Kupunguza ulaji wa chumvi ama kiwango unachochukua na kula gum kunasaidia katika kutoa gesi tumboni kwa haraka.
Kulingana na wataalum, mazoezi kwa watoto ni muhimu na wanahitaji angalau lisaa limoja la vitendo vya kifizikia kwa siku.
Kufanya yoga kila siku kunakuwezesha kulala vyema zaidi. Yoga ina athari kwa matatizo yanayochangia kukosa usingizi kama vile kuwa na wasiwasi ama mawazo mengi.
Kutembea ni zoezi rahisi na lenye manufaa mengi kwa mama na fetusi. Kunamsaidia mama kupunguza uvimbe kwenye miguu kufuatia ongezeko la uzito wa fetusi.
Mazoezi baada ya kujifungua ni muhimu ili kudumisha afya ya mama. Mbali na hayo, ni vyema kwa mama kuzingatia ulaji wa mlo kamili.
Umuhimu wa mazoezi ya kuleta uchungu wa uzazi hayana kikomo. Lakini ni vizuri kujihadhari sana wakati wa joto kali. Pia upumzike ikiwa una mafua, maumivu ya kichwa au unajiskia kizunguzungu.
Maumivu ya mwili katika ujauzito mara nyingi hushuhudiwa katika trimesta ya pili ama ya tatu. Na mara nyingi wakati wa usiku.
Kufanya mazoezi na kuongeza uzito ni mojawapo ya mambo yanayo tia wasiwasi zaidi. Hasa unapo kazana kupunguza uzito. Tazama chanzo cha jambo hili.
Unapo fanya mazoezi na kukosa kulala kwa masaa yanayo hitajika, nafasi kubwa ni kuwa uta tatizika kutimiza malengo yako ya kiafya.
Intermittent fasting is an effective way to lose weight and improve health. Learn how to do intermittent fasting using these methods.
We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it