Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Vitu 7 Ambavyo Vinawavutia Wanaume Kwa Wanawake Kulingana na Sayansi!

2 min read
Vitu 7 Ambavyo Vinawavutia Wanaume Kwa Wanawake Kulingana na Sayansi!Vitu 7 Ambavyo Vinawavutia Wanaume Kwa Wanawake Kulingana na Sayansi!

Utafiti kutoka kwa somo lililo fanyika Chuo Kikuu cha Manchester lilipata kuwa midomo ndiyo sehemu inayo vutia zaidi ya fizikia ya mwanamke.

Wanaume ni viumbe wa kifizikia, yani, wanavutiwa na wanacho kiona. Huku wanawake wakiwa viumbe wa kusikia, kumaanisha kwamba, wanavutiwa kwa wanaume kulingana na sifa na ahadi wanazo pata. Kulingana na Sayansi, hivi ndivyo vitu vinavyo wavutia wanaume kwa wanawake zaidi.

Vitu vinavyo wavutia wanaume kwa wanawake

vitu vinavyo wavutia wanaume

  1. Muundo wa uso

Hapa ni pale ambapo upande wa kulia una lingana na upande wa kushoto. Vitu vinavyo lingana na kuwa sawa kutoka upande mmoja hadi mwingine, na kulingana na watafiti, hili lina vutia zaidi.

2. Midomo

Utafiti kutoka kwa somo lililo fanyika Chuo Kikuu cha Manchester lilipata kuwa midomo ndiyo sehemu inayo vutia zaidi ya fizikia ya mwanamke. Ili kukubaliana na hili, yote unayo hitaji ni kutazama jinsi inavyo vutia hasa ukiwa na lipstick nyekundu.

3. Kutazamana machoni

Sahau msemo kuwa macho kuwa dirisha la moyo, kwa sababu pia ndiyo mlango wa kupata umakini wa mpenzi wako. Sehemu ya ndani ya jicho lako maarufu kama pupil hupanuka unapo mwona mtu unaye mpenda. Watu wanavutiwa na pupil iliyo kubwa. Usisahau kumwangalia mtu unaye mpenda machoni.

4. Meno ya kuvutia

Utafiti una dhibitisha kuwa meno meupe ni kitu ambacho kinawavutia wanaume wengi kwa wanawake. Kwa hivyo, unapo enda kupatana na mtu aliye na kusudi la kuwa mpenzi wako, usisahau kutabasamu na kumwonyesha meno yako meupe yanayo vutia kwa sana.

5. Tabasamu la kupendeza

vitu vinavyo wavutia wanaume

Somo lingine linapendekeza kuwa wanaume wanavutiwa kwa wanawake wanao tabasamu kwa sana. Hili ni kweli kwani kutabasamu kunamfanya mwanamke kuvutia zaidi ikilinganishwa na kukasirika kila mara. Na bila shaka wanaume wanavutiwa zaidi kwa wanawake wanao tabasamu zaidi.

6. Sauti laini

Sauti laini na ya juu zaidi ina vutia zaidi. Watafiti wana shauri kwa sababu sauti za juu zina ashiria, mwili mdogo ambao jamii yetu ina angazia kama aina ya mwili unao vutia na kupendeza zaidi. Usione haya ikiwa una sauti laini na ya juu. Kwani hiyo ndiyo inayo wavutia wanaume kwako.

7. Rangi nyekundu

Rangi nyekundu ina wavutia wanaume zaidi, kwa sababu ina pendeza na ni kali. Wanawake walio chukua picha wakiwa na mavazi mekundu na picha wakiwa na mavazi ya rangi tofauti. Walipata pongezi zaidi kwa picha waliyo kuwa na vazi lekundu.

Nafasi kubwa ni kuwa, mojawapo kati ya vitu vinavyo wavutia wanaume kwa wanawake tulivyo angazia ndicho kilicho mvuta mumeo kwako. Mwulize leo!

Soma pia: Jinsi Ya Kufurahia Mapenzi Baada Ya Kujifungua Kupitia Upasuaji Wa C-section

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Vitu 7 Ambavyo Vinawavutia Wanaume Kwa Wanawake Kulingana na Sayansi!
Share:
  • Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume

    Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume

  • Kwa Nini Wanawake Wanavutiwa Na Wanaume Walio Katika Ndoa Kulingana Na Sayansi

    Kwa Nini Wanawake Wanavutiwa Na Wanaume Walio Katika Ndoa Kulingana Na Sayansi

  • Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume

    Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume

  • Kushikana Mikono Kunaweza Saidia Kupunguza Uchungu Wa Uzazi Kulingana Na Utafiti

    Kushikana Mikono Kunaweza Saidia Kupunguza Uchungu Wa Uzazi Kulingana Na Utafiti

  • Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume

    Wanawake, Tazama Mambo Unayo Yafanya Yanayo Wavutia Wanaume

  • Kwa Nini Wanawake Wanavutiwa Na Wanaume Walio Katika Ndoa Kulingana Na Sayansi

    Kwa Nini Wanawake Wanavutiwa Na Wanaume Walio Katika Ndoa Kulingana Na Sayansi

  • Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume

    Wanadada: Mambo Haya 5 Unayo Yafanya Yana Wafukuza Wanaume

  • Kushikana Mikono Kunaweza Saidia Kupunguza Uchungu Wa Uzazi Kulingana Na Utafiti

    Kushikana Mikono Kunaweza Saidia Kupunguza Uchungu Wa Uzazi Kulingana Na Utafiti

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2022 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it