Africaparent Logo
Africaparent Logo
EnglishSwahili
  • COVID-19
  • Becoming a Mama
  • Ages & Stages
  • Parenting
  • Health
  • Feeding & Nutrition

Hofu Yatamba Huku Idadi Ya Watoto Wachanga Waliopachikwa Mimba Ikiongezeka

2 min read
Hofu Yatamba Huku Idadi Ya Watoto Wachanga Waliopachikwa Mimba IkiongezekaHofu Yatamba Huku Idadi Ya Watoto Wachanga Waliopachikwa Mimba Ikiongezeka

Nchi ya Kenya ina huzuni nyingi baada ya ripoti moja kudhibitisha kuwa watoto zaidi ya 4,000 wamepachikwa mimba katika kaunti ya Machakos.

Ni wakati wa kuhuzunisha baada ya ripoti iliyo fanyiwa kudhibitisha kuwa zaidi ya watoto 4,000 wamepachikwa mimba katika kaunti ya Machakos. Hii ni idadi kubwa sana katika kipindi cha miezi isiyo zidisha minne. Idadi hii ilidhibitishwa na Afisa mkuu wa watoto wa kaunti ya Machakos. Jambo hili limeibubuwaza nchi, huku likiwafungua wazazi mimba na serikali macho. Suala la watoto wadogo kupachikwa mimba limezua mijadala tofauti nchini kote.

watoto wachanga kupachikwa mimba

Watoto Wadogo Kupachikwa Mimba

Wasichana hawa waliopata mimba wana umri mdogo na wako kati ya miaka 15 na 19, hii ina maana kuwa wangali sekondari ama shule ya msingi. Macho yote yaliwageukia wazazi na kila mtu akawa na swali iwapo wazazi wame feli katika jukumu lao la kuwachunga na kuwaongelesha watoto wao. Kwa sababu wao ndiyo wamekuwa wakiishi na watoto hawa kipindi hiki cha lockdown Kenya. 

Daktari Alfred Mutua gavana wa Machakos aliwashauri wazazi kuongea na watoto wao, wa kike na wa kiume. Kuwaongelesha watoto wao kuhusu athari za kufanya ngono kama vile kupata mimba ama hata kupata maambukizi ya kingono kungewasaidia wanapo fanya uamuzi. Kulingana na gavana wa kaunti hii, watoto hawa walishiriki ngono na watu wa rika lao. Kumaanisha kuwa wote ni wanafunzi wa shule na huenda walikuwa wanajaribu kitendo hiki bila kujua athari zake. Hakutupilia kuwa baadhi ya visa hivi vya ujauzito vili tendeka na wanaume wakomavu. Kwa hivyo, ni vyema kwa wazazi kuwa na mjadala wazi na watoto wao kuhusu mambo haya na kuwa ambia mambo wanayo paswa kufanya na wasio paswa kufanya.

ishara za kunyanyaswa kimapenzi

Kulingana na maafisa wanaohusika na mambo ya watoto, walishuku kuwa huenda kuna visa vya watoto wenye mimba ambavyo bado havijaripotiwa na idadi hii huenda ikawa juu kuliko iliyoko kwenye ripoti. Kuna huzuni kwani ikiwa kaunti moja inaweza rekodi idadi kubwa hivyo ya watoto wadogo kupachikwa mimba, ni bayana kuwa idadi ya watoto wadogo hasa wa shule walio na mimba katika kipindi hiki cha lockdown Kenya ni kubwa zaidi.

Soma pia: Watoto Washule Kenya Washiriki Ngono Ili Wapate Pedi Za Hedhi

Got a parenting concern? Read articles or ask away and get instant answers on our app. Download theAsianparent Community on iOS or Android now!

img
Written by

Risper Nyakio

  • Home
  • /
  • Parenting
  • /
  • Hofu Yatamba Huku Idadi Ya Watoto Wachanga Waliopachikwa Mimba Ikiongezeka
Share:
  • Kukomesha Umbeya Kwa Watoto Wadogo

    Kukomesha Umbeya Kwa Watoto Wadogo

  • Huzuni Nyingi Baada Ya Kijana Wa Miaka 15 Kuwapatia Wasichana 16 Mimba

    Huzuni Nyingi Baada Ya Kijana Wa Miaka 15 Kuwapatia Wasichana 16 Mimba

  • Jinsi Wazazi Wanavyo Weza Kuwalinda Watoto Wao Katika Kipindi Cha Lockdown

    Jinsi Wazazi Wanavyo Weza Kuwalinda Watoto Wao Katika Kipindi Cha Lockdown

  • Majina Bora Zaidi Ya Watoto Wasichana Nchini Kenya Na Maana Yake

    Majina Bora Zaidi Ya Watoto Wasichana Nchini Kenya Na Maana Yake

  • Kukomesha Umbeya Kwa Watoto Wadogo

    Kukomesha Umbeya Kwa Watoto Wadogo

  • Huzuni Nyingi Baada Ya Kijana Wa Miaka 15 Kuwapatia Wasichana 16 Mimba

    Huzuni Nyingi Baada Ya Kijana Wa Miaka 15 Kuwapatia Wasichana 16 Mimba

  • Jinsi Wazazi Wanavyo Weza Kuwalinda Watoto Wao Katika Kipindi Cha Lockdown

    Jinsi Wazazi Wanavyo Weza Kuwalinda Watoto Wao Katika Kipindi Cha Lockdown

  • Majina Bora Zaidi Ya Watoto Wasichana Nchini Kenya Na Maana Yake

    Majina Bora Zaidi Ya Watoto Wasichana Nchini Kenya Na Maana Yake

Get advice on your pregnancy and growing baby. Sign up for our newsletter
  • Becoming a Mama
    • Pregnancy
    • Delivery
    • Losing a Baby
  • Ages & Stages
    • Baby
    • Toddler
    • Kids
  • Parenting
    • News
    • Relationship & Sex
    • Parent's Guide
  • Health
    • Allergies & Conditions
    • Vaccinations
    • Diseases-Injuries
  • Feeding & Nutrition
    • Breastfeeding & Formula
    • Latching & Concerns
    • Weaning
  • More
    • TAP Community
    • Advertise With Us
    • Contact Us
    • Become a Contributor


  • Singapore flag Singapore
  • Thailand flag Thailand
  • Indonesia flag Indonesia
  • Philippines flag Philippines
  • Malaysia flag Malaysia
  • Sri-Lanka flag Sri Lanka
  • India flag India
  • Vietnam flag Vietnam
  • Australia flag Australia
  • Japan flag Japan
  • Nigeria flag Nigeria
  • Kenya flag Kenya
© Copyright Africaparent.com 2022 Tickled Media Pte Ltd. All rights reserved
About Us|Team|Privacy Policy|Terms of Use |Sitemap HTML

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it

We use cookies to ensure you get the best experience. Learn MoreOk, Got it