari atamshauri mama kuhusu anavyopaswa kujitayarisha kabla ya siku kuu ya kujifungua.

Chanzo: WebMd

Soma Pia: Jinsi Ya Kuhakikisha Kuwa Kidonda Chako Cha C-section Kinapona Mbio

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Cesarean Delivery
  • /
  • Upasuaji Wa C-section: Sababu Na Hatari Za Upasuaji Huu!
Share:
  • Mama Anapaswa Kujitayarisha Kivipi Kabla Ya Upasuaji Wa C-section?

    Mama Anapaswa Kujitayarisha Kivipi Kabla Ya Upasuaji Wa C-section?

  • Wakati Bora Wa Kurejelea Mapenzi Baada Ya Upasuaji Wa C-section

    Wakati Bora Wa Kurejelea Mapenzi Baada Ya Upasuaji Wa C-section

  • Njia Bora Za Kupunguza Kuvimbiwa Baada Ya Upasuaji Wa C-section

    Njia Bora Za Kupunguza Kuvimbiwa Baada Ya Upasuaji Wa C-section

  • Mama Anapaswa Kujitayarisha Kivipi Kabla Ya Upasuaji Wa C-section?

    Mama Anapaswa Kujitayarisha Kivipi Kabla Ya Upasuaji Wa C-section?

  • Wakati Bora Wa Kurejelea Mapenzi Baada Ya Upasuaji Wa C-section

    Wakati Bora Wa Kurejelea Mapenzi Baada Ya Upasuaji Wa C-section

  • Njia Bora Za Kupunguza Kuvimbiwa Baada Ya Upasuaji Wa C-section

    Njia Bora Za Kupunguza Kuvimbiwa Baada Ya Upasuaji Wa C-section

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it