Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Manufaa Ya Kutumia Kondomu Na Athari Hasi Za Kuzivalia

2 min read
Manufaa Ya Kutumia Kondomu Na Athari Hasi Za KuzivaliaManufaa Ya Kutumia Kondomu Na Athari Hasi Za Kuzivalia

Manufaa ya kutumia kondomu katika tendo la ndoa ni kulinda dhidi ya kupata magonjwa na kuepuka kushika mimba.

Mipira ya kondomu ni baadhi ya njia za uzazi wa mpango zinazotumika zaidi leo. Mbinu za uzazi wa mpango hulinda dhidi ya kupata ujauzito. Kutumia kondomu kuna linda dhidi ya kupata mimba. Mbali na kupata mimba, kutumia mpira wa kondomu kuna manufaa zaidi. Tazama manufaa ya kutumia kondomu.

Jinsi ya kutumia kondomu vizuri

manufaa ya kutumia kondomu

Ili mpira wa kondomu utelekeze jukumu lake, unapaswa kuvaliwa ipasavyo. Kutotumia vizuri kuna muweka mwanamke katika hatari ya kupata mimba na maambukizi mengine. Hakikisha kuwa mpira haujapitisha siku za kutimiwa kwake na umevaliwa unavyohitajika.

  1. Toa mpira ule kwenye pakiti yake. Hakikisha kuwa hauharibiwi na kucha ama meno unapoutoa
  2. Valia kondomu kwa kibofu kilicho simama na kuhakikisha hakuna hewa kwenye mwisho wa kondomu
  3. Baada ya kutumia kondomu, itoe kwa kuvuta kutoka mwisho kwa umakini
  4. Itupe ifaavyo kwenye jalada

Manufaa ya mipira ya kondomu

  1. Ni rahisi kupata na kununua kondomu
  2. Ni rahisi kutumia ikilinganishwa na mbinu zingine
  3. Haina vichocheo vinavyoathiri mwili
  4. Haiathiri uzalishaji wa mwanamke ama mwanamme
  5. Inalinda dhidi ya maambukizi ya kingono kama vile kisonono na pia ukimwi
  6. Ina asilimia kubwa ya kulinda dhidi ya mimba na magonjwa inapotumika vizuri

manufaa ya kutumia kondomu

Athari hasi za kutumia kondomu

  1. Msuguano zaidi ama friction wakati wa ngono unaweza kusababisha kuraruka kwa mpira wa kondomu na kusababisha mimba isiyotarajiwa
  2. Watu wanaotatizika kutokana na mzio wa latex huenda wakashindwa kutumia kondomu za kawaida
  3. Baada ya kumaliza tendo la ndoa toa kibofu kwenye uke wa mwanamke na utoe mpira huo kabla ya uume kurejelea hali ya kawaida na kumwaga shahawa ndani ya uke.

Wakati ufanisi wa kondomu huathiriwa

  • Mpira wa kondomu unaporaruka
  • Kondomu inapoharibiwa na mdomo ama kucha inapotolewa kwenye pakiti
  • Kibofu kinapogusa uke kabla ya kuvalia kondomu
  • Ikiwa mwanamme anatumia dawa kutibu hali kama thrush, huenda latex ya kondomu ikaathiriwa na kuathiri utendaji kazi wake
  • Kondomu inapotoka katika kitendo cha ngono

Mahali kwa kununua kondomu

  • Kliniki za uzazi wa mpango
  • Kliniki za afya ya kingono
  • Duka za dawa
  • Duka kubwa ama supermarkets
  • Stesheni za kuuza mafuta

Kutumia kondomu huwa na manufaa mengi, mbali na kulinda dhidi ya kupata mimba, mwanamke na mwanamme wanalindwa dhidi ya kupata maambukizi ya kingono kama kisonono na chlamydia.

Chanzo: Healthline

Soma Pia:Haya Yanafanyika Baada Ya Kufanya Ngono Kila Siku Kwa Mwaka Mzima

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Manufaa Ya Kutumia Kondomu Na Athari Hasi Za Kuzivalia
Share:
  • Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

    Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

  • Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

    Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

  • Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

    Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

  • Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

    Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

  • Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

    Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

  • Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

    Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it