Maumivu haya ya kichwa hutendeka kufuatia baadhi ya mabadiliko ya kifizikia mwilini mwako. Maumivu yako ya kichwa asubuhi huenda yakawa sio kawaida, ila, utawezaje kukabiliana na jambo hili iwapo hujui kisa na sababu ya maumivu haya.
Makala haya yatakuonyesha sababu kwanini unashuhudia maumivu ya kichwa asubuhi.
Angalia sababu hizi zinazo sababisha maumivu ya kichwa asubuhi mara kwa mara
1. Kukosa usingizi
[Fab Magazine]
2. Kutumia mto usiofaa
[ece-auto-gen]
Kitu rahisi kama vile kutumia mto usiofaa huenda kukawa chanzo kikuu cha maumivu ya kichwa asubuhi. Wakati ambapo misuli ya ngozi ya shingo imekazwa kwa nafasi moja kwa muda mrefu, huenda ukashuhudia maumivu ya kichwa. Njia bora ya kukabiliana na jambo hili ni kutafuta mto unao shikilia shingo yako kwa nafasi iliyo sawa kuepuka maumivu ya kichwa.
3. Usingizi uliotatizika
Sleep apnea is a serious condition that causes people to stop breathing in their sleep [ece-auto-gen]
Watu ambao hutoa sauti wanapolala huwa na hali hii na ni njia ya kipekee ya kujua ni iwapo mtu atakuangalia unapolala. Iwapo una hali hii, unahitajika kumtembelea daktari wako.