Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Jinsi Ya Kuepuka Kupata Mimba Kwa Mama Anaye Nyonyesha!

2 min read
Jinsi Ya Kuepuka Kupata Mimba Kwa Mama Anaye Nyonyesha!Jinsi Ya Kuepuka Kupata Mimba Kwa Mama Anaye Nyonyesha!

Njia ya kutumia kondomu ina ufanisi wa asilimia 99 wa kulinda dhidi ya mama kupata mimba angali ana nyonyesha.

Kunyonyesha ni mojawapo ya njia asili za kuzuia mimba. Mara nyingi, mama anaye nyonyesha miezi ya kwanza mitatu baada ya kupata mtoto huwa salama kufanya ngono bila kupata mimba. Kumbuka kuwa mama anastahili kungoja hadi pale anapo pona baada ya kujifungua kabla ya kujitosa kwenye tendo la ndoa. Kuna nyakati ambazo mama licha ya kuwa ana nyonyesha anaweza kupata mimba. Je, mama anaweza kutumia njia za kuzuia mimba baada ya kujifungua?

Ni vyema kwa mama kujilinda dhidi ya kupata mimba ingine anapo nyonyesha.

Kupata mimba mama anapo nyonyesha

njia za kuzuia mimba baada ya kujifungua

Kwa kawaida, ni vigumu kwa mama kutunga mimba angali yuwa nyonyesha hasa katika miezi ya kwanza michache baada ya kujifungua. Anapo nyonyesha, kuna homoni inayo tolewa inayo zuia yai kupevuka, na kukosa kupata kipindi cha hedhi kwa miezi michache. Hata hivyo, mama angali ana nafasi ya kutunga mimba. Na ndiyo sababu kwanini daktari humshauri mwanamke jinsi ya kuzuia mimba kabla ya kutoka hospitalini.

Njia za kuzuia mimba baada ya kujifungua

  • Kutumia tembe ama vidonge vya kupanga uzazi

Mama hashauriwi kutumia tembe za uzazi wa mpango baada ya kujifungua. Kwani zina mchanganyiko wa vichocheo ambavyo huenda vika athiri na kupunguza utoaji wa maziwa ya mama. Utoaji wa maziwa yasiyo tosha ya mama kuta athiri ukuaji wa mtoto.

Hata hivyo, ni salama kwa mama kutumia tembe zilizo na aina moja ya kichocheo cha progesterone.

  • Kumwaga manii nje

Kwa wanandoa wasio weza kungoja hadi miezi mitatu kuisha kabla ya kurejelea tendo la ndoa, wanaweza tumia mbinu hii. Mwanamme anamwaga manii nje baada ya kufika kilele katika tendo la ndoa.

  • Kutumia kondomu

njia za kuzuia mimba baada ya kujifungua

Njia hii ni salama kwa mama na bora zaidi. Ina ufanisi wa asilimia 99 wa kulinda dhidi ya mama kupata mimba angali ana nyonyesha. Pia, mama ana kingwa dhidi ya kupata magonjwa ya zinaa kama vile herpes, kwani kipindi hiki afya yake ni dharura sana na nyeti.

Hizi ni baadhi ya njia za kuzuia mimba baada ya kujifungua ambazo mama anaweza kutumia. Kupata mimba mama anapo nyonyesha kuna athari kwa afya yake na ya mtoto anaye kua tumboni. Ni vyema kuzuia kupata mimba katika miezi ya kwanza michache baada ya kujifungua.

Soma Pia: Njia Tofauti Za Kuzuia Mimba Kama Vile Kwa Kutumia Chumvi!

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Becoming a Mama
  • /
  • Jinsi Ya Kuepuka Kupata Mimba Kwa Mama Anaye Nyonyesha!
Share:
  • Njia Za Kisasa Za Kupanga Uzazi Na Athari Zake Kwa Mwanamke

    Njia Za Kisasa Za Kupanga Uzazi Na Athari Zake Kwa Mwanamke

  • Mbinu 5 Kuu Za Kupanga Uzazi Na Kuzuia Mimba Baada Ya Ngono

    Mbinu 5 Kuu Za Kupanga Uzazi Na Kuzuia Mimba Baada Ya Ngono

  • Mbinu 3 Kuu Za Kuzuia Kutunga Mimba (Jinsi Ya Kuzuia Mimba)

    Mbinu 3 Kuu Za Kuzuia Kutunga Mimba (Jinsi Ya Kuzuia Mimba)

  • Njia 3 Kuu Za Kuepuka Mimba Baada Ya Kufanya Ngono!

    Njia 3 Kuu Za Kuepuka Mimba Baada Ya Kufanya Ngono!

  • Njia Za Kisasa Za Kupanga Uzazi Na Athari Zake Kwa Mwanamke

    Njia Za Kisasa Za Kupanga Uzazi Na Athari Zake Kwa Mwanamke

  • Mbinu 5 Kuu Za Kupanga Uzazi Na Kuzuia Mimba Baada Ya Ngono

    Mbinu 5 Kuu Za Kupanga Uzazi Na Kuzuia Mimba Baada Ya Ngono

  • Mbinu 3 Kuu Za Kuzuia Kutunga Mimba (Jinsi Ya Kuzuia Mimba)

    Mbinu 3 Kuu Za Kuzuia Kutunga Mimba (Jinsi Ya Kuzuia Mimba)

  • Njia 3 Kuu Za Kuepuka Mimba Baada Ya Kufanya Ngono!

    Njia 3 Kuu Za Kuepuka Mimba Baada Ya Kufanya Ngono!

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it