Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Mambo Ambayo Mwanamme Anaangalia Kwa Mwanamke Kabla Ya Kumuoa

2 min read
Mambo Ambayo Mwanamme Anaangalia Kwa Mwanamke Kabla Ya KumuoaMambo Ambayo Mwanamme Anaangalia Kwa Mwanamke Kabla Ya Kumuoa

Urafiki ni muhimu kwa wanandoa. Na mwanamme anapo tafuta mwanamke wa kuoa, ataangalia kama wanaweza kuwa marafiki wazuri.

Ndoa ni kipindi muhimu sana maishani mwa kila binadamu. Na sio wanawake peke yao wanao kuwa na shaka za kupata mchumba, mbali wanaume vivyo hivyo wana shaka na hii ndiyo sababu kwa nini wako makini sana kuangalia wachumba wanao funga ndoa nao kwani hao ndiyo watakao ishi maisha yao nao. Ni mambo yapi ambayo mwanamme anaangalia kwa mwanamke kabla ya kufunga ndoa naye?

Kabla ya kuingia kwa orodha yetu ya mambo ambayo mwanamme ako makini kuona kwa mwanamke, ni vyema kukumbuka kuwa wanawake hawatulii kama maji ya mtungi na kungoja kutahiniwa tu. Mbali, wao pia wako makini na wanaume wanao ingia kwenye uhusiano nao ili kuhakikisha kuwa wanatimiza mambo wanayo yatafuta kwa mchumba wao na mwanamme ambaye wangependa awe baba ya watoto wao ikiwa wana malengo ya kupata watoto katika siku za usoni.

Mambo ambayo mwanamme anaangalia kwa mwanamke kabla ya kumuoa

kuwa hamasisha wanawake

1.Uaminifu

Kila mtu anataka mchumba mwaminifu ambaye hatatoka nje ya ndoa ama uhusiano wao. Ndoa ni kati ya watu wawili walio komaa na walio fanya uamuzi wa kuishi maisha pamoja kwa mema na mabaya. Ili kufanya hivi kwa mafanikio, lazima wawili hawa wawe waaminifu.

2. Urafiki

Urafiki ni muhimu kwa wanandoa. Na mwanamme anapo tafuta mwanamke wa kuoa, ataangalia kama wanaweza kuwa marafiki wazuri. Umuhimu wa kuwa marafiki kwanza kabla ya kufunga ndoa ni kuwa mtakuwa huru kuzungumza kuhusu mambo tofauti maishani hata baada ya kufunga ndoa.

3. Anaye elewa

Hakuna mtu anaye penda kuhukumiwa baada ya kufanya jambo ambalo huenda likawa lilienda mrama tofauti na ulivyo kusudia. Unataka kuwa na mchumba utakaye mweleza ulicho kifanya, unacho kifanya na kwa nini unakifanya.

4. Anaye tunza

nigerian food timetable for adults

Umuhimu wa kuwa na mchumba anaye kutunza ni kuwa hata siku za usoni mnapo amua kuwa wazazi, atawatunza watoto wako. Lakini ikiwa mngependa kubaki bila watoto, mchumba wako atazidi kukutunza.

5. Aliye komaa

Kuna tofauti kubwa sana kati ya uamuzi ulio fanywa na mtu ambaye hajakomaa na aliye komaa. Katika ndoa, lazima uwe umekomaa kwa uamuzi utakao stahili kufanya sio wa mtu mmoja, na lazima uamuzi huo uangalie nyanja tofauti. Kwa hivyo, mwanamme ata tafuta mwanamke aliye komaa ili kuwa naye.

Soma Pia: Sababu Kwa Nini Uhusiano Wako Haudumu: Jinsi Ya Kuwa Na Uhusiano Unao Dumu

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Mambo Ambayo Mwanamme Anaangalia Kwa Mwanamke Kabla Ya Kumuoa
Share:
  • Mambo 8 Kila Mwanamke Anapaswa Kufanya Kabla Ya Kufunga Ndoa

    Mambo 8 Kila Mwanamke Anapaswa Kufanya Kabla Ya Kufunga Ndoa

  • Sababu Kwa Nini Mungu Humleta Mwanamke Na Mwanamme Pamoja

    Sababu Kwa Nini Mungu Humleta Mwanamke Na Mwanamme Pamoja

  • Bella Ebinum: Ngono Sio Hitaji Kubwa Zaidi La Mwanamme

    Bella Ebinum: Ngono Sio Hitaji Kubwa Zaidi La Mwanamme

  • Uhusiano Wenye Sumu: Jinsi Ya Kugundua Iwapo Mwanamme Anakutawala

    Uhusiano Wenye Sumu: Jinsi Ya Kugundua Iwapo Mwanamme Anakutawala

  • Mambo 8 Kila Mwanamke Anapaswa Kufanya Kabla Ya Kufunga Ndoa

    Mambo 8 Kila Mwanamke Anapaswa Kufanya Kabla Ya Kufunga Ndoa

  • Sababu Kwa Nini Mungu Humleta Mwanamke Na Mwanamme Pamoja

    Sababu Kwa Nini Mungu Humleta Mwanamke Na Mwanamme Pamoja

  • Bella Ebinum: Ngono Sio Hitaji Kubwa Zaidi La Mwanamme

    Bella Ebinum: Ngono Sio Hitaji Kubwa Zaidi La Mwanamme

  • Uhusiano Wenye Sumu: Jinsi Ya Kugundua Iwapo Mwanamme Anakutawala

    Uhusiano Wenye Sumu: Jinsi Ya Kugundua Iwapo Mwanamme Anakutawala

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it