Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume

2 min read
Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia WanaumeWanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume

Wanaume wengi wanapenda michezo kwa hivyo wanafurahia wanapo patana na mwanamke anaye penda angalau mchezo mmoja.

Unapo ingia katika uhusiano na mchumba wako ambaye pia ni rafiki yako mkubwa, utaanza kuangalia mambo ambayo anafanya yanayo kufurahisha. Hata mambo machache yasiyo kaa makubwa kwake, huenda yakafanya wakuvutie zaidi. Je, ni mambo gani yanayo kuvutia zaidi kutoka kwa mchumba wako? Tazama baadhi ya mambo tuliyo orodhesha yanayo wavutia wanaume.

Mambo Yanayo Wavutia Wanaume

Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume

  1. Una ndoto na malengo maishani

Tofauti na imani za watu wengi kuwa wanaume wanataka mchumba atakaye baki nyumbani bila kufanya chochote. Unapo kuwa na malengo kamili na dhabiti maishani kisha kufanya juhudi kuyatimiza, unawavutia wanaume kwako. Kwani wanataka kuwa na mchumba ambaye wana saidiana nyumbani.

2. Unapenda kula na kupika

Wanaume wanafurahia wakati ambapo mwanamke anaweza mpikia chakula kizuri na kitamu. Sio lazima uwe mpishi hodari, ila juhudi ndizo muhimu. Na wanaume wanapendelea zaidi unapo weza kula chakula bila kuogopa. Kwani wao pia wanapenda chakula na wana hamu kubwa ya kula.

3. Kuvalia mavazi yake mkiwa nyumbani

Mnapo kuwa kwenye nyumba mmetulia bila kazi yoyote, usi one haya kuvalia mavazi yake. Hata kama wanawake wengi hawa fahamu jambo hili, wanaume wanapendelea kuwaona wachumba wao wakiwa wamevalia mavazi yao wakiwa pamoja kwenye nyumba. Usione haya kuvalia suruali zake mkiwa pamoja.

4. Mwanamke anayependa michezo

Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume

Wanaume wengi wanapenda michezo na hata kama sio kadanda, huenda wakawa wanafuata mpira wa vikapu na michezo mingine. Kwa hivyo wanafurahia wanapo patana na mwanamke anaye penda angalau mchezo mmoja. Wanapo enda kutazama wachezaji wakicheza, wanaweza jumuika pamoja.

5. Kucheka pamoja na kufanya mambo ya kufurahisha

Uhusiano unapaswa kuwa wenye furaha, mkiwa na mchumba wako ambaye pia ni rafiki yako. Mchumba wako anapo weza kukufanya ucheke na ufurahie mara kwa mara, anahisi kuwa ametimiza na ujasiri wake unaongezeka.

Haya ni baadhi ya mambo ambayo wanawake katika uhusiano hufanya yanayo wavutia wanaume. Je, ni mambo yapi yanayo kuvutia kwa mchumba wako? Tujulishe kwa kuwacha ujumbe mfupi hapa chini!

Soma Pia: Mambo 10 Ambayo Mpenzi Wako Wa Kiume Kamwe Hata Sema

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume
Share:
  • Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume

    Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume

  • Vitu 7 Ambavyo Vinawavutia Wanaume Kwa Wanawake Kulingana na Sayansi!

    Vitu 7 Ambavyo Vinawavutia Wanaume Kwa Wanawake Kulingana na Sayansi!

  • Maswali 5 Katika Uhusiano Unayo Ogopa Kumwuliza Bwana Yako Lakini Unastahili

    Maswali 5 Katika Uhusiano Unayo Ogopa Kumwuliza Bwana Yako Lakini Unastahili

  • Wanaume: Fahamu Mambo Haya 4 Ikiwa Ungependa Kuwa Na Mchumba Mwenye Umri Wa Miaka Zaidi Ya Yako!

    Wanaume: Fahamu Mambo Haya 4 Ikiwa Ungependa Kuwa Na Mchumba Mwenye Umri Wa Miaka Zaidi Ya Yako!

  • Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume

    Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume

  • Vitu 7 Ambavyo Vinawavutia Wanaume Kwa Wanawake Kulingana na Sayansi!

    Vitu 7 Ambavyo Vinawavutia Wanaume Kwa Wanawake Kulingana na Sayansi!

  • Maswali 5 Katika Uhusiano Unayo Ogopa Kumwuliza Bwana Yako Lakini Unastahili

    Maswali 5 Katika Uhusiano Unayo Ogopa Kumwuliza Bwana Yako Lakini Unastahili

  • Wanaume: Fahamu Mambo Haya 4 Ikiwa Ungependa Kuwa Na Mchumba Mwenye Umri Wa Miaka Zaidi Ya Yako!

    Wanaume: Fahamu Mambo Haya 4 Ikiwa Ungependa Kuwa Na Mchumba Mwenye Umri Wa Miaka Zaidi Ya Yako!

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it