Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Jinsi Ya Kupanga Uzazi Kwa Kutumia Mbinu Za Kiasili!

2 min read
Jinsi Ya Kupanga Uzazi Kwa Kutumia Mbinu Za Kiasili!Jinsi Ya Kupanga Uzazi Kwa Kutumia Mbinu Za Kiasili!

Mwanamke anapo karibia siku zake za rutuba, ute wake hubadilika na kuwa mwingi. Joto mwilini hubadilika na huenda akawa na chuchu laini.

Njia za asili za uzazi wa mpango zina zuia mwanamke kutunga mimba bila kutumia kemikali ama vifaa vya kuzuia mimba wanandoa wanapo fanya mapenzi. Ni muhimu kufahamu mbinu za kuzuia mimba ili kujiepusha na mimba isiyo tarajiwa.

Mbinu za kupanga uzazi kiasili

njia za asili za uzazi wa mpango

  • Kunyonyesha. Mwanamke anapo nyonyesha, hasa miezi ya kwanza mitatu baada ya kujifungua, ana nafasi changa za kutunga mimba. Hii ni kwa sababu mwili wake unatoa homoni zinazo ufanya mwili usipevushe yai.

Kuna baadhi ya wakati ambapo mwanamke huenda kapata mimba hata anapo nyonyesha mtoto. Mbinu hii inategemea na mara anazo mnyonyesha mtoto kwa siku.

  • Kutumia kalenda na siku salama katika mzunguko wa hedhi. Mbinu hii ni maarufu sana kwa wanandoa wanao ishi pamoja na hawataki kutumia kondomu wala hawako tayari kuwa wazazi. Mwanamke ana tumia kalenda kufahamu siku zilizo salama kwake kufanya tendo la ndoa bila vizuizi.

Katika wakati huu, ana nafasi changa zaidi za kutunga mimba. Wanandoa hawana shaka kuhusu kupata mimba wasipo tarajia. Mwanamke anaweza wasiliana na daktari ikiwa ana tatizika kufahamu siku zake salama.

njia za asili za uzazi wa mpango

Faida za kutumia njia asili kupanga uzazi

  • Mwanamke yeyote anaweza kutumia bila hofu ya kupata athari hasi mwilini. Kama vile kuongezeka ama kupunguka kwa uzani wa mwili kwa kasi, ama kuvuja damu nyingi
  • Hauna gharama yoyote ya kifedha
  • Hauna madhara kwa afya ya mwanamke, mwili wake ama uso
  • Ni nafuu ikilinganishwa na mbinu zingine za kupanga uzazi ambazo huenda zikamweka mwanamke katika hatari ya kukaa kabla ya kutunga mimba
  • Mwanamke anapo taka kutunga mimba, ni kasi, ikilinganishwa na mbinu zingine za kuzuia mimba.
  • Hauathiri umbo la mwanamke
  • Kutumia njia asili haku athiri mzunguko wa hedhi ya mwanamke

Kwa mwanamke anaye tumia mbinu hii, anapaswa kuwa makini sana na mwili wake kufahamu mambo yanapo badilika. Mwanamke anapo karibia siku zake za rutuba, ute wake hubadilika na kuwa mwingi. Joto mwilini hubadilika na huenda akawa na chuchu laini. Kufahamu jinsi mwili wake ulivyo kawaida kutamsaidia kujua wakati anapofaa kujitenga na tendo la ndoa.

Njia za asili za uzazi wa mpango ni salama kwa wanawake wote!

Soma Pia: Mbinu 5 Kuu Za Kupanga Uzazi Na Kuzuia Mimba Baada Ya Ngono

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Jinsi Ya Kupanga Uzazi Kwa Kutumia Mbinu Za Kiasili!
Share:
  • Njia Za Kisasa Za Kupanga Uzazi Na Athari Zake Kwa Mwanamke

    Njia Za Kisasa Za Kupanga Uzazi Na Athari Zake Kwa Mwanamke

  • Aina Tofauti Za Kupanga Uzazi Na Umuhimu Wake Kwa Jamii Na Wanandoa

    Aina Tofauti Za Kupanga Uzazi Na Umuhimu Wake Kwa Jamii Na Wanandoa

  • Njia Za Uzazi Wa Mpango Kwa Wanaume Na Athari Zake!

    Njia Za Uzazi Wa Mpango Kwa Wanaume Na Athari Zake!

  • Sindano Za Uzazi Wa Kupanga Zina Madhara Gani Kwa Mwanamke?

    Sindano Za Uzazi Wa Kupanga Zina Madhara Gani Kwa Mwanamke?

  • Njia Za Kisasa Za Kupanga Uzazi Na Athari Zake Kwa Mwanamke

    Njia Za Kisasa Za Kupanga Uzazi Na Athari Zake Kwa Mwanamke

  • Aina Tofauti Za Kupanga Uzazi Na Umuhimu Wake Kwa Jamii Na Wanandoa

    Aina Tofauti Za Kupanga Uzazi Na Umuhimu Wake Kwa Jamii Na Wanandoa

  • Njia Za Uzazi Wa Mpango Kwa Wanaume Na Athari Zake!

    Njia Za Uzazi Wa Mpango Kwa Wanaume Na Athari Zake!

  • Sindano Za Uzazi Wa Kupanga Zina Madhara Gani Kwa Mwanamke?

    Sindano Za Uzazi Wa Kupanga Zina Madhara Gani Kwa Mwanamke?

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2022 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it