Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Mambo 9 Ambayo Wanawake Katika Ndoa Wangependa Marafiki Wao Bila Wachumba Wajue

2 min read
Mambo 9 Ambayo Wanawake Katika Ndoa Wangependa Marafiki Wao Bila Wachumba WajueMambo 9 Ambayo Wanawake Katika Ndoa Wangependa Marafiki Wao Bila Wachumba Wajue

Wanawake katika ndoa wangependa marafiki wao bila wachumba wafahamu kuwa wangali wanawapenda licha ya kutokuwa pamoja kwa muda mrefu.

Mwanamke katika kikundi cha marafiki wanawake anapoingia katika ndoa. Uhusiano wake na marafiki wake hasa walio bila wachumba hubadilika. Wanawake katika ndoa wangependa marafiki wao bila wachumba wafahamu haya. Ili waendelee kuwa na uhusino.

Wanawake katika ndoa wangependa ufahamu:

wanawake katika ndoa

1. Kuwa na bwana hakumaanishi kuwa mimi sio rafiki yako tena. Na unapotaka mtu wa kuelezea kuhusu mwanamme mliyepatana naye sina wakati. La. Tungali marafiki tena wa dhati. Nipigie simu wakati wote kunieleza jinsi date yako ilivyokuwa.

2.Ninapoteta kuhusu bwanangu kwako, haimaanishi kuwa nitamwacha. Mbali nataka kuzungumza na mtu mbali na yeye. Nisingetaka pia umtusi ama umwulize maswali ama kunikumbusha kuwa naweza pata mwanamme mzuri kumliko.

3.  Ninapokwambia kuwa nitazungumza na bwanangu kisha nikwambie, si maanishi kuwa namwomba ruhusa. Ila sisi ni wanatimu na nisingependa kufanya kitu chochote bila kumjuza. Kwa njia sawa, nisingependa afanye vitu kabla ya kunijulisha.

4. Ni jeuri kutuuliza tutapata watotot lini. Kuwa katika ndoa hakumaanishi kuwa wanandoa wangependa kupata watoto. Kuna wachumba wanaoamua kuishi bila watoto na kufuata kazi na masomo yao. Pia, huwezi jua ama wachumba wanapitia matatizo kushika mimba.

wanawake katika ndoa

5. Ni sawa kuamua kukaa peke yako bila mchumba. Licha ya jumuiya kumwambia msichana kuwa kuna umri fulani anapaswa kuwa ameolewa na kupata mtoto. Ni sawa kufanya uamuzi wa kubaki peke yako na kutimiza malengo yako ya kimaisha. Usiwasikize watu wengine, fuata unachotaka.

6. Wakati mwingine nauonea uhuru wako wivu. Nina kazi nyingi za nyumbani, kusafisha vyombo, nyumba na kuitunza familia yangu. Watoto hawanipatii nafasi ya kuwa peke yangu.

7. Kuolewa hakukunibadilisha. Ningali rafiki yako na sijabadilika. Ila, nina majukumu zaidi na huenda nikakosa muda wa kuwa pamoja nawe kama ilivyokuwa hapo mbeleni.

8. Unapoona kuwa rafiki yako katika ndoa mbaya na kamwe hakusikizi. Usikate tamaa kumsaidia. Zungumza na rafiki yako bado. Siku atakapoamua kutengana na bwanake, watahitaji mtu wa kumwegemeza.

9. Nakupenda lakini naipenda familia yangu zaidi. Usione wivu ninapokuwa na familia yangu muda zaidi. Unaponiita twende mahali kisha kukwambia kuwa niko na familia yangu, usiskie vibaya.

Soma Pia: Vidokezo Vilivyothibitishwa Ambazo Washauri Wa Mahusiano Hutumia Kurejesha Ndoa

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Lifestyle
  • /
  • Mambo 9 Ambayo Wanawake Katika Ndoa Wangependa Marafiki Wao Bila Wachumba Wajue
Share:
  • Vidokezo Vya Ndoa Kwa Kila Mwanamke

    Vidokezo Vya Ndoa Kwa Kila Mwanamke

  • Jinsi ya Kudumisha Ulaji wa Vitafunio Vyenye Afya Kazini

    Jinsi ya Kudumisha Ulaji wa Vitafunio Vyenye Afya Kazini

  • Lishe Bora Kwa Wanawake Waliofikisha Umri wa Kukoma Hedhi

    Lishe Bora Kwa Wanawake Waliofikisha Umri wa Kukoma Hedhi

  • Vidokezo Vya Ndoa Kwa Kila Mwanamke

    Vidokezo Vya Ndoa Kwa Kila Mwanamke

  • Jinsi ya Kudumisha Ulaji wa Vitafunio Vyenye Afya Kazini

    Jinsi ya Kudumisha Ulaji wa Vitafunio Vyenye Afya Kazini

  • Lishe Bora Kwa Wanawake Waliofikisha Umri wa Kukoma Hedhi

    Lishe Bora Kwa Wanawake Waliofikisha Umri wa Kukoma Hedhi

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it