Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Sababu 3 Kuu Kwa Nini Wanandoa Hupigana

2 min read
Sababu 3 Kuu Kwa Nini Wanandoa HupiganaSababu 3 Kuu Kwa Nini Wanandoa Hupigana

Kuna sababu nyingi ambazo huenda zikachangia vita katika ndoa. Tazama kwa nini wanandoa hupigana na jinsi ya kutatua matatizo haya.

Kubishana katika ndoa na uhusiano ni kawaida. Lakini inaweza kuwa na afya inapofanyika kwa njia inayofaa, wanandoa wanahitaji kutia bidii kuzungumza na kutatua masuala yao. Unagundua wewe na mchumba wako mnapopigana kuhusu vitu sawa muda baada ya mwingine? Katika makala haya, tuna zungumzia masuala matatu makuu kwa nini wanandoa hupigana.

Sababu kwa nini wanandoa hupigana

  1. Pesa

kwa nini wanandoa hupigana

Hili ni tatizo kubwa, hasa kwa ndoa ambapo mchumba mmoja ndiye aliye na kazi. Huenda akataka kuwapeleka watoto wake katika shule za bei ghali, wakati ambapo mchumba mwingine haoni haja, huenda akadhani kuwa bibi yake anatumia pesa nyingi kununua vyakula ama huenda bibi akamchukia bwana kwa kutokuwa na pesa za kutosha.

Wanandoa wanaweza kuepuka matatizo haya kwa kuzungumza kuhusu pesa zao na kuto ngoja hadi pesa zao zinapokuja kuzungumza kuhusu matatizo yao ya kifedha. Kuwa na bajeti pia na kuelewana ni muhimu.

2. Kazi za kinyumbani

Hili ni suala kubwa katika nyumba ambapo wazazi wote wanafanya kazi, na hata kwa mama wanaobaki nyumbani kuwalea watoto wao kwani wanazidiwa na kazi za kinyumbani, kuitunza nyumba na familia zao. Huenda wakabishana mara kwa mara na wachumba wao wanapohisi kuwa hawaegemezwi. Na kuwa hata suala kubwa wakati ambapo viwango vyenu vya usafi vinatofautiana. Mmoja huenda akawa na furaha, wakati ambapo mwingine anaona hakuja safika.

Kugawana kazi za kinyumbani ama kutafuta mfanya kazi kunaweza kusaidia kutatua suala hili. Kwa njia hii, kila mtu atafahamu anachotarajiwa kufanya.

kwa nini wanandoa hupigana

3. Familia

Baadhi ya wanandoa hubishana kuhusu wanavyo wapatia watoto wao nidhamu. Wengine hubishana kuhusu wakwe zao. Haya yote ni kawaida- nyote ni watu tofauti wenye mitazamo tofauti kwa hivyo bila shaka mtakuwa na tofauti zenu.

Chochote kinachofanyika, fanya uwezavyo kutatua tatizo kama timu moja hasa inapofika kwa watoto wenu na familia zenu. Kuwa na majadiliano kwa kisiri na mchumba wako na myatatue masuala yenu bila kuathiri uhusiano wenu.

Soma Pia: Tendo La Ndoa Ni Bora Kwa Afya Na Uhusiano Wako: Kwa Njia Hizi

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Sababu 3 Kuu Kwa Nini Wanandoa Hupigana
Share:
  • Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

    Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

  • Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

    Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

  • Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

    Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

  • Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

    Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

  • Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

    Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

  • Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

    Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it