Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Njia 3 Ambazo Wanandoa Wanaweza Kutumia Ili Kuwa Na Vita Vya Haki Katika Ndoa

2 min read
Njia 3 Ambazo Wanandoa Wanaweza Kutumia Ili Kuwa Na Vita Vya Haki Katika NdoaNjia 3 Ambazo Wanandoa Wanaweza Kutumia Ili Kuwa Na Vita Vya Haki Katika Ndoa

Ni vigumu kwa wanandoa kutokuwa na vita vya mara kwa mara. Hata hivyo, ni muhimu kwao kuwa na vita vya haki katika ndoa kuepuka vurugu zaidi.

Watu wana tofauti nyingi, tofauti ambazo husababisha kutosikizana. Ukifuata baadhi ya vidokezo vya kuwa na vita vyenye haki, unaweza kuhakikisha kuwa vita vina isha bila kufanya matatizo yenu yawe mengi zaidi. Ni muhimu kwa wanandoa kuhakikisha kuwa wana vita vya haki katika ndoa kuepuka kuwa na matatizo zaidi katika ndoa. Tazama jinsi ambavyo wanandoa wanaweza timiza haya.

Vita vya haki katika ndoa

vita vya haki katika ndoa

  1. Zungumzia suala linapo ibuka usingoje

Ni muhimu kumjulisha mchumba wako punde tu tatizo linapo anza kukusumbua. Kadri unavyo acha suala likusumbue ndivyo unavyo kasirika zaidi. Unapo amua kuzungumza kuhusu jambo uliloweka moyoni, unaongea kwa hasira na sio haki kwa mchumba wako. Mwongozo mzuri wa kuhakikisha kuwa unazungumzia suala kwa haki ni kuto zungumzia jambo lililotendeka masaa 48 ama zaidi. Zungumzia suala punde tu linapotokea na una nafasi ya kulitatua. Ikiwa mchumba wako hatazungumzia suala hilo, unapaswa kuwauliza watenge muda kwa masaa 24 yajayo ili mlizungumzie. Ikiwa uhusiano huo ni muhimu, wataelewa na watakuwa na furaha kuwa uliibua mazungumzo ya kulitatua.

2. Usiibue mambo yaliyofanyika hapo awali

Unapokuwa na vita na mchumba, fanya kadri uwezavyo usiibue mambo ya awali kwenye vita vyenu. Unapozingatia mada ya vita vyenu, kuna nafasi chache kuwa hisia hazitaumizwa na matatizo zaidi hayataibuka. Matatizo yoyote uliyokuwa nayo hapo awali hayajalishi katika suala lililo mezani. Kuyaibua kutamweka mchumba wako katika hali ya kujikinga na kuingilia mazungumzo yenu.

vita vya haki katika ndoa

3. Usisahau suala kuu

Unapozungumzia suala linalohitaji kujadiliwa, hakikisha kuwa hakuna vitu vinavyo kuvuruga na kuingilia mazungumzo yenu. Kuwa na uhakika kusikiliza mchumba wako anachosema na pia lugha ya mwili wake. Kwa njia hii, nyote wawili mnaweza kuelewana kwa uwazi na muweze kutatua masuala yenu kwa njia bora zaidi.

Pia, wanandoa wanaweza kujadili matatizo yao wakiwa wameshikana mikono. Njia hii inasaidia kupunguza hisia za hasira ambazo zinaweza kutokea wanandoa wanapozungumzia matatizo yao. Mazingara haya yanaboresha wanandoa wote wawili kuwa na starehe na kuwa na mazungumzo wazi na maelewano.

Chanzo: Free Articles

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Njia 3 Ambazo Wanandoa Wanaweza Kutumia Ili Kuwa Na Vita Vya Haki Katika Ndoa
Share:
  • Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

    Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

  • Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

    Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

  • Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

    Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

  • Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

    Imani za Kuchumbiana Zisizo za Kweli Unazostahili Kujua

  • Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

    Koma kufanya Hivi Ili Kuboresha Maisha Yako ya Kingono

  • Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

    Sababu 3 Kwa Nini Unapaswa Kuongeza Mara Unazofanya Mapenzi Kwa Siku

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it