Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Faida 3 Kuu Za Tendo La Ndoa Katika Ndoa Unazo Stahili Kufahamu!

2 min read
Faida 3 Kuu Za Tendo La Ndoa Katika Ndoa Unazo Stahili Kufahamu!Faida 3 Kuu Za Tendo La Ndoa Katika Ndoa Unazo Stahili Kufahamu!

Wanandoa wanaofanya kitendo cha ngono mara kwa mara, hawasumbuki na tatizo la shinikizo la juu la damu. Na pia kuboresha hisia zao.

Tendo la ndoa ni muhimu sana katika maisha. Kitendo hiki kina manufaa mengi ya kiafya, kijamii na pia kuendeleza vizazi. Wanandoa wanao jihusisha katika tendo hili mara kwa mara wana pata manufaa mengi na kuusaidia uhusiano wao kukua. Mbali na kuwa na wakati wa kujifurahisha na kuwa pamoja, kuna faida nyingi za kiafya zinazo ambatana na kujihusisha katika tendo hili. Tuna angazia umuhimu wa tendo la ndoa katika ndoa, kwa afya, akili na kijamii.

Umuhimu wa kufanya tendo la ndoa kwa afya

Umuhimu wa tendo la ndoa katika ndoa

Tendo la ndoa lina husishwa na kupata watoto. Lakini, hii haifai kuwa sababu ya kipekee. Na wala sio kujitenga na kupata mimba isiyo tarajiwa ama maambukizi ya kingono. Tazama manufaa yake.

  • Kuboresha mfumo wa kinga mwilini. Kulingana na utafiti ulio fanyika kati ya wanandoa. Walio fanya tendo hili zaidi walidhibitiwa kuwa na kiwango cha juu cha immunoglobulin(IgA) kwenye mate yao. Ikilinganishwa na watu walio fanya kitendo hiki mara zaidi ya moja kwa wiki. IgA ni muhimu sana katika kupigana dhidi ya magonjwa kama vile HPV.
  • Kupunguza shinikizo la damu. Utafiti una husisha ngono na kupunguka kwa shinikizo la damu. Wanandoa wanaofanya kitendo hiki mara kwa mara, hawasumbuki na tatizo la shinikizo la juu la damu.
  • Kupunguza viwango vya mawazo mengi. Kuwa karibu na mchumba kuna saidia kupunguza mawazo ya kujiliwaza. Wanandoa wanahisi hawana mawazo mengi, kwani wanaweza kuzungumza na mtu anaye waelewa vyema zaidi. Kugusana na kukumbatiana kuna ufanya mwili kuachilia kichocheo cha kuhisi vyema na kuwafanya wanandoa kuwa na amani na furaha zaidi.

Manufaa zaidi

Umuhimu wa tendo la ndoa katika ndoa

Akili ya binadamu hufaidika kwa njia nyingi. Kuwa na maisha mazuri ya kingono kuna saidia wanandoa kuwa na maisha mema nyumbani na hata kazini. Kwa wasio kuwa na hamu ya kuingia kazini, kujihusisha kwa kitendo hiki kabla ya kuingia kazini kutasaidia kuboresha hisia zako.

Umuhimu wa tendo la ndoa katika ndoa sio kupunguza mawazo tu, mbali ni zoezi bora. Ni bora katika kuboresha uzalishaji na kupunguza uchungu wakati wa hedhi.

Chanzo: WebMD

Soma Pia: Vyakula 5 Bora Zaidi Katika Kuongeza Hamu Ya Tendo La Wanandoa

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Faida 3 Kuu Za Tendo La Ndoa Katika Ndoa Unazo Stahili Kufahamu!
Share:
  • Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

    Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

  • Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

    Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

  • Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

    Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

  • Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

    Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

  • Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

    Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

  • Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

    Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it