Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Sababu 3 Kwa Nini Utengano Katika Uhusiano Huwaumiza Wanaume Kwa Njia Tofauti

2 min read
Sababu 3 Kwa Nini Utengano Katika Uhusiano Huwaumiza Wanaume Kwa Njia TofautiSababu 3 Kwa Nini Utengano Katika Uhusiano Huwaumiza Wanaume Kwa Njia Tofauti

Utengano katika uhusiano huwaumiza wanaume kwa njia sawa ama zaidi na wanawake, ila, njia zao za kukabiliana na uchungu huwa tofauti.

Kwa nini utengano katika uhusiano huwaumiza wanaume kwa njia tofauti?

Imani zilizoko kuhusu kutengana baada ya kuwa katika uhusiano ni kuwa wanawake huumia zaidi ikilinganishwa na wanaume ambao huhisi uchungu muda baada ya utengano kufanyika.

utengano katika uhusiano huwaumiza wanaume

Kulingana na utafiti, wanawake huumia zaidi, kifizikia na kihisia baada ya utengano. Hata hivyo, wanawake huweza kupona na kuendelea na maisha yao. Kwa upande mwingine, wanaume huendelea na maisha yao na kamwe hawaponi. Jambo linalohusishwa na biolojia ya wanaume.

Tofauti na imani kuwa wanaume hawaathiriwi na utengano katika uhusiano, utafiti wa hivi karibuni unadhibitisha jambo tofauti. Wanaume huathiriwa na utengano katika uhusiano. Muda baada ya kutengana, mwanamke huathiriwa zaidi kihisia na kifizikia. Ila, mwanamke huwa na watu zaidi wa kuzungumzia yaliyompata nao. Kwa njia hii, mwanamke anahisi uchungu na kuonyesha hisia zake hadi anapohisi kuwa ako katika hali bora na kuendelea na maisha yake.

Wanaume wanapoachwa mara nyingi huchukua mvinyo kama njia ya kukabiliana na hisia zao za yaliyowapata. Anapoendelea na maisha yake, atahisi uchungu anapokumbuka alichopoteza na ugumu wa kupata mtu sawa.

Wanaume hukabiliana na hisia zao kwa njia tofauti

utengano katika uhusiano huwaumiza wanaume

Wanaume wamekua katika jamii ambapo mwanamme kuonyesha hisia zake inaonekana kuwa ishara ya dhaifu. Kwa sababu hii, wanaume huficha hisia zao. Kujaribu kuficha hisia zao huwafanya watafute njia mbadala za kuonyesha wanachohisi kama kulewa. Huenda ikaonekana kana kwamba wanaume hawaathiriwi na utengano, lakini ukweli ni kuwa wanaathiriwa kwa njia sawa ama zaidi.

Wanaume hawazungumzii matatizo yao

 

Wanaume huwa vigumu kuomba usaidizi wanapokumbwa na tatizo. Tofauti na wanawake ambao hawatapoteza muda kuzungumza na marafiki wao. Wanaume hawataki kuonewa huruma, mara nyingi watajiwekea kinachowatatiza.

Wanaume hukana kinachofanyika kwanza

utengano katika uhusiano huwaumiza wanaume

Ili kuishi na makosa yao, wanaume hukana walichokifanya kilichosababisha tukio la utengano. Badala yake, wao huwapa wachumba wao lawama. Baada ya kutengana, huwa na hasira na wachumba wao. Baada ya muda, wataanza kufikiria kuhusu makosa yao na walichofanya na kujuta.

Mwanamme anapokabiliana na hisia baada ya utengano katika uhusiano, inakuwa rahisi kwake kuendelea na maisha kwa njia yenye afya. Tofauti na anapoficha hisia zake.

Chanzo: Science Daily

Soma Pia: Ishara 5 za Kujua Iwapo Mwanamme Anakuthamini Katika Uhusiano

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Sababu 3 Kwa Nini Utengano Katika Uhusiano Huwaumiza Wanaume Kwa Njia Tofauti
Share:
  • Wanaume: Tahadhari, Usimguze Mwanamke Sehemu Hizi Wakati wa Ngono!

    Wanaume: Tahadhari, Usimguze Mwanamke Sehemu Hizi Wakati wa Ngono!

  • Usimfiche Mchumba Wako Vitu Hivi: Siri 5 Zinazoharibu Ndoa:

    Usimfiche Mchumba Wako Vitu Hivi: Siri 5 Zinazoharibu Ndoa:

  • Makosa Yanayoathiri Maisha Yako ya Uchumba

    Makosa Yanayoathiri Maisha Yako ya Uchumba

  • Wanaume: Tahadhari, Usimguze Mwanamke Sehemu Hizi Wakati wa Ngono!

    Wanaume: Tahadhari, Usimguze Mwanamke Sehemu Hizi Wakati wa Ngono!

  • Usimfiche Mchumba Wako Vitu Hivi: Siri 5 Zinazoharibu Ndoa:

    Usimfiche Mchumba Wako Vitu Hivi: Siri 5 Zinazoharibu Ndoa:

  • Makosa Yanayoathiri Maisha Yako ya Uchumba

    Makosa Yanayoathiri Maisha Yako ya Uchumba

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2022 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it