Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Kuinama Katika Ujauzito Kuna Athari Kwa Fetusi: Madhara Ya Kuinama Kwa Mjamzito

2 min read
Kuinama Katika Ujauzito Kuna Athari Kwa Fetusi: Madhara Ya Kuinama Kwa MjamzitoKuinama Katika Ujauzito Kuna Athari Kwa Fetusi: Madhara Ya Kuinama Kwa Mjamzito

Kuinama kunashinikiza tumbo na kunaweza sababisha ongezeko la asidi mwilini na kumfanya mama apate kiungulia. Kiungulia katika mimba humfanya mama akose starehe.

Kuinama katika mimba ni salama kama mtoto amefunikwa ipasavyo na uterasi. Amniotic fluid humlinda mtoto dhidi ya maumivu na kumwezesha kusongesha mwili mama anapoinama. Kuinama humfanya mama ahisi hana starehe. Madhara ya kuinama kwa mjamzito huongezeka ujauzito unapozidi kukua.

Madhara ya kuinama kwa mjamzito

madhara ya kuinama kwa mjamzito

Kuinama katika trimesta ya kwanza

Katika trimesta ya kwanza, mtoto angali mchanga, kwa hivyo, ni vigumu kwake kuathiriwa na kuinama kwa mama. Placenta inasaidia katika kumlinda mtoto. Kwa wanawake walio na mimba ya hatari, huenda wakashauri wasiiname na madaktari wao.

Kuinama katika trimesta ya tatu

Japo mimba inavyozidi kukua, ndivyo hatari za kuinama zinavyozidi. Mtoto amekuwa mkubwa katika trimesta hii na kuathiri mwili na nishati ya mama. Tazama sababu kwanini ni hatari kwa mama mjamzito kuinama katika kipindi hiki.

Hatari ya kuhisi kizungu zungu

Kuinama hufanya damu kusafiri kwenye sehemu ya mbele ya kichwa na kumfanya ahisi kizungu zungu kana kwamba anataka kuanguka. Ni hatari kwa mama kwani kuanguka kunaweza mwumiza mtoto ama kumweka katika hatari ya kuvuja damu anapoanguka.

  • Kuanguka

Katika trimesta ya tatu, mimba ya mama imekuwa kubwa. Huenda akalegea na kuanguka. Kuanguka katika trimesta ya tatu kuna athari nyingi hasi kama vile, kuvuja damu, kuharibika kwa mimba ama placenta kuharibiwa.

madhara ya kuinama kwa mjamzito

  • Maumivu ya mgongo

Mimba humfanya mama ahisi uchovu mwingi, hasa katika trimesta ya tatu kwani imekua kwa sana. Wakati huu, mama huenda akawa anaumwa na miguu na mgongo kufuatia uzito ulioongezeka wa mtoto. Kuinama kutafanya maumivu haya yazidi.

  • Kiungulia

Kuinama kunashinikiza tumbo na kunaweza sababisha ongezeko la asidi mwilini na kumfanya mama apate kiungulia. Kiungulia katika mimba humfanya mama akose starehe.

Jinsi ya kuinama katika mimba

Baada ya kuangazia madhara ya kuinama kwa mjamzito, ni vyema kumjulisha mama jinsi anavyopaswa kuinama katika mimba. Anaweza kujaribu njia hizi.

  • Anaweza kutandaza magoti kisha kuchuchumaa
  • Kutumia mikono kuusitiri mwili anapoamka
  • Kukalia kiti kisha kuokota anachotaka kwa upole na utaratibu

Lakini inapowezekana, ni vyema kwa mama kujitenga na kuinama anapokuwa na mimba hasa katika trimesta ya tatu.

Soma Pia: Je, Kuna Madhara Hasi Ya Kufanya Mapenzi Katika Mimba Kwa Mama Mjamzito

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Pregnancy
  • /
  • Kuinama Katika Ujauzito Kuna Athari Kwa Fetusi: Madhara Ya Kuinama Kwa Mjamzito
Share:
  • Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

    Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

  • Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

    Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

  • Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

    Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

  • Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

    Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

  • Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

    Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

  • Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

    Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it