Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Mambo 6 Hasi Katika Ndoa Ambayo Wanawake Hufanya Yanayo Haribu Uhusiano Wao

2 min read
Mambo 6 Hasi Katika Ndoa Ambayo Wanawake Hufanya Yanayo Haribu Uhusiano WaoMambo 6 Hasi Katika Ndoa Ambayo Wanawake Hufanya Yanayo Haribu Uhusiano Wao

Kufuzu kwa ndoa kunahitaji juhudi kutoka kwa mke na mume. Kufanya mambo hasi kama kutompa mchumba wako kipau mbele kuna athari hasi kwa ndoa yenu.

Kudumisha ndoa yenye afya na furaha kunahitaji juhudi nyingi. Lazima tufikirie tunavyo husiana na mchumba wetu ili ndoa ifuzu. Hata kama wanaume hufanya mambo haya kwa wake zao, wanawake wana nafasi zaidi za kufanya mambo haya hasi katika ndoa ambayo yanaweza kuathiri uhusiano na ndoa yao.

Mambo Hasi Katika Ndoa

mambo hasi katika ndoa

  1. Kuwa hasi wakati wote

Wanaume wanatengenezwa na kipawa cha kutengeneza mambo, na iwapo yote unayofanya ni kuteta, huenda mchumba wako akahisi kuwa wewe ni mzigo kwake. Sote huwa na siku ambapo hatutaki kufanya chochote. Lakini siku hizi zinapo ongezeka na kuwa muda mrefu, ni muhimu kujaribu kudhibiti hisia zako. Unapohisi kuwa hisia hizi na uchovu na kukasirika zinadumu kwa kipindi kirefu, ni wakati wa kuwasiliana na mtaalum.

2. Kuto mpa mume wako kipau mbele

Wanawake hupenda wanaume wao wanapowapatia kipau mbele. Kwa njia sawa, anafurahia unapompa kipau mbele. Usiingie katika mtego wa kupuuza ndoa yenu na kupatia watoto na kazi kipau mbele. Mpatie mume wako kipau mbele na mengine yote yatafuata.

3. Kumlaumu mambo yanapo enda mrama

Ikiwa ndoa yenu inafuata mtindo wa kitamaduni, mume wako ndiye mtu mwenye mamlaka. Hakuna kitu kibaya na mume wako kuchukua usukani na uongozi wa familia. Lakini unapomlaumu mume wako mambo yanapoenda mrama, huenda ukakwaza uhusiano wenu. Usipokubaliana na maoni yake, ni vyema kukaa chini na kujadili kisha kufanya uamuzi ulio bora kwenu nyote.

mambo hasi katika ndoa

4. Kumsumbua mara kwa mara

Kusumbua huja kiasili kwa wengi wetu tunao amini kuwa tusipo sumbua, hatutapata matokeo tunayo yataka. Kufanya hivi kwa muda kunamfanya mchumba wako akasirike na kuto wasiliana nawe kwa njia wazi. Na kuanzisha matatizo mengi katika ndoa yenu.

5. Kuto mwonyesha mapenzi

Kumnyamazia mume wako kwa muda na kutomwonyesha mapenzi sio vyema. Huenda ukadhani kuwa kufanya hivi ni njia ya kumfanya ajue unachohisi, mbali sio vyema. Ukiwa na tatizo na mume wako, ni vyema kuzungumza kwa uwazi.

6. Kuishi maisha ya gharama ya juu kuwaliko

Mume wako huenda akashindwa kukununulia mkoba ambao umekuwa ukitamani kwa muda mrefu. Lakini ikiwa anajizatiti kuwapa mahitaji yenu ya kimsingi na maisha mema, kuwa na shukrani. Jaribu uwezavyo kuishi maisha katika bajeti yenu.

Soma Pia: Kufanya Ndoa Ifuzu: Kuboresha Ndoa Kwa Wanandoa Wanaofanya Kazi

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Mambo 6 Hasi Katika Ndoa Ambayo Wanawake Hufanya Yanayo Haribu Uhusiano Wao
Share:
  • Wanaume: Tahadhari, Usimguze Mwanamke Sehemu Hizi Wakati wa Ngono!

    Wanaume: Tahadhari, Usimguze Mwanamke Sehemu Hizi Wakati wa Ngono!

  • Usimfiche Mchumba Wako Vitu Hivi: Siri 5 Zinazoharibu Ndoa:

    Usimfiche Mchumba Wako Vitu Hivi: Siri 5 Zinazoharibu Ndoa:

  • Makosa Yanayoathiri Maisha Yako ya Uchumba

    Makosa Yanayoathiri Maisha Yako ya Uchumba

  • Wanaume: Tahadhari, Usimguze Mwanamke Sehemu Hizi Wakati wa Ngono!

    Wanaume: Tahadhari, Usimguze Mwanamke Sehemu Hizi Wakati wa Ngono!

  • Usimfiche Mchumba Wako Vitu Hivi: Siri 5 Zinazoharibu Ndoa:

    Usimfiche Mchumba Wako Vitu Hivi: Siri 5 Zinazoharibu Ndoa:

  • Makosa Yanayoathiri Maisha Yako ya Uchumba

    Makosa Yanayoathiri Maisha Yako ya Uchumba

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2022 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it