Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Mama Anaweza Tunga Mimba Anapo Fanya Mapenzi Anapo Nyonyesha?

2 min read
Mama Anaweza Tunga Mimba Anapo Fanya Mapenzi Anapo Nyonyesha?Mama Anaweza Tunga Mimba Anapo Fanya Mapenzi Anapo Nyonyesha?

Kupungua kwa kiwango cha homoni ya testerone mwilini mwa mwanamke huenda kukamfanya akose hamu ya kujiingiza katika tendo la ndoa.

Kuna imani nyingi kuhusu kufanya mapenzi baada ya kujifungua. Je, ni salama kwa mama, utoaji wa maziwa ya mama utaathiriwa? Mama anaweza kupata mimba anapofanya ngono akinyonyesha? Kuna madhara ya kufanya mapenzi na mama anaye nyonyesha? Ni salama kufanya mapenzi kwa mama aliye jifungua.

Ila, ngoja wiki za kwanza mbili ziishe kabla ya kurejelea kufanya mapenzi, ili kuepuka kupata maambukizi. Kizazi kingali kina zidi kupona, kwa hivyo kurejelea mapenzi mapema sana huenda kukafanya mama apate maambukizi. Daktari wengi wanamshauri mama kungoja angalau wiki sita baada ya kujifungua kabla ya kufanya mapenzi.

Mama anaweza pata mimba anapo fanya mapenzi akinyonyesha?

madhara ya kufanya mapenzi na mama anaye nyonyesha

Ni nadra kwa mama aliye jifungua na anaye nyonyesha kupata mimba kati ya miezi ya kwanza sita. Ila, kuna baadhi ya wanawake wanao tunga mimba. Kumbuka kuwa kunyonyesha sio mbinu ya kupanga uzazi. Haina uhakika wa asilimia 100.

Daktari wako atakushauri mbinu bora ya kuzuia mimba katika wakati huu unapo zidi kunyonyesha mchanga wako.

Athari za kunyonyesha kwa tendo la ndoa

Mabadiliko mengi hufanyika mwilini mwa mwanamke baada ya kujifungua.

Baadhi ya mabadiliko yanayo fanyika na kuathiri tendo la ndoa kati ya wanandoa ni:

  • Ukavu wa uke wa mama. Mwanamke hukosa kupata utelezi unaohitajika ili kufanya mapenzi vizuri. Uke unapokuwa na ukavu, mama huenda akahisi uchungu katika tendo la kufanya mapenzi.
  • Kukosa hamu ya kufanya mapenzi. Kupungua kwa kiwango cha homoni ya testerone mwilini mwa mwanamke huenda kukamfanya akose hamu ya kujiingiza katika tendo la ndoa. Ni kawaida kwa wanawake walio jifungua. Upe mwili wako muda upone.
  • Ongezeko la homoni ya prolactin. Kichocheo hiki humfanya mama ahisi kuwa hana hamu ya mapenzi ama ametosheleka kingono.

Sababu za mama anaye nyonyesha kukosa hamu ya ngono

madhara ya kufanya mapenzi na mama anaye nyonyesha

  • Kuhisi uchovu. Hasa baada ya kutolala vya kutosha akimshughulikia mtoto
  • Hofu kuwa kufanya mapenzi kutakuwa na athari hasi kwa mwili wake ama kumwumiza
  • Hofu ya kutunga mimba angali ana nyonyesha
  • Wasiwasi kuhusu mwili wake ulivyo badilika

Hakuna madhara ya kufanya mapenzi na mama anaye nyonyesha, ila ni vyema kuhakikisha kuwa mama wakati wote ana starehe, na ametosheka.

Chanzo: healthline

Soma Pia:Je, Kuna Uwezekano Wa Kukomesha Mimba Baada Ya Siku Nane?

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Feeding & Nutrition
  • /
  • Mama Anaweza Tunga Mimba Anapo Fanya Mapenzi Anapo Nyonyesha?
Share:
  • Mitindo 10 Ya Kufanya Mapenzi Katika Kipindi Hiki Cha Lockdown Na Mwenzio

    Mitindo 10 Ya Kufanya Mapenzi Katika Kipindi Hiki Cha Lockdown Na Mwenzio

  • Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa Na Matibabu Yake

    Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa Na Matibabu Yake

  • Jinsi Ya Kumpa Bwanako Hamu Ya Kufanya Mapenzi Ili Kuipa Ndoa Yako Ladha

    Jinsi Ya Kumpa Bwanako Hamu Ya Kufanya Mapenzi Ili Kuipa Ndoa Yako Ladha

  • Manufaa Ya Tendo La Ndoa Kwa Mama Mjamzito!

    Manufaa Ya Tendo La Ndoa Kwa Mama Mjamzito!

  • Mitindo 10 Ya Kufanya Mapenzi Katika Kipindi Hiki Cha Lockdown Na Mwenzio

    Mitindo 10 Ya Kufanya Mapenzi Katika Kipindi Hiki Cha Lockdown Na Mwenzio

  • Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa Na Matibabu Yake

    Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa Na Matibabu Yake

  • Jinsi Ya Kumpa Bwanako Hamu Ya Kufanya Mapenzi Ili Kuipa Ndoa Yako Ladha

    Jinsi Ya Kumpa Bwanako Hamu Ya Kufanya Mapenzi Ili Kuipa Ndoa Yako Ladha

  • Manufaa Ya Tendo La Ndoa Kwa Mama Mjamzito!

    Manufaa Ya Tendo La Ndoa Kwa Mama Mjamzito!

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2022 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it