Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Sababu Kwa Nini Wanawake Wanapaswa Kufahamu Jinsi Ya Kuanzisha Ngono

2 min read
Sababu Kwa Nini Wanawake Wanapaswa Kufahamu Jinsi Ya Kuanzisha NgonoSababu Kwa Nini Wanawake Wanapaswa Kufahamu Jinsi Ya Kuanzisha Ngono

Sababu kwa nini wanawake katika ndoa na uhusiano wana himizwa kuanzisha ngono ni sio kungoja wanaume waanzishe wakati wote.

Kulingana na utafiti, imedhihirika kuwa mwanamme wa wastani hufikiria kuhusu ngono angalau mara moja kwa siku. Pia, wanaume ikilinganishwa na wanawake, wamedhihirika kuanzisha ngono mara mbili zaidi kuliko wanawake.

Sababu Kwa Nini Wanawake Hawako Huru Kuanzisha ngono Kama Waume

wanawake kuanzisha ngono

Wanawake wengi hawahisi vyema ama hawana ujasiri tosha kuanzisha ngono. Jambo hili huenda lika husishwa na jamii tunayo ishi ambapo wanawake wanao kuwa na hamu ya juu wanaonekana kama wabaya. Lakini mwanamme aliye na hamu ya juu ya ngono ana pongezwa na kusifiwa. Sababu hizi zime fanya iwe rahisi na ionekane asili kwa wanaume kuanzisha ngono. Kwa wake walio katika uhusiano na ndoa, hamna nafasi ya kufikiria kwa njia hii.

Kumwacha mume wako aanzishe ngono wakati wote na kukataa kushika usukani hakutoshi. Unapaswa kusoma jinsi ya kuongoza na sio jambo la kufanya mara moja baada ya muda mrefu, mbali ni kitu unacho stahili kuwa unafanya mara kwa mara.

Unapaswa kuwa na starehe tosha kufanya hivi mara nyingi iwezekanavyo. Sababu moja ni kuwa, wakati ambapo wanaume hawana uwoga wa kufanya hivi, inafika wakati ambapo hawawezi tambua ikiwa unataka kufanya tendo hili ama unalifanya kwa sababu wanalitaka. Na huenda wakawa na hofu kuwa moto ulio kuwa kwenye uhusiano wenu ama ndoa una pungua.

Kwa Nini Wanaume Wanapendelea Wanawake Kuanzisha Ngono

wanawake kuanzisha ngono

Ngono ni bora wakati ambapo wachumba wote wana ujasiri kuwa hilo ndilo mchumba mwingine anataka katika wakati huo pia. Pia, wanaume wanataka kuhisi kuwa wana pendwa na kutamaniwa sawa na wanawake. Ni jambo linalo wasisimua wanapo hisi kuwa wana tamaniwa. Kwa hivyo unapo wacha ujumbe mdogo wa kimapenzi kwenye bafu kuhusu kinacho mngoja chumbani usiku huo na kufanya hatua ya kwanza ya kimapenzi, una boresha maisha yenu ya kingono na uhusiano wenu.

Tena, kuanza mazungumzo ya ngono na mchumba wako ni vizuri kwani kuna inua hisia zake za kuwa mwanamme kamili na kujiamini kwake, pia kuna ongeza furaha kwenye uhusiano ama ndoa hiyo.

Wakati ambapo kila mwanamke ana stahili kujua haya, ni muhimu zaidi kwa wanawake walio katika uhusiano na ndoa kwani inaweza kua tofauti kati ya kuwa na maisha ya kingono yenye afya na kuwa na yaliyo vugu vugu na yasiyo na furaha.

Soma Pia: Malengo 10 Ya Uhusiano Yatakayo Fanya Mapenzi Yenu Yakue

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Relationship & Sex
  • /
  • Sababu Kwa Nini Wanawake Wanapaswa Kufahamu Jinsi Ya Kuanzisha Ngono
Share:
  • Sababu 3 Kwa Nini Wanawake Hutoka Nje Ya Ndoa Kulingana Na Wataalum

    Sababu 3 Kwa Nini Wanawake Hutoka Nje Ya Ndoa Kulingana Na Wataalum

  • Utafiti: Sababu 11 Kwa Nini Wanawake Hutatizika Kufika Kilele Wanapo Fanya Mapenzi

    Utafiti: Sababu 11 Kwa Nini Wanawake Hutatizika Kufika Kilele Wanapo Fanya Mapenzi

  • Mitindo Tofauti Ya Kufanya Ngono! Staili 7 Mashuhuri

    Mitindo Tofauti Ya Kufanya Ngono! Staili 7 Mashuhuri

  • Kwa Nini Wanawake Wanavutiwa Na Wanaume Walio Katika Ndoa Kulingana Na Sayansi

    Kwa Nini Wanawake Wanavutiwa Na Wanaume Walio Katika Ndoa Kulingana Na Sayansi

  • Sababu 3 Kwa Nini Wanawake Hutoka Nje Ya Ndoa Kulingana Na Wataalum

    Sababu 3 Kwa Nini Wanawake Hutoka Nje Ya Ndoa Kulingana Na Wataalum

  • Utafiti: Sababu 11 Kwa Nini Wanawake Hutatizika Kufika Kilele Wanapo Fanya Mapenzi

    Utafiti: Sababu 11 Kwa Nini Wanawake Hutatizika Kufika Kilele Wanapo Fanya Mapenzi

  • Mitindo Tofauti Ya Kufanya Ngono! Staili 7 Mashuhuri

    Mitindo Tofauti Ya Kufanya Ngono! Staili 7 Mashuhuri

  • Kwa Nini Wanawake Wanavutiwa Na Wanaume Walio Katika Ndoa Kulingana Na Sayansi

    Kwa Nini Wanawake Wanavutiwa Na Wanaume Walio Katika Ndoa Kulingana Na Sayansi

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2023 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it