Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Sababu 6 Za Kula Uyoga Zaidi

2 min read
Sababu 6 Za Kula Uyoga ZaidiSababu 6 Za Kula Uyoga Zaidi

Uyoga ni aina ya kuvu iliyo salama kuliwa na binadamu. Hata ingawa ina manufaa mengi ya kiafya, ulaji wake hauja kumbatiwa ipasavyo na wananchi wa bara la Afrika.

Uyoga ni aina ya kuvu iliyo salama kuliwa na binadamu. Hata ingawa ina manufaa mengi ya kiafya, ulaji wake bado hauja kumbatiwa inavyo paswa na watu hasa kutoka nchi za Kiafrika. Uyoga ni aina ya mboga inayo paswa kununuliwa mara zaidi unapo fanya ununuzi wa vyakula vyako vya nyumbani. Soma manufaa ya kula uyoga.

Manufaa ya kula uyoga

Sababu 6 Za Kula Uyoga Zaidi

  1. Ni vyanzo vya vitamini D

Ni vigumu kupata vitamini D kwa vyakula, ila uyoga una wingi wa vitamini ya aina hii. Unapo fichuliwa kwa mwangaza, uyoga una uwezo wa kutengeneza vitamini D. Aina tofauti za uyoga kama white buttons zinazo iga vifungo, portabella, na brown cremini.

2. Ladha sawa na nyama

Kwa watu ambao hawapendi nyama, wanao pata matatizo ya kiafya wanapo kula nyama na wanao ishi maisha bila ulaji wa protini kutokana na wanyama (vegans), uyoga ni anuwai bora. Ina sawa ladha na nyama na ina wingi wa protini kwa hivyo ni mbadala mwema wa nyama.

3. Zina wingi wa selenium

Selenium ina fanya kazi sawa na anti oxidants mwilini na kulinda seli dhidi ya hatari yoyote ambayo inaweza sababisha magonjwa. Pia ina jukumu muhimu katika mfumo wako wa kinga.

4. Zina fanya kazi sawa na nyama kwenye chakula

Unapo tayarisha chakula kinacho hitaji nyama ya aina yoyote ile, tumia uyoga kama mbadala wa nyama. Kwa kufanya hivi, utapunguza idadi ya kalori na ufuta unazo tia mwilini.

5. Kupunguza uzani wa mwili

mama anaye tarajia

Uyoga una viwango vidogo sana vya kalori. Katika chakula cha white buttons tano, kuna kalori kama 20. Na bado utahisi kushiba sana. Kwa wanao kula uyoga kama chamcha chao badala yao wana punguza idadi ya kalori wanazo tia mwilini na kuhisi shibe sawa na aliye kula nyama.

6. Ni rahisi kukuza

Uyoga hauhitaji vitu vingi kukuza. Unaweza kuza ndani ya nyumba ama hata nje ya nyumba kwa urahisi. Na unapo kula uyoga, una punguza kiwango cha carbon unacho weka mwilini.

Hitimisho

Ikiwa unataka kuishi maisha bora yenye afya na kupunguza idadi ya kalori unazo kula. Hakikisha kuwa una nunua uyoga zaidi na kuwapikia wanajamii wako. Ikiwa unafurahia kula uyoga, tujulishe jinsi unavyo penda kutayarisha uyoga wako!

Soma Pia: Keto Kwa Watoto: Je, Lishe Ya Keto Ni Salama Kwa Watoto?

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Meal Planner
  • /
  • Sababu 6 Za Kula Uyoga Zaidi
Share:
  • Faida Za Kiafya Za Kula Njugu Usizo Zifahamu

    Faida Za Kiafya Za Kula Njugu Usizo Zifahamu

  • Epuka Kula Usiku: Hatari Za Kula Chakula Kingi Usiku

    Epuka Kula Usiku: Hatari Za Kula Chakula Kingi Usiku

  • Umuhimu Wa Kuongeza Mayai Kwa Lishe Ya Watoto

    Umuhimu Wa Kuongeza Mayai Kwa Lishe Ya Watoto

  • Kinywaji Cha Kwanza Cha Siku Kinapaswa Kuwa Nini?

    Kinywaji Cha Kwanza Cha Siku Kinapaswa Kuwa Nini?

  • Faida Za Kiafya Za Kula Njugu Usizo Zifahamu

    Faida Za Kiafya Za Kula Njugu Usizo Zifahamu

  • Epuka Kula Usiku: Hatari Za Kula Chakula Kingi Usiku

    Epuka Kula Usiku: Hatari Za Kula Chakula Kingi Usiku

  • Umuhimu Wa Kuongeza Mayai Kwa Lishe Ya Watoto

    Umuhimu Wa Kuongeza Mayai Kwa Lishe Ya Watoto

  • Kinywaji Cha Kwanza Cha Siku Kinapaswa Kuwa Nini?

    Kinywaji Cha Kwanza Cha Siku Kinapaswa Kuwa Nini?

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it