Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume

2 min read
Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza WanaumeWanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume

Wanaume wanataka wanawake wanao jiamini na wasio hitaji mwanamme kuwakumbusha kuwa wanapendeza.

Ikiwa mara kwa mara wewe hujipata ukiwa mhasiriwa wa kuwachwa na wanaume, huenda ukawa unashangaa kinacho endelea, mambo yanayo wafukuza wanaume na kwa nini huwezi pata mapenzi.

Mambo Yanayo Wafukuza Wanaume

ishara za kupoteza ubikira

Kuna nyakati ambapo unaweza hisi kuwa wanaume wanajitenga nawe na kuwa wangependa kuwa peke yao. Lakini huenda ikawa unafanya kitu kinacho watia kiwewe, na kumaanisha kuwa una haribu nafasi zako za kuwa katika uhusiano wenye afya.

Baadhi ya wakati, wanawake huenda bila ufahamu wao waka onyesha mhemko usio wa kawaida na kufanya jinsia tofauti kuwa ona kama wasio na usalama ama imani na katika visa vingi, wanaume hupata ikiwa vigumu kuwa na mtu kama huyo. Lakini ikiwa unafanya hivi, bado una shaka kuwa hauna mchumba?

  • Usiwe na mahitaji mengi

Kosa lingine ambalo mabinti wengi hufanya ni kutarajia kuwa wanaume wata wacha maisha yao ya hapo awali na kuwa na maisha mapya yanayo mzunguka mwanamke. Hilo halita tendeka! Na sio kuhusu wakati tu, ila kuhusu mapenzi na kuangazia unayo taka. Mpende kwa utu wake na sio kwa sababu anakupatia sifa zisizo koma.

  • Kuwa hapo wakati wote

Uhusiano sio maisha yako yote, unapaswa kuwa na maisha yako sio kukwamilia kwa mchumba wako wakati wote. Ni muhimu kuwa na wakati kando, na kunapaswa kuwa na mambo mengine yanayo endelea maishani mwako sio katika uhusiano wako tu. Kwa hivyo jumuika na marafiki wako wa kike, fanya mambo unayo yapendelea, na usikubalishe uhusiano wako uathiri kazi yako.

  • Kuchukua jukumu la kuwa mamake

Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume

Mwanamme hahitaji mwanamke mwingine kuchukua jukumu la kuwa mamake na kumchukulia kama mtoto wake. Hauhitaji kumwambia anacho stahili kufanya ama jinsi ya kufanya mambo yake. Nyinyi ni washirika ila hakuna aliye mtoto wa mwingine.

  • Kupeleka mambo kwa kasi sana

Usipate starehe kasi sana, punguza mwendo. Uhusiano huchukua muda. Kuweni marafiki kwa muda na unapokuwa tayari, mnaweza kuwa na uhusiano. Usiwe na shaka kuhusu kufikia hatua ifuatayo. Furahikia kila sehemu ya uhusiano wenu.

  • Kuwa na wivu mwingi

Kuwa na wivu sio jambo linalo pendeza. Wanaume wanataka wanawake wanao jiamini na wasio hitaji mwanamme kuwakumbusha kuwa wanapendeza. Jifunze jinsi ya kum-amini mchumba wako ama kuwa na wivu kwani huenda ukafanya akose hamu ya kuwa katika uhusiano nawe.

Soma Pia: Mambo ya kuvutia ambayo wanandoa wanaweza jaribu kitandani

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume
Share:
  • Jinsi Kufikiria Sana Kutakavyo Haribu Uhusiano Wako

    Jinsi Kufikiria Sana Kutakavyo Haribu Uhusiano Wako

  • Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume

    Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume

  • Makosa 5 Ya Kingono Ambayo Wanaume Hufanya!

    Makosa 5 Ya Kingono Ambayo Wanaume Hufanya!

  • Wanaume: Fahamu Mambo Haya 4 Ikiwa Ungependa Kuwa Na Mchumba Mwenye Umri Wa Miaka Zaidi Ya Yako!

    Wanaume: Fahamu Mambo Haya 4 Ikiwa Ungependa Kuwa Na Mchumba Mwenye Umri Wa Miaka Zaidi Ya Yako!

  • Jinsi Kufikiria Sana Kutakavyo Haribu Uhusiano Wako

    Jinsi Kufikiria Sana Kutakavyo Haribu Uhusiano Wako

  • Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume

    Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume

  • Makosa 5 Ya Kingono Ambayo Wanaume Hufanya!

    Makosa 5 Ya Kingono Ambayo Wanaume Hufanya!

  • Wanaume: Fahamu Mambo Haya 4 Ikiwa Ungependa Kuwa Na Mchumba Mwenye Umri Wa Miaka Zaidi Ya Yako!

    Wanaume: Fahamu Mambo Haya 4 Ikiwa Ungependa Kuwa Na Mchumba Mwenye Umri Wa Miaka Zaidi Ya Yako!

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it