Kukosa usingizi kwa mjamzito ni jambo maarufu katika mimba. Haja ya kwenda msalani kila mara na maumivu ya mgongo humkosesha mama usingizi.
Diet ya mama mjamzito inapaswa kuwa na aina zote za vyakula vinavyohitajika. Pia anaweza tumia tembe kumsaidia kufikisha viwango hitajika.
Mayai husaidia kumpa mama protini mwilini. Vitamini A na madini ambayo itasaidia kuzuia kupatwa na maradhi na magonjwa mbalimbali.
Muda wa kupima mimba hutofautiana kati ya mwanamke. Hii ni kwa sababu mizunguko ya hedhi hutofautiana kwa wanawake.
Kulingana na utafiti uliofanyika, kati ya asilimia 14 na 23 za wanawake hushuhudia fikira nyingi wakiwa na mimba.
Mama huenda aka vuja damu katika mimba anapo poteza mimba aliyo kuwa amebeba, mara nyingi anapo kuwa katika trimesta yake ya kwanza.
Kutunza mtoto hakuanzi anapo zaliwa, mbali angali tumboni mwa mama na mjamzito ana shauriwa kuwa mwangalifu wa afya yake.
We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it