Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Je, Una Shaka Kuhusu Uzalishaji? Badilisha Kazi Yako Ya Usiku!

2 min read
Je, Una Shaka Kuhusu Uzalishaji? Badilisha Kazi Yako Ya Usiku!Je, Una Shaka Kuhusu Uzalishaji? Badilisha Kazi Yako Ya Usiku!

Wanandoa huwa na shaka kuhusu uzalishaji baada ya kukaa muda mrefu bila kupata watoto. Tazama baadhi ya njia za kuboresha uwezo wa kushika mimba.

Kuinua vitu nzito na kufanya kazi usiku kumehusishwa na uzalishaji wa chini katika wanawake, kulingana na utafiti mpya. Kulingana na ripoti hiyo, kazi inayohitaji nguvu zako za kifizikia ama ratiba za kazi za muda mrefu. Wanandoa hukumbwa na shaka kuhusu uzalishaji baada ya kujaribu kwa muda mrefu bila mafanikio.

Kutatua Shaka Kuhusu Uzalishaji

mimba ya cryptic ni nini, shaka kuhusu uzalishaji

Kulingana na daktari Kaushiki Dwivedee aliye mkubwa wa idara ya Gynecology na Obstetrics, kujishinikiza kifizikia na kufanya kazi kwa masaa marefu ni baadhi ya vitu vinavyo ongeza mawazo tele. Fikira nyingi huathiri na kupunguza uzalishaji. Pia, homoni nyingi zinazo husika na uzalishaji huathirika kufuatia mtindo wa kulala ulio badilika kufuatia kufanya kazi kwa masaa marefu.

Hili ndilo somo la kwanza kupima iwapo sababu za kikazi zinaathiri uwezo wa kibiolojia wa mwanamke kupata mtoto, kulingana na ripoti hii. Utafiti huu uliangazia ovarian reserve ya mwanamke, ambayo ni idadi ya mayai ya mwanamke na kiwango cha kichocheo cha follicle stimulating hormone(FSH). Kichocheo hiki huongezeka japo mwanamke anavyozidi kuzeeka.

 

Wanawake waliona kazi zinazo tarajia nguvu nyingi za kifizikia walioingia katika IVF walikuwa na nambari ya chini ya mayai. Na nambari ya chini ya mayai yaliyo komaa. Sawa na wanawake wanaofanya kazi wakati wa usiku. Umri wa mama huchangia pakubwa katika uwezo wake wa kutunga mimba. Mbali na kuvuta sigara, unywaji wa pombe, kuongeza uzito, na matibabu ya saratani. Wanandoa wanaweza zingatia mtindo wa maisha wenye afya ili kuongeza nafasi zao za kutunga mimba. Kama vile kujitenga na uvutaji wa sigara, usiku wa maanani na kuhakikisha kuwa wanalala kwa masaa 8 kila siku, na kuzingatia lishe bora. Wanawake waliokatika umri wa miaka 30' wanaweza kuhifadhi mayai yao. Kwa wanandoa wanaofikiria kuhusu njia ya IVF kupata watoto, wanapaswa kuangazia:

shaka kuhusu uzalishaji

Pumzika: Kitu muhimu sana kwa wanawake wanaotaka kufanya IVF ni kupumzika na kuhakikisha kuwa hawana mawazo zaidi. Usijikwaze kifizikia, ama  kimawazo.

Mazoezi mepesi: Ni muhimu kwa wanawake kufanya mazoezi mepesi bila kuushinikiza mwili, kwani kufanya hivi kuna athiri kipindi cha hedhi. Kufanya mazoezi kwa masaa marefu kunafanya kujipandikiza kwa yai kuwe kugumu. Badala yake, wanawake wanastahili kufanya mazoezi mepesi kama vile yoga.

Ni muhimu kwa wanandoa kushauriana na mtaalum wa afya kama ya kuanzisha utaratibu wowote wa uzalishaji.

Soma Pia: Njia 5 Za Kuboresha Mfumo Wa Uzazi Katika Wanawake

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Trying To Conceive
  • /
  • Je, Una Shaka Kuhusu Uzalishaji? Badilisha Kazi Yako Ya Usiku!
Share:
  • Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

    Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

  • Kufanya Mapenzi Kupata Mimba: Mambo 9 Wanandoa Wanapaswa Kujua

    Kufanya Mapenzi Kupata Mimba: Mambo 9 Wanandoa Wanapaswa Kujua

  • Mabadiliko 10 ya Kufanya Kabla ya Kupata Mimba

    Mabadiliko 10 ya Kufanya Kabla ya Kupata Mimba

  • Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

    Vidokezo 5 vya Kupata Mimba kwa Wanandoa Wanaolenga Kuwa Wazazi

  • Kufanya Mapenzi Kupata Mimba: Mambo 9 Wanandoa Wanapaswa Kujua

    Kufanya Mapenzi Kupata Mimba: Mambo 9 Wanandoa Wanapaswa Kujua

  • Mabadiliko 10 ya Kufanya Kabla ya Kupata Mimba

    Mabadiliko 10 ya Kufanya Kabla ya Kupata Mimba

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it