Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Je, Mimba Huanza Kuonekana Baada Ya Muda Upi?

2 min read
Je, Mimba Huanza Kuonekana Baada Ya Muda Upi?Je, Mimba Huanza Kuonekana Baada Ya Muda Upi?

Vipima mimba huonyesha iwapo mama ana mimba siku moja baada ya kukosa kipindi chake cha hedhi. Ila, kwa wanawake wasio na vipindi sawa vya hedhi, huenda wakangoja wiki moja.

Swali la mimba huonekana baada ya siku ngapi ni mojawapo ya maswali yaliyo maarufu sana kati ya mabinti walio fikisha miaka yao ya kupata hedhi. Hiki ndicho kipindi ambacho baada ya mabinti huanza kufahamu zaidi kuhusu miili yao na kinacho tendeka. Pia kwa wanawake walio katika ndoa ama uhusiano na hawatumii mbinu yoyote ya kupanga uzazi. Huenda waka jiuliza swali hili mara nyingi.

Ujauzito hudhihirika baada ya muda upi?

mimba huonekana baada ya siku ngapi

Vipima mimba huonyesha iwapo mama ana mimba siku moja baada ya kukosa kipindi chake cha hedhi. Vipimo vya mimba hupima kuwepo kwa homoni ya hCG inayo tolewa baada ya yai lililo rutubishwa kujipandikiza kwenye kuta za uterasi. Ikiwa mwanamke ana viwango vya chini vya homoni hii ya ujauzito, nafasi kubwa ni kuwa kipimo cha mimba kitaonyesha matokeo hasi. Hata kama ana mimba.

Katika visa kama hivi, ni vyema kwa mama kungoja siku kama tano. Viwango vya hCG mwilini huongezeka kwa mara mbili baada ya kila siku. Kuna baadhi ya vipimo, kama vile kipimo cha damu. Kinaweza kuonyesha iwapo mwanamke ana mimba siku nne kabla ya kukosa kipindi chake cha hedhi.

Vipindi vya hedhi

Kuna wanawake wanao tatizika kufahamu wakati wanapo tarajia vipindi vyao vya hedhi. Ambao vipindi vyao vya hedhi sio vya kawaida. Ngoja wiki 1 ama 2 baada ya kukosa kipindi chako kabla ya kufanya kipimo cha mimba. Ni rahisi zaidi kufanya kipimo ikiwa vipindi vyako vya hedhi ni vya kawaida.

Mbali na kufanya kipimo, kuna ishara za mimba zinazo tokeo mapema ambazo zinaweza mfahamisha mwanamke ikiwa ana mimba tayari.

Dalili kama vile:

kutoka damu wakati wa mimba changa

  • Kuhisi mhemko wa hisia
  • Kuhisia hamu ya kwenda msalani mara kwa mara
  • Kuwa na maumivu ya kichwa
  • Kuhisi kichefu chefu na kutapika mara kwa mara
  • Kuumwa na sehemu ya chini ya mgongo
  • Mabadiliko kwenye matiti, ama kuhisi uchungu kwenye chuchu
  • Chuchu kuwa na rangi nyeusi iliyo kolea
  • Ugonjwa wa asubuhi

Mimba huonekana baada ya siku ngapi? Mimba hudhihirika siku sita baada ya tendo la ndoa na manii kurutubisha yai la mwanamke.

Soma Pia:Sababu Zinazo Athiri Kuchelewa Kwa Kipindi Chako Cha Hedhi

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Pregnancy
  • /
  • Je, Mimba Huanza Kuonekana Baada Ya Muda Upi?
Share:
  • Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

    Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

  • Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

    Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

  • Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

    Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

  • Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

    Makosa Ambayo Wanawake Wajawazito Hufanya

  • Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

    Vidokezo vya Ujauzito Wenye Afya kwa Mama Mjamzito

  • Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

    Chakula Bora cha Kujifungua Mtoto Mrembo

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it